Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Chupa ya Zanzi kubwa inanifaa sanaAgiza chochote ulipo alaf ulete lipa number
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chupa ya Zanzi kubwa inanifaa sanaAgiza chochote ulipo alaf ulete lipa number
Mbona mshaanza kuogopa wenzetu, kwani mnaoaga bikra tu? 🤣🤣🤣🤣 Sisi ndio tupo, na Sisi pia hatutaki ndoaaaa.kampeni yetu ya kataa Ndoa inamuhusu Mwanaume anayejitambua ambaye ameamua kukataa kuoa ili atunze kibunda na afya ya Akili na kukaa mbali na Migogoro .
Kwa upande wa Mwanamke anabidi kuwa bikra sio hawa washachakazwa wamechoka umri umeenda na wenyewe wanajiingiza umoumo hapo kampeni yetu itakufa kifo kibaya sana
Nyie endeleeni na kampeni yenu ya feminist hutuwataki huku msituharibie focusMbona mshaanza kuogopa wenzetu, kwani mnaoaga bikra tu? 🤣🤣🤣🤣 Sisi ndio tupo, na Sisi pia hatutaki ndoaaaa.
#ndoa ni utumwa Kwa wanawake Kama utumwa mwingine
Acha tukulane mzae na tuwaone matumiz ya mtoto kitu Ila kila mmoja Aish kwakeMbona mshaanza kuogopa wenzetu, kwani mnaoaga bikra tu? 🤣🤣🤣🤣 Sisi ndio tupo, na Sisi pia hatutaki ndoaaaa.
#ndoa ni utumwa Kwa wanawake Kama utumwa mwingine
Huyo ndoa itamshinda na lazima atakuja kuwa mwanachama wa hii kampeni...Sijasema nitamuozesha. Maisha ni yake afanye analotaka...18 yrs now yupo vizuri na Mungu atasaidia atakuwa vizuri zaidi.
Kazi yangu ni kumjenga asitegemee pesa ya mwanaume. Mengine ataamua mwenyewe.
Alaf utilize Mahali kuna kiupepo vizuriChupa ya Zanzi kubwa inanifaa sana
AlaaaaaaahBasi tutawaoa sisi , tutawalipia bills zote msijali
#TheFutureIsFemale 😍
Mimi sina pesa ya kumpa wala kitu chochote cha thamani sana. Anapambana mwenyewe kuyajenga maisha yake...yupo mbali na atafika mbali Inshallah.Huyo ndoa itamshinda na lazima atakuja kuwa mwanachama wa hii kampeni...
Hizo hela unazomuandalia ndio zitamfanya awe mwanachama wa 50/50..
Tutabanana huku huku na Sisi hatutaki, tumechoka kufugwaa, tumekataa ndoa....mlidhani wanawake ndo tuna shida ya ndoa? Na Sisi hatutaki.....haina kubembelezana, kataaa ndoa🤣Nyie endeleeni na kampeni yenu ya feminist hutuwataki huku msituharibie focus
Kidogo Kidogo mnanivuta kwenye kataa ndoa🤣🤣.Tutabanana huku huku na Sisi hatutaki, tumechoka kufugwaa, tumekataa ndoa....mlidhani wanawake ndo tuna shida ya ndoa? Na Sisi hatutaki.....haina kubembelezana, kataaa ndoa🤣
#ndoa ni kukabidhi utu wako mikono mwa mtu mwingine
#kataa ndoa
Tililika Mkuu JF is home of doctors of thinkersNyinyi jamaa huwaga nawapinga ila jana nilisikia kauli kutoka kwa manzi angu moja wakati tunaongea kwa simu, alikuwa ana blame mdogo ake wa kiume….ile kauli inaendana na heading hii, ukute mko sahihi daah!…ngoja niendelee kuwaza [emoji28].
Karibu kwenye kampeni🤣🤣🤣Kidogo Kidogo mnanivuta kwenye kataa ndoa🤣🤣.
Huyu reaction ya kina fetty KitamboMimi sina pesa ya kumpa wala kitu chochote cha thamani sana. Anapambana mwenyewe kuyajenga maisha yake...yupo mbali na atafika mbali Inshallah.
Sina cha kumpa zaidi ya kumwombea na kumtia moyo.
Yupo tofauti sana na mabinti wengi wa rika lake.
Wengine tushaingia tayari tunapambana kufa na kupona huku. Sasa nikiwasapoti mkatae ndoa mnataka niteseke peke yangu..😅😅Karibu kwenye kampeni🤣🤣🤣
#ndoanikaburilakuzikandotozamwanamke
Familillah wallah,kama umemkuza katika malezi ya kidini..allah atamfanyia wepesi...Mimi sina pesa ya kumpa wala kitu chochote cha thamani sana. Anapambana mwenyewe kuyajenga maisha yake...yupo mbali na atafika mbali Inshallah.
Sina cha kumpa zaidi ya kumwombea na kumtia moyo.
Yupo tofauti sana na mabinti wengi wa rika lake.
Mbuyu ulianza kama mchichaKidogo Kidogo mnanivuta kwenye kataa ndoa🤣🤣.
Fetty yupi?Huyu reaction ya kina fetty Kitambo