Mtembezi Kichomi
JF-Expert Member
- Feb 24, 2022
- 696
- 993
Mtu anakaataa ndoa na ameoa.? Humu wanaokataa ndoa mpaka Sasa nimemuona mmoja tu, waliobaki wote wameoa, Ila Wanadai hawana Ndoa.Mimi nasoma comment asilimia 90 wanakataa ndoa hio 10 ndio wanaokubali kwa hio washindi wetu ni kataa ndoa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
We nawe unataka kudandia mtumbwi usiokuhusu,Haolewi ama hapati Ndoa? Mbona unauma uma manene . Mara aliekuoa kaoa Dimbwi la choo.
alafu mkiambiwa kuoa ni kitenzi na ndoa ni nomino. Mnabisha . Kasomeni basi au nd mnakaza fuvu kwenye ukweli.
Ww ndio umekaza fuvu mke wa Ronaldo nae anataka ndoa[emoji3][emoji3]Mtu anakaataa ndoa na ameoa.? Humu wanaokataa ndoa mpaka Sasa nimemuona mmoja tu, waliobaki wote wameoa, Ila Wanadai hawana Ndoa.
Yaani wanatumia akili zao ndogo kutenganisha kitenzi na nomino yake.
Nitakuoa wewe na mkeo niwagonge wote wawiliSs ww kuoa demu tu huwez utamuoa nani mwengine labda ww ndo uolewe
Anaongea kwa experience huyo. Kwao walijikuta tu wanajazana ndani hakuna ndoa wala nini so anataka wote waishi hivyoMzazi wako wa kike alipitia utaratibu upi ?
Aliolewa ama alipigwa mimba bila kuolewa ?
Wewe umedandia mtumbwi usiokuhusu, nmesema onyesha palipoandikwa nendeni duniani mkaoane na kufunga ndoa km hakuna vaa taulo lako alafu kitulize,Mzazi wako wa kike alipitia utaratibu upi ?
Aliolewa ama alipigwa mimba bila kuolewa ?
Na kwann uoe asiyefunzwa na mama yake,huko ni kujitakia at your own riskKama mama yako hana heshima kwa mume wake usitegemee semina zikubadili , asie funzwa na ***** hufuzwa na ulimwengu , mimi nina misngi yangu ya kikoloni atakae fit apo tutaenda swa kinyume na apo aondoke tu , sipo tayari kuutweza uanaume wangu kwa misingi ya haki sawa ,asili ipo kinyume na hicho kitu.
Mali gani uliyonayo?Tutaendelea kuoa, kuzaa, na kujenga familia, ila ndoa hapana, Kataa ndoa. La sivyo sheria za kugawana mali ziangaliwe upya
Wewe umesema ukishi na mwanamke, na hukuweka kipengele cha unyumba na ndio maana nikatoa mfano wa dada ambae hakuna unyumba, nae atakuwa mke? Sasa kwakuwa umekiri unyumba ni lazima jibu hoja hiyo chini.Kilaza ww kwaio Dada ako sio haramu Yako ? au hujui kusoma nilichoandika ?
Hata kufunga ndoa ni kitenzi pia, acha kuvuruga kichwa chako bure. Kuoa ni kitendo kimoja, na kufunga ndoa ni kitendo kingine tofauti kabisaKiazi.
Ndoa ni nomino.
Kuoa ni kitenzi.
Kama usingizi na kusinzia , utasinzia vipi alafu ukasema Sina usingizi.
Hicho kichwa ama Bichwa.
Alafu hivi nyinyi hamuwezi kujiongelea nyinyi km nyinyi mpaka mtaje taje wazazi ndio matobo yenu yanasikia raha au sio? Yaan bila kutaja mzazi hamsikii raha kabisa hadi mtaje taje wazazi sehemu isiyohitaji kutaja wazazi ndio mnasikia raha wenyewe au sio?Mzazi wako wa kike alipitia utaratibu upi ?
Aliolewa ama alipigwa mimba bila kuolewa ?
Wewe jibu hoja, mali zangu hazikuhusuMali gani uliyonayo?
KATAA NDOAMwanamke alieolewa tena , mwenye maadili tena.
Mwanamke ukimuoa (akiolewa ) nd amepata Ndoa. Sasa mnachopinga muda wote ni nini,? Mkiambiwa kipeni jina mnaruka ruka.
Aliekwambia OA ni nomino nani ?Oa ni nomino kuoa ni kitenzi.
Ndio hoja Yako ?We nawe unataka kudandia mtumbwi usiokuhusu,
KATAA NDOA
Mke anataka ndoa ? Ndio umeongea nini Sasa , amekuaje mke kama Hana ndoa.Ww ndio umekaza fuvu mke wa Ronaldo nae anataka ndoa[emoji3][emoji3]
Kumbe ukielimishwa sana unaweza kuelewa.Basi tumekataa kusajili ndoa kisheria.
Mzee ni 4400 others sio 4400Blessed Tanzanian kipi kilikufanya kukubali ndoa? 4400 sababu za kukata ndoa unazo au unafuata msafara?
Ndio hoja Yako?Wewe umedandia mtumbwi usiokuhusu, nmesema onyesha palipoandikwa nendeni duniani mkaoane na kufunga ndoa km hakuna vaa taulo lako alafu kitulize,
Nmemaliza ukitaka tuanze upya sema 4400 others tuanze upya niendelee kukupelekea MotoNdio hoja Yako?