Mbususu nikuchakata sanaa na hela tuwape vilevile ila NDOA HAKUNAIla mbususu ni tamu sana
Mbususu zenye ndo hzi zenye UTI SUGUMbususu nikuchakata sanaa na hela tuwape vilevile ila NDOA HAKUNA
Kama tutashirikiana namna hii,lazima tuushinde huu UTUMWA wa ndo..Ndoa ni utumwa wa hiari Kwa wanawake
Unaacha ndoto zako na kuanza kutengeneza za mwenzako, mwisho anakuona wewe ndio unamnyonya, anasahau uliyosacrifice kwake.
Unasacrifice uzuri wako kumzalia Kwa uchungu na kumlelea watoto.
Unasacrifice muda wako, umri wako wote kumuhudumia jitu zima lenye midevu yake...
#Kataa ndoa
#ndoa ni utumwa
#Kuolewa sio lazima
Tatzo la kula mbususu huanza pale utakapojichanganya na kumpa mimba,hapo hata kama hakuna ndoa lakini lazima mwanaume jasho litakutoka kumhudumia huyo mwanamke na mtotoMbususu nikuchakata sanaa na hela tuwape vilevile ila NDOA HAKUNA
UTI hata mashoga wanayo...Mbususu zenye ndo hzi zenye UTI SUGU
Hakuna kuoa wala kuolewa, kila mtu aishi maisha yake....mkitaka kuzaa mnaandikishana mkataba wa benefits za mtoto.Kama tutashirikiana namna hii,lazima tuushinde huu UTUMWA wa ndo..
tumeteseka sana..
HAKUNA KUOA
HAKUNA KUOLEWA
KATAA NDOA
Mwanaume wa kweli,mtafutaji,amekua na wazazi tena wenye akili timamu!!!Tatzo la kula mbususu huanza pale utakapojichanganya na kumpa mimba,hapo hata kama hakuna ndoa lakini lazima mwanaume jasho litakutoka kumhudumia huyo mwanamke na mtoto
KATAENI NDOA LAKIN MSIKATAE DAMU ZENU(WATOTO) na kuwaacha katika mazingira magumu
Hata nyie mnatunyanyasa sana wanaume...kuna breking niwzi,imetoka jana jioni.mwanaume amenyanyasika miaka 7...Hakuna kuoa wala kuolewa, kila mtu aishi maisha yake....mkitaka kuzaa mnaandikishana mkataba wa benefits za mtoto.
Sio mmoja anahenyeka mwingine amekaa ametulia tu in the name of ndoa.
#Ndoa ni utumwa Kwa wanawake
Ila ungesikia mwanamke kanyanyasika miaka 25 wala usingeshtuka.Hata nyie mnatunyanyasa sana wanaume...kuna breking niwzi,imetoka jana jioni.mwanaume amenyanyasika miaka 7...
Sasa hiyo ndoaa au jahannam
Ati ni kwanini ukubali kufugwa na binadamu mwenzako kwa kisingizio tunaishi pamoja kumbe mmoja ni mfugo wa mwingine?Ewe mwanaume Kataa ndoa kadiri uwezavyo na kwa akili na nguvu zako zote
πππ kumbe wanafugana na hamsemiAti ni kwanini ukubali kufugwa na binadamu mwenzako kwa kisingizio tunaishi pamoja kumbe mmoja ni mfugo wa mwingine?
Mpaka hapa tunasema KATAA NDOA haipo kwa mwanamume pekee..Ila ungesikia mwanamke kanyanyasika miaka 25 wala usingeshtuka.
Imekuwa breaking news kwasababu ni mwanaume
Wazoee tu ππ