Mjadala kwa wanaokubali kuoa (Ndoa)
Nimetafakali mno usiku wa leo, kwa muda mchache kijana wangu alioniunga hapa Jamiforums nimepata wasaa wa kusoma baadhi ya mada za vijana wakikataa kuoa.

Vijana acheni upuzi, oeni muwe na familia, muwatunze watoto wenu. Utapataje watoto kama hauna familia, yaani ndoa?

Una akili kweli wewe kijana?

Natoa wito kwa serikali na wadau, hawa vijana waanze kusakwa mara moja na wakamatwe, wahojiwe kwanini na wanatumwa na nani, kwa agenda gani na kwa maslahi yapi wanaeneza propaganda za kukataa ndoa.

Selikali anzeni hili mara moja.

Asanteni sana Viongozi wa JamiiForums, nachukua nafasi hii kushukuru.
Hulitaka tuhelekee wapi????[emoji41]

JF waweke na forum za kilugha kiswahili bado kinatupa shida kwenye uandishi[emoji2]
 
Haya yanao kataa ndoa ni machoko yapo yamejipanga kweli kuueneza kwa ghalama yoyote.

Tuyapige vita kwa nguvu zote.

Tumeshawastukia na siku hizi mbili tatu mada zao za kataa ndoa zimeanza kupungua kwakuwa mashumbulizi ni makali.

Thanks mshana kwa kuongoza hii kampeni ya kueneza mapunga kupitia jf.

Mtoto wa kiume unayesimamisha unasemaje kataa ndoa,? Si unataka ubanduliwe wewe.
Majinga kabisa,tuyatenge ,tuyakatae na tuyaseme hadharani hata Mungu yupo upande wetu.
 
Hapo ndipo penye subira za hao wazishikao Amri za Mungu.Ni wakati wa mwisho tutakataa ushoga hadi nchi itetemeke!
 
Moderators ame waambia nani Uzi wangu muulete sehemu ya comment kwenye uzi mwengine,naombeni uzi wangu muurudishe si kila mtu ataweza kuuona mkiuweka humu kwa kuwa kuna somo juu yake,naombeni muutafutie kichwa cha habari kizuri kisha ukae mahala pake.Nimetumia muda mwingi kuuandaa huu uzi nia na lengo na watu kutaka kuelewa dhima ya ndoa.Please najua nyie ni waelewa wazuri ndio maana mpo kwenye kitengo hiko basi naombeni mshughurikie tatizo langu.

Humu ulipokaa sio Jamii yote ikaona huu ujumbe.
Ishatoka hiyo.unalakuwafanya nilijua tu.
 
Haya mambo ya kataa NDOA hii ndiyo mwanzo wake.

Yaani kwa sasa unaweza kaa na mwanaume ukajiuliza je ni mwanaume kweli au sasa ona kaka ana hadi familia na watoto.

Embu watu mtubu nakurudi mikononi mwa bwana na sio kufwata mkumbo wa mitandao
 
Hapana wengi ni watoto yani wanategemea wazazi,wanaushi kwao na hawana majukumu vilevile wengi wapiga nyeto
 
Kwakweli ila kuna vijana hapa wanaona na wanafwata, mitandao kwa sasa imekuwa nikitu cha kipaumbele mnoo, kuliko Mungu Dah inasikitisha sanaa
Mitandao inafanya watu kuwa wategemezi kwenye mambo ambayo hata wao binafsi wangeweza kujisimamia
 
Hii issue ni serious wadau kuna NGO zinafadhili awa watu wapo watu wanashabiki bila kujua wenzao wanavuta mpunga wakutosha tu kutokana na hii movement yao
 
Salama wakuu,

Hivi karibuni katika jamii yetu kumeibuka kauli ya "KATAA NDOA NI UTUMWA, WIZI, UTAPELI N.K" wakati nasikia na kusoma humu JamiiForums either katika koment au uzi wenye maudhui ya hivyo nilikuwa naelewa sababu za kiuchumi.

Yaani sasa hivi kwa kuwa wanawake na wao wanafanya kazi na wanaendekeza ubinafsi hawataki kuchangia chochote katika familia nikaona vijana wa kiume kwa upande flani kama wana logic ya kukataa japo sikubaliani nalo sana hilo swala la kuchangia pesa na mke maana jukumu la familia ni la mwanaume.

Nikawaza tena labda kwa kuwa wanawake wametumika sana kabla ndoa hivyo kijana anaona anaoa makombo au anafikilia huyu mke atawasahau kweli maex zake.

Lakini baada ya kusikia na kushuhudia habari za UPINDE "ushoga" ikanifanya niwaze tena pengine vijana wanakataa ndoa ili kujificha jamii isijue kama wanapumuliwa na wanaume wenzao.

Maana sielewi kwanini mwanaume rijali anakataa ndoa sehemu ambayo anaipata mbususu free mda wowote akihitaji kama sio UPINDE ni nini kingine?
 
Kuna watu wanazeeka hadi kufa hawajawahi kuwaza kuoa nao mnawaweka wapi mana ni kioo kwa Genera zilizofuata nyuma yake au nao tuwaunge kwenye UShoga.

Na kuna machoko ila wameoa kama kivuli nayo mnawaweka wapi Kwakuwa yameo ila still Elton John.
 
Salama wakuu,

Hivi karibuni katika jamii yetu kumeibuka kauli ya "KATAA NDOA NI UTUMWA, WIZI, UTAPELI N.K" wakati nasikia na kusoma humu jamii forum either katika koment au uzi wenye maudhui ya hivyo nilikuwa naelewa sababu za kiuchumi.
Yaani sasa hivi kwa kuwa wanawake na wao wanafanya kazi na wanaendekeza ubinafsi hawataki kuchangia chochote katika familia nikaona vijana wa kiume kwa upande flani kama wana logic ya kukataa japo sikubaliani nalo sana hilo swala la kuchangia pesa na mke maana jukumu la familia ni la mwanaume.
nikawaza tena labda kwa kuwa wanawake wametumika sana kabla ndoa hivyo kijana anaona anaoa makombo au anafikilia huyu mke atawasahau kweli maex zake.
Lakini baada ya kusikia na kushuhudia habari za UPINDE "ushoga" ikanifanya niwaze tena pengine vijana wanakataa ndoa ili kujificha jamii isijue kama wanapumuliwa na wanaume wenzao.
maana sielewi kwanini mwanaume rijali anakataa ndoa sehemu ambayo anaipata mbususu free mda wowote akihitaji kama sio UPINDE ni nini kingine?
😂😂😂🤓🤓🤓 Daaah kweli watu mpo serious an
Pia ushoga tunakataa mkuu
 
Back
Top Bottom