Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Ni kweli. Ndoa za sasa zimekaa kimitego sana. Kuna mzee swala 5 na mtu wa dini haswa na muungwana kupitiliza lakini mke kimeo kwelikweli narudia kimeo kwelikweli. Yule mzee anapata taabu sana na mkewe. Anavumilia basi tu.Nabisha mbona wachamungu wengi tu ndoa zao changamoto lakini wanaficha tu kwa kivuli cha dini
FACTS MAN ndoa zilikua zamani,,sa hiv kati ya ndoa 100 apo 80 zinamatatizo makubwa plus usaliti plus manyanyaso labda zingne ndo zimeponaNi kweli. Ndoa za sasa zimekaa kimitego sana. Kuna mzee swala 5 na mtu wa dini haswa na muungwana kupitiliza lakini mke kimeo kwelikweli narudia kimeo kwelikweli. Yule mzee anapata taabu sana na mkewe. Anavumilia basi tu.
Mpaka huwa najiuliza huyu mtu wa imani hivi anapata maswahibu kama haya inakuaje tena.
Japo na wanaume vichomi kwenye ndoa nao wapo. Nadhani lililokubwa ndoa inahitaji tafakuri nzito kama kuchagua mchele super. Wanawake kwa waume wa sasa ni wa ovyo kimaadili na kiimani hivyo kupelekea athari katika taasisi ya ndoa.
kwa mara ya kwanza naona mwanamke anapinga ndoa humu jf, safi sanaNdoa ni utumwa wa hiari Kwa wanawake
Unaacha ndoto zako na kuanza kutengeneza za mwenzako, mwisho anakuona wewe ndio unamnyonya, anasahau uliyosacrifice kwake.
Unasacrifice uzuri wako kumzalia Kwa uchungu na kumlelea watoto.
Unasacrifice muda wako, umri wako wote kumuhudumia jitu zima lenye midevu yake...
#Kataa ndoa
#ndoa ni utumwa
#Kuolewa sio lazima
MsijalliIli tuwafulie, tuwaoshee vyombo na kuwadekia mtuletee mahitaji pia
🤣Msijalli
Anything for the Prince😃😃😃
Mkuu mie nina ndoa takatifu.. nina mke .. sipo kwenye hicho chama cha mpinga MunguNAKATAA NDOA..
NAKATAA NDOA..
NAKATAA NDOA..
NAKATAA NDOA..
NAKATAA NDOA..
NDOA NI MATESO.. TENA MATESO YA KUDUMU KABISA 😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
NDOA NI MTEGO
NDOA NI MATATIZO
NDOA NI SHIDA
NDOA NI GEREZA DOGO
MIMI NA WEZANGU
National Anthem
TUNAUNGANA KWENYE KAMPENI HII
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Campeni ya kataa ndoa inamuhusu mwanamke bikra tu wewe Kama hauna bikra tafuta kampeni yako
Ban zinatembea kama upupu daahTuwekane sawa.
Hakuna kijana anayekataa kuwa na mwanamke au kupata watoto ila kinachokataliwa ni ndoa yenye mlengo wa kutolewa cheti kiwe cha kanisani, msikitini, serikalini.
Hatutaki ndoa cheti inaleta jeuri sana kwa wadada wa mjini na ndio maana ndoto ya mwanamke yeyote ni kupata ndoa anajua mwisho wake ni kumtawala mwanaume na kumfanya vile anayotaka.
Hatutaki ndoa cheti mali zetu zitapotea,wanawake wengi sana leo pasua kichwa wakisingizia wanaume hawana nguvu za kiume na usaliti umekuwa mkubwa ambao upelekea ndoa kuvunjika kwa muda mfupi tu na mali kugawana sawa.
Hatutaki ndoa kwa Sababu hakuna cha maana kabisa kinachopatikana kwenye hiyo ndoa watu wanaikubali maana kama mnyanduano unaupata popote,watoto wa kuzaa nao wapo sasa sijui kitu mnaweza kutushawishi tukubaliane na hiyo ndoa.
Hatutaki ndoa maana inampa nafasi ya mwanamke kutaka usawa wa kijinsia kitu ambacho serikali jamii dini hairuhusu kabisa leo hii kisa mdada kaolewa anataka kuwa controller wa kila kitu katika Maisha.
Namalizia sidhani kama kuna Tajiri dunia ameoa.
Ronaldo mwenyewe na mahela yote hana ndoa.
Kijana kataa ndoa
Jali afya yako
Sio kataa ndoa wala kataa vitu ganiTuwekane sawa.
Hakuna kijana anayekataa kuwa na mwanamke au kupata watoto ila kinachokataliwa ni ndoa yenye mlengo wa kutolewa cheti kiwe cha kanisani, msikitini, serikalini.
Hatutaki ndoa cheti inaleta jeuri sana kwa wadada wa mjini na ndio maana ndoto ya mwanamke yeyote ni kupata ndoa anajua mwisho wake ni kumtawala mwanaume na kumfanya vile anayotaka.
Hatutaki ndoa cheti mali zetu zitapotea,wanawake wengi sana leo pasua kichwa wakisingizia wanaume hawana nguvu za kiume na usaliti umekuwa mkubwa ambao upelekea ndoa kuvunjika kwa muda mfupi tu na mali kugawana sawa.
Hatutaki ndoa kwa Sababu hakuna cha maana kabisa kinachopatikana kwenye hiyo ndoa watu wanaikubali maana kama mnyanduano unaupata popote,watoto wa kuzaa nao wapo sasa sijui kitu mnaweza kutushawishi tukubaliane na hiyo ndoa.
Hatutaki ndoa maana inampa nafasi ya mwanamke kutaka usawa wa kijinsia kitu ambacho serikali jamii dini hairuhusu kabisa leo hii kisa mdada kaolewa anataka kuwa controller wa kila kitu katika Maisha.
Namalizia sidhani kama kuna Tajiri dunia ameoa.
Ronaldo mwenyewe na mahela yote hana ndoa.
Kijana kataa ndoa
Jali afya yako
All in exchange for Sex baaaasi.UNA MNUNULIA ZAWADI, UNA GHARAMIA MIHITAJI YAKE YOTE, UNAJARIBU KUTOA ULINZI NA KUFANAYA MWENYE FURAHA. YOTE HI UNAFANYA KWA AJILI YA KUMUONYESA UNAVYO MPENDA.
YOTE HAYA KWA MALIPO YA UNYUMBA TU! KUFANYA MATUSI TU ! BAASI!!!
Hata usipoolewa bado utazaa na utaendelea kufanya majukumu yale yale kwa wanaume za watu na watoto wako. Na huko utateseka mara mbili maana utatakiwa kufanya vile vitu ambavyo mume humsaidia mke kama kutafuta pesa ya chakula, kumlipa house girl (na uombe MUNGU uwe sasa na uwezo wa kukaa nao maana mahousegirl nao siku hizi changamoto),utatakiwa kwanza ulipe kodi then ujenge nyumba kwaajiri yako na watoto. Hapo bado haujaumwa ujitazame afya, uzee ukianza kuingia utatakiwa uendelee kuingiza kipato ili kusapoti maisha yako.Ndoa ni utumwa wa hiari Kwa wanawake
Unaacha ndoto zako na kuanza kutengeneza za mwenzako, mwisho anakuona wewe ndio unamnyonya, anasahau uliyosacrifice kwake.
Unasacrifice uzuri wako kumzalia Kwa uchungu na kumlelea watoto.
Unasacrifice muda wako, umri wako wote kumuhudumia jitu zima lenye midevu yake...
#Kataa ndoa
#ndoa ni utumwa
#Kuolewa sio lazima
Ukifika miaka 45 hakuna mtu atakuwa na time ya kuhangaika na wewe na uhuru wako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo sasa ndipo umuhimu wa ndoa kwa mwanamke huwa unaanza.Kabisa, jitu linakupangia marafiki wa kuwa nao, mavazi ya kuvaa, siku za kukaa kwenu ukienda kuwatembelea ndugu zako....muda mwingine linakukataza hata kufanya Kazi.
Ndoa ni kuuza utu na kukabidhi Uhuru wako Kwa binadamu mwenzako.
Naona wanajaribu kuiga hii movement kama kawaida yao wanadhani kila kitu ni 50/50.Nyie endeleeni na kampeni yenu ya feminist hutuwataki huku msituharibie focus
Aaaah weee. Sijawahi ona mwanaume natafuta ndoa. Wewe unaongea uongo hapa. Hivi kijana na binti wakianza kuishi kisela ni nani ambaye ataanza kuingia baridi kuishi na mwenzake bila ndoa?Tutabanana huku huku na Sisi hatutaki, tumechoka kufugwaa, tumekataa ndoa....mlidhani wanawake ndo tuna shida ya ndoa? Na Sisi hatutaki.....haina kubembelezana, kataaa ndoa[emoji1787]
#ndoa ni kukabidhi utu wako mikono mwa mtu mwingine
#kataa ndoa
Wanaoendaga kutoa mahari ni wanawake? Tatizo wanaume mnaona wanawake tuna shida sana ya ndoa, hata Sisi hatuzitaki, basi tu mfumo WA kijamii unalazimisha kuingia kwenye ndoaAaaah weee. Sijawahi ona mwanaume natafuta ndoa. Wewe unaongea uongo hapa. Hivi kijana na binti wakianza kuishi kisela ni nani ambaye ataanza kuingia baridi kuishi na mwenzake bila ndoa?
Kuna mwanamke atakaa na mwanaume miaka 10 bila ndoa wakipika na kupakua bila shida?!
Tuwekane sawa.
Hakuna kijana anayekataa kuwa na mwanamke au kupata watoto ila kinachokataliwa ni ndoa yenye mlengo wa kutolewa cheti kiwe cha kanisani, msikitini, serikalini.
Hatutaki ndoa cheti inaleta jeuri sana kwa wadada wa mjini na ndio maana ndoto ya mwanamke yeyote ni kupata ndoa anajua mwisho wake ni kumtawala mwanaume na kumfanya vile anayotaka.
Hatutaki ndoa cheti mali zetu zitapotea,wanawake wengi sana leo pasua kichwa wakisingizia wanaume hawana nguvu za kiume na usaliti umekuwa mkubwa ambao upelekea ndoa kuvunjika kwa muda mfupi tu na mali kugawana sawa.
Hatutaki ndoa kwa Sababu hakuna cha maana kabisa kinachopatikana kwenye hiyo ndoa watu wanaikubali maana kama mnyanduano unaupata popote,watoto wa kuzaa nao wapo sasa sijui kitu mnaweza kutushawishi tukubaliane na hiyo ndoa.
Hatutaki ndoa maana inampa nafasi ya mwanamke kutaka usawa wa kijinsia kitu ambacho serikali jamii dini hairuhusu kabisa leo hii kisa mdada kaolewa anataka kuwa controller wa kila kitu katika Maisha.
Namalizia sidhani kama kuna Tajiri dunia ameoa.
Ronaldo mwenyewe na mahela yote hana ndoa.
Kijana kataa ndoa
Jali afya yako