Mjadala kwa wanaokubali kuoa (Ndoa)
Kuna huyu mwamba sasa
Screenshot_20230218_070452_Chrome.jpg
 
Mkakati wa shetani huo. Soma mkakati wa shetani, ajenda zake kuu kwa mwaka 2023.
Kila mwaka shetani ana ajenda zake. Za mwaka huu kuu ni
1.kupromote ushoga kwa bidii Sana, thus wamekuja kasi sana, waguse LGBT upotee, wameyamwaga ma roho ya ushoga kila mahali kupitia mitandao,mashuleni ndio usiseme.
2.Kuhakikisha wanavunja ndoa, kupitia kampeni kama hizi za kukataa ndoa, kuwaondolea wanawake utii na kuheshimu waume zao hii Kazi anafanya Lilith mke wa kwanza wa Adamu kupitia mafeminist.
Wanawake wenye kufaa kuwa wake wa ndoa hawazidi wa tatu., ndoa haina haki sawa kabsa , ndoa lazma mwanaume awe mfalme ,kuna mda mke akizingua bakora inapaswa kutembea, haki sawa imebomoa hii taasisi , ukiona upo sawa na mwanaume kwenye ndoa ujue hakuna ndoa apo , uzungu mwingi umearbu ndoa kabsa , ndoa zinafungwa ila nyingi zinavunjika mapema tu, maisha ni kupnda na kushuka yakishuka ndoa inakua ndoana.,wanawake wengi wameuliwa na wame zao baada ya kuwa na ndoa wakaona sasa wanauhuru wa kufnya watakavyo , kwasababu mwanaume anaona hakuna sheria itakayokuwa upnde wake anaona achukue sheria mkononi, wengne wanakataa ndoa ili kuepusha mauaji yasiyo ya lazima , aslimia kubwa za wanaume waliopo kwenye ndoa wanamsongo wa mawazo nawengne wapo mashakani ndio maana wanavimada vya njee kujifariji, kanisa hasa ukristo umejisahau kuhusu kufundisha maadili , katika pita pita zangu sku nikikutana na bikra au mwali nitaoa na nitamtunuku ndoa ila kwa sasa ndoa apana.
 
Rejeeni kanuni za zamani za kupata wenza sahihi, hii ya kujichagulia imefeli,
Mnaoana sababu ya nyege na sio upendo sio rahisi kufika mbali.
Mambo yanabdilika ndoa inabidi isiwe ya maisha iwe ya mkataba wa mda fulani , kma tumeenda vizur tunaongeza kidgo
 
Wanawake wenye kufaa kuwa wake wa ndoa hawazidi wa tatu., ndoa haina haki sawa kabsa , ndoa lazma mwanaume awe mfalme ,kuna mda mke akizingua bakora inapaswa kutembea, haki sawa imebomoa hii taasisi , ukiona upo sawa na mwanaume kwenye ndoa ujue hakuna ndoa apo , uzungu mwingi umearbu ndoa kabsa , ndoa zinafungwa ila nyingi zinavunjika mapema tu, maisha ni kupnda na kushuka yakishuka ndoa inakua ndoana.,wanawake wengi wameuliwa na wame zao baada ya kuwa na ndoa wakaona sasa wanauhuru wa kufnya watakavyo , kwasababu mwanaume anaona hakuna sheria itakayokuwa upnde wake anaona achukue sheria mkononi, wengne wanakataa ndoa ili kuepusha mauaji yasiyo ya lazima , aslimia kubwa za wanaume waliopo kwenye ndoa wanamsongo wa mawazo nawengne wapo mashakani ndio maana wanavimada vya njee kujifariji, kanisa hasa ukristo umejisahau kuhusu kufundisha maadili , katika pita pita zangu sku nikikutana na bikra au mwali nitaoa na nitamtunuku ndoa ila kwa sasa ndoa apana.
Semina za ndoa zipo kila siku sema wanadamu wameamua kuziba pamba hilo sio kosa la kanisa.
Tamthilia zimeletwa kuharibu ndoa,zote zinawafunza wanawake kuwa wakali na wasiotii waume zao shetani kazini.
 
Ukitaka kujua wanawake wa sasa wanapenda ndoa au hawapendi weka mfumo dume , mimi sio kwamba sipendi ndoa , maisha yangu ni mfumo dume wengi wakija kwangu mwisho wa sku wanakimbia wenyewe , wanasema mimi ni mkoloni ,hii nimetoa kwa mzee wangu , mama yangu kanyooka kma rula na hii imesaidia wadumu mpka Leo mama ana miaka 65 mzee 82.
 
Semina za ndoa zipo kila siku sema wanadamu wameamua kuziba pamba hilo sio kosa la kanisa.
Tamthilia zimeletwa kuharibu ndoa,zote zinawafunza wanawake kuwa wakali na wasiotii waume zao shetani kazini.
Yani nikimbilie kwenye semina kujifunza kuishi na wanawake wasiofunzwa na mama zao?
 
Yani nikimbilie kwenye semina kujifunza kuishi na wanawake wasiofunzwa na mama zao?
Hizi seminar zinawahusu Sana wanawake.
Thus makahaba na michepuko wao ndio uzitumia kwa sababu waliolewa wamejisahau,wao wakishapata tu cheti wamemaliza kazi,yote yaliyobaki atafanya dada wa Kazi.
 
Hizi seminar zinawahusu Sana wanawake.
Thus makahaba na michepuko wao ndio uzitumia kwa sababu waliolewa wamejisahau,wao wakishapata tu cheti wamemaliza kazi,yote yaliyobaki atafanya dada wa Kazi.
Kama mama yako hana heshima kwa mume wake usitegemee semina zikubadili , asie funzwa na ***** hufuzwa na ulimwengu , mimi nina misngi yangu ya kikoloni atakae fit apo tutaenda swa kinyume na apo aondoke tu , sipo tayari kuutweza uanaume wangu kwa misingi ya haki sawa ,asili ipo kinyume na hicho kitu.
 
Unakuta mzazi anakosea kumlea mtoto wake shida anaenda kupata atakae muoa au olewa nawe.
Watoto uishi kipindi kifupi Sana kwa wazazi wao kuliko kipindi wataishi kwenye ndoa zao.
Mtoto yeyeto uliyenae hata aliyezaliwa leo huyo ni mtoto kwako lakini ni mme na mke wa mtu kesho, unavyomlea ndio ataenda bomoa au jenga ndoa yake
 
We una mtindio wa ubongo? Kwahiyo hata nikiishi na dada yangu miezi 6 tayari ni ndoa? Kwamba katika kipindi hicho hapatakiwi kuwa na element ya unyumba ambayo inatakiwa idhibitishwe kwamba ilikuwepo? (Kuishi kama mume na mke)? , kwamba ili mradi mmeishi tu na hakuna cha ziada hapo? Basi hata mama yako mzazi ni mkeo, maana ni mwanamke na umeishi nae kwa miezi 6, sivyo? Na kama kuna kioengele cha kuishi kinyumba , huo unyumba unaudhibitishaje endapo nitakwambia tukikuwa na ugomvi kwa miezi mi5 kati ya hiyo 6 na hatukuwa na unyumba, utabisha?

Jibu hiyo hoja
Kilaza ww kwaio Dada ako sio haramu Yako ? au hujui kusoma nilichoandika ?
 
Blessed Tanzanian kipi kilikufanya kukubali ndoa? 4400 sababu za kukata ndoa unazo au unafuata msafara?
Mimi kinachonifanya nikubali ndoa ni ambayo nimeyaona kwenye ya kwangu. Miaka yote tuna furaha na tofauti ni za kibinadamu ambazo hakuna anaejiona mkamilifu zaidi ya mwenzie.

Watu wengi humu wametupa lawama zote kwa wanawake . Kana kwamba ndoa zote zinasababishwa na matatizo ya wanawake. Kwanini?! Kuna wanaume wangapi wanaingia na tabia za ajabu na wao wanachangia ndoa zao kuvunjika. Mtu anatoka alikotoka ana tabia za kihuni, anaenda huko anaukwaa ukimwi anauleta nyumbani eti akiulizwa kwanini unafanya uhuni anakwambia yeye ni mwanaume asipangiwe maisha. Tabia mbovu kila mtu anatoka nazo kwao sio jinsia moja peke yake.

So far sijaona ubaya wa ndoa kwa mtazamo wangu, ni kupata mtu sahihi tu. Hao wanaokataa ndoa ni wabinafsi wa kutupa. Na hata wakiwa na wapenzi wao wanawanyanyasa. So inaanza na mentality wengi humu akili zao ni za kizamani. Walizoea kuona baba zao wanazaa kijiji kizima wanaleta watoto nyumbani mama anawapokea anawalea, baba anaondoka nyumbani hata mwezi anafanya starehe anarudi na mama anampokea, sasa kipindi hiki magonjwa ni mengi, maisha yamebadilika. Ukimuacha mwanaume aendekeze nje anasahau familia kabisa mwanamke anajikuta anasomesha watoto mwenyewe. Mwanaume asiposimama kama baba kwenye familia anaitelekeza hata miezi na hataki kuulizwa nani anatunza familia sasa? Yaani makorokoro ni mengi ila kwa ambao tumeamua kuangalia positivity hatuoni ugumu wa ndoa. Maisha ya sasa yamebadilika mtu anang’ang’ania kuishi kizamani. Lazima aone shida. Kama mnaamua kujenga familia pamoja jengeni pamoja.
 
We una mtindio wa ubongo? Kwahiyo hata nikiishi na dada yangu miezi 6 tayari ni ndoa? Kwamba katika kipindi hicho hapatakiwi kuwa na element ya unyumba ambayo inatakiwa idhibitishwe kwamba ilikuwepo? (Kuishi kama mume na mke)? , kwamba ili mradi mmeishi tu na hakuna cha ziada hapo? Basi hata mama yako mzazi ni mkeo, maana ni mwanamke na umeishi nae kwa miezi 6, sivyo? Na kama kuna kioengele cha kuishi kinyumba , huo unyumba unaudhibitishaje endapo nitakwambia tukikuwa na ugomvi kwa miezi mi5 kati ya hiyo 6 na hatukuwa na unyumba, utabisha?

Jibu hiyo hoja
Mkuu kwanza ni PM level Yako ya Elimu. Maana naona uko mzito sana katika viwango vya ufahamu wa kawaida.

Nimekwambia mwanamke asiye haramu Yako, kama unaweza kuwakaza hata hao uliowataja ww, HONGERA.
 
Hakuna anaepinga kuoa, kuzaa, na kujenga familia, wanapinga ndoa! Ni kweli mnavichwa vizito namna hii au mnafanya kusudi?
Kiazi.

Ndoa ni nomino.

Kuoa ni kitenzi.

Kama usingizi na kusinzia , utasinzia vipi alafu ukasema Sina usingizi.

Hicho kichwa ama Bichwa.
 
Maana yake nendeni mkawatie mimba muijaze dunia

Sasa Onyesha aliposema nendeni mkaoane, leta huo mstari achana na ule sijui mwanaume atawaacha wazazi wake na kuambatana na mkewe leta mstari wa maana achana na huo mstari wa upigaji
Mzazi wako wa kike alipitia utaratibu upi ?
Aliolewa ama alipigwa mimba bila kuolewa ?
 
Ndio inaonyesha sasa wewe ni kundi lipi mwanamke alieolewa na mwenye maadili hawezi kumjibu mwanaume ovyo ovyo hata kwenye social media, Ila nyinyi wadangaji ndio mnashupaza shingo alafu unasema umeolewa jamaa kaoa shimo la taka kwa ajili ya kujaza manii tu hio ndio kazi uliyobakiza huna kingine,
Mwanamke alieolewa tena , mwenye maadili tena.


Mwanamke ukimuoa (akiolewa ) nd amepata Ndoa. Sasa mnachopinga muda wote ni nini,? Mkiambiwa kipeni jina mnaruka ruka.
 
Wewe huolewi hata ujifariji vipi kaa hapo nyuma ya keyboard jifariji Ila huolewi hata kwa kuroga utaenda sana kwa waganga Ila ndoa sahau, nshakwambia
Haolewi ama hapati Ndoa? Mbona unauma uma manene . Mara aliekuoa kaoa Dimbwi la choo.

alafu mkiambiwa kuoa ni kitenzi na ndoa ni nomino. Mnabisha . Kasomeni basi au nd mnakaza fuvu kwenye ukweli.
 
Nna watoto wawili, kama ishu ni kuijaza dunia napenda kuwa na watoto ninaoweza kuwamudu, sio kuzaa watoto wengi kwa kigezo cha kuijaza dunia kisha linapokuja swala kuhudumia unakuwa mtihani

Tofautisha kufunga ndoa na kuoa

Mimi ni mwanaume kamili na ninatomba kama kawaida na ila kama unataka nikufire sipo tayari kushiriki, ila kama wewe una kumma njoo unipe kisha uje kuleta ushuhuda hapa
Mkuu nimekwambia.

Kuoa ni nomino.
Ndoa ni kitenzi.

Yaani kama usingizi na kusinzia. Huwezi kusinzia ukasema Sina usingizi.
 
Back
Top Bottom