Medecin
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 8,221
- 22,496
Ushaonja ladha ya mboo huwezi kukubali ndoa.Narudia tena
ACHA UCHOKO WW NI MWANAUME
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushaonja ladha ya mboo huwezi kukubali ndoa.Narudia tena
ACHA UCHOKO WW NI MWANAUME
🤣 We jamaa you are better than this crap!Kataa Ndoa
Ndoa Ni Utapeli
Ndoa Ni Wizi
Ndoa Ni Ujinga
Kataa Ndoa
But Hawa ambao ni upinde Sasa hivi wametoka kwenye jamii zenye NDOA.
Bora umuambie na umkumbushe pia.But Hawa ambao ni upinde Sasa hivi wametoka kwenye jamii zenye NDOA.
Kwani sahiv wanafirwa na nan? Na hawa wanawake mbna wapoo? KhaaaaahNi kweli, Wengi wanaotumia hashtags za "#kataa ndoa" ni mapunga, wanataka wanawake wasiolewe ili wao wapate wa kuwafira
Ukikataa ndoa inamaana huakika wa kibwenye huna mpaka ulaghai laghai na kununua halafu unakuwa huru kwenye majumba ya starehe huko na kulala popote sababu huna wajibu wala majukumu mwishowe kuna siku nyege zako zitakutana na upinde.Hapo sijaona hoja yako wewe mleta mada, swala ni kukataa ndoa na sio kukataa Kibwenye
Tofautisha ndoa na Kibwenye, ndoa ni utumwa yanini ujipe stress, hzo ajenda za upinde sema tu wewe mtoa mada ndo unaipush na ushindwe ulegee
KATAA NDOA NI UTUMWA
hapana, sitaki vijana wenzangu waozee jela🤣 We jamaa you are better than this crap!
Sio wote wako happy, afterall happiness is a feeling of completeness. Choose wisely to get the puzzle done!i GUESS mlio kwenye ndoa mko happy sana kuliko mabaharia?
is this true?
Madam hawa tunaotakiwa kuwaoa ndo hawa tunaoishi nao na wengine wapo kwenye hayo mazingira, nilichozungumzia Mimi sio wanafunzi wa chuo shida unakuta mavyuoni watu wapo na Ndoa zao lakini ndo hivyo mvurugano kama kijana wa miaka 18 sio mwanaume sio mwanamke huko makambini ndo kabisa koplo A anakula mke wa koplo B bila wasi aisee...kwani unaishi kwa kumfata mwengine namna anavyoishi?? yan kisa wanafunzi wa chuo hawajatulia wanchukuana wao kwa wao bas unaona watu wote wapo hivyo?? angalia vidole vya mikono kimoja ni kirefu vengine vifupi na Mungu ndio kaiumba hivo dunia kupishana uwiano uwe sawia
kweli kabisa, mimi niliwahi kujisemea kama mama yangu aliishi na baba yangu mpaka anafariki bas wanaume sahihi wapo na hawataisha Mungu anipe wa kwangu iwe kama hivi kwa mfano wa wazazi wangu and yes alhamdulillah na nnataka ikawe hivo kwa wanangu mimi sitaki kufeli kulea mana nitalea mtoto ambae atakua mfano mbaya its either afate mfano wangu au auzidishe zaidi baada ya kuufataNdio tatizo kubwa na wanaume hatujui yupi sahihi na yupi sio sahihi maana wengine wanakuwa waigizaji.
Sasa wanawake wengi asilimia 80% wa mjini wao wanajifanyaga hawazijui shida ila yote hio ni sababu ya malezi mabovu.
Mama amekuwa akimlea mtoto wake wa kike kwa kudanga leo baba huyu kesho baba yule. Unafikiri akikuwa mkubwa atakuwa na adabu na wanaume. Siongei mbovu ila you can not expect Paula wa Kajala aje kuwa mwanamke wa kutulia na kuvumilia dhiki.
Too bad wanaume tukiwa na upepo wa hela huwa tunahisi we can attract and change anything to be at our favor. Ofcourse hela itasaidia kum fool mwanamke kwa kipindi flani ila when she gets to her senses tatizo linaanza. Mtu kaokota mwanamke mjini huko labda dukani anataka amgeuze mke well mwanamke atakuigizia tu. Akishaipata ndoa you are doomed.
Hahahah we wakati unakula shushu na mtoto Fatimati unawahimiza wenzio waendelee kula nyex!hapana, sitaki vijana wenzangu waozee jela
Muwapumzishe mashogaa bas, hizo kataa ndoa ni za wazinzi. Msitake kila jambo [emoji2380] wahusike khaaaah.Hao wanaotembeza hizo# wengi ni [emoji2380] kuweni makini naona tu nawengine wanaiga ovyo hatari sana!
hahaha, nilinusa jela miaka flani, nawapenda vijana wenzangu wasiingie huko, siyo kuzuriHahahah we wakati unakula shushu na mtoto Fatimati unawahimiza wenzio waendelee kula nyex!
Mashaallah... Ni Upendo tu ndio kitu kinakupa msukumo. Lets teach love and not competition. Most parents wanaoharibu watoto wanaowafundisha competition kwamba be better than flani. Hio huwa at the end ndio inapelekea tamaa. Lets teach our children to love eachother.kweli kabisa, mimi niliwahi kujisemea kama mama yangu aliishi na baba yangu mpaka anafariki bas wanaume sahihi wapo na hawataisha Mungu anipe wa kwangu iwe kama hivi kwa mfano wa wazazi wangu and yes alhamdulillah na nnataka ikawe hivo kwa wanangu mimi sitaki kufeli kulea mana nitalea mtoto ambae atakua mfano mbaya its either afate mfano wangu au auzidishe zaidi baada ya kuufata
Jinai ya Wizi na ushoga ni tofauti.Mwizi nae akija kusema hata wizi ulikuepo tangu enzi na enzi acha tuendelee kuwaibia atakua kakosea?
Wizi kuendelea kuwepo haimaanishi wizi ni jambo halali au ni jambo la kutamani liendelee kuwepo.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 One mistake one goal. Better be precise when making life decisions.hahaha, nilinusa jela miaka flani, nawapenda vijana wenzangu wasiingie huko, siyo kuzuri
niko chamani cuz siwezi afford kunasa STIs kwa kweli,
ukiona mwanamke mwenye ndoa anadate nje ujue huyo anaendeshwa na tamaa, anajua nje atapata pesa ya hraka kwa jamaa na jamaa hana anachotaka kwake ni ngono hivo anailipia kwa kudate naye kumbe huyu huyu mwanamke angeweza kumweleza mumewe shida alionayo pengine hizo hela angepewa akampa mumewe haki yake kwa uhalali pengine mume hana bas tunausiwa kusubiri kua na subra sasa mtu unataka laki mbili leo leo utapata??Madam hawa tunaotakiwa kuwaoa ndo hawa tunaoishi nao na wengine wapo kwenye hayo mazingira, nilichozungumzia Mimi sio wanafunzi wa chuo shida unakuta mavyuoni watu wapo na Ndoa zao lakini ndo hivyo mvurugano kama kijana wa miaka 18 sio mwanaume sio mwanamke huko makambini ndo kabisa koplo A anakula mke wa koplo B bila wasi aisee...
naye ni kiumbe hai kuna siku hatafuniki anaumwa itakuwajeKusema kweli mim natamani ndoa ni vile tu pesa Sina mim pekee yangu Milo mitatu inanishinda ,ni mlo mmoja mchana usiku mo energy na andazi mbili za bakhressa....
Kodi tunalipa Kwa manati ,Sasa unafikili kuoa mwanamke ambaye atakuja kulala njaa ,,unagundua hayupo ....
Hata unayemtongoza akigundua unamaisha ya kuunga unga basi anakukimbia haraka Sana kama ukomaa .....unaishia kula Malaya wa buku tatu ....
Siku nikizipata lazima niweke ndani toto Moja kalii ni full kulitafuna usiku mchana na jion kama dozi ya dawa ...
nishikie panga sasa hivi, nipe machaguo mawili , ndoa au kuchinjwa🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 One mistake one goal. Better be precise when making life decisions.