min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Unaongelea mhemko wakati kitaa mambo ni taofuti kabsa , hakuna kimila kikanisani au kiserikal , zote hizo ni njia ambazo hakimu wa mwisho serikali , sogea tuishi akinipenda tutaishi hivyo mpka mwisho , akileta nyoko natimua .Na wale wanaofunga ndoa kimila wanasajiliwa na serikali gani? Yani hiyo hiyo serikali unayosema inasajili inatambua swala ya presumption ya miaka miwili wewe unakuja na nadharia zako. Nasema hiyo sheria acha ikaze. Na tutahakikisha inakaza. Endeleeni kujipa moyo. Lasivyo muwe mapadri msichezee watoto wa watu