Lumbi9
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 8,666
- 12,178
Hiyo sheria ipo wapi mkuu, mbona mnapenda kusikia stories za vijiweniKama sheria ya 50/50 haitabadilishwa,,, haya maswala ya kupinga manyanyaso kwenye ndoa na porojo zingine ni ubatili tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo sheria ipo wapi mkuu, mbona mnapenda kusikia stories za vijiweniKama sheria ya 50/50 haitabadilishwa,,, haya maswala ya kupinga manyanyaso kwenye ndoa na porojo zingine ni ubatili tu.
Sawa, endelea kuamini ni stories za vijiweni mkuu.Hiyo sheria ipo wapi mkuu, mbona mnapenda kusikia stories za vijiweni
Ni kweli matokeo tutayaona ni mabaya kuliko tunavodhani muhimu ni kuelimishana kuacha ujinga huko ndoani Ili tupate familia zenye maadili na heshimaNi ujinga kukataa ndoa ilihali unaendelea kula mbususu nje ya utaratibu wa dini au hata mila zetu za kiafrika. Tafuta mmoja unaeona angalau mnaendana tunajua hawezi kuwa perfect thus why hata wewe sio perfect fata taratibu zinazotakiwa oa iwe kiislam/kikristo au kiserikali as long as umeoa. Watoto wanaharibika sababu ya vijana waleo hawataki majukumu na moja ya majukumu ni kuingia kwenye ndoa. Mungu atuongoze katika hili na atusamehe makosa yetu.
Kabisa ndugu yangu kuoa vijana hawataki lakini watoto wanapatikana na mbaya zaidi baba yupo kivyake Mama nae kivyake malezi ya watoto Hamna nini kinaenda kutokea?. Ndio jamii yetu ilipofikia ushoga na ujinga mwingine. Mungu anapotuamrisha baadhi ya Mambo huwa yanamaana kubwa sana.Ni kweli matokeo tutayaona ni mabaya kuliko tunavodhani muhimu ni kuelimishana kuacha ujinga huko ndoani Ili tupate familia zenye maadili na heshima
Mm sina dada[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ubaya tunakubaliana kupoteza vijana wenzetu sisi dada zetu wakizalishwa nyumbani tunaona sio sawaa...!! Hapana kama Tunakubaliana ndoa ni utapeli hata Baba zetu wakitelekeza mama zetu wakiwa na ndugu zetu iwe sawa maana NDOA NI UTAPELI
Come on bro! Ndoa kwa mwanamke ni kama pesa kwa mwanaume bro.Hivi kwann wanawake wanaitaka sana ndoa[emoji23]
Ni kweli na wsliolelewa na wazazi wanajua Nini maanayake na imewasaidia kiasi gani kuwa hapo walipoKabisa ndugu yangu kuoa vijana hawataki lakini watoto wanapatikana na mbaya zaidi baba yupo kivyake Mama nae kivyake malezi ya watoto Hamna nini kinaenda kutokea?. Ndio jamii yetu ilipofikia ushoga na ujinga mwingine. Mungu anapotuamrisha baadhi ya Mambo huwa yanamaana kubwa sana.
Sii bure jf kuna mtu kakurogaNaona Jf imekumbwa na kampeni ya vijana wa ovyoo kupinga ndoa lakini hao hao wanatoka kwente Familia ya baba na mama. Hao wanaopingaa wana dada zao na wadongo zao wakike wakizalishwa Nyumbani wanaume wakawakimbia Wanaanza kulalamika. Sasa unajiuliza kampeni ya kataa ndoa wanayoieneza wanataka ifanyaje kazi???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tusikatae ndoa ila tukatae manyanyaso na ndoa zisizokuwa na Amani..Ndoa ambazo kila kukicha ni kupigana na kutukanana lakini Kiufupu ndoa ambayo mke na mume wanaishi kwa amani wanafanya maisha hakika Zibarikiwe na zidumu. Vijana tafuta wakufanan nae uanemmudu..mnapendana WEKA NDANI fanya maishaa umalayaa haulipi wala hauna mwisho mzuri.
😂😂😂Sii bure jf kuna mtu kakuroga
Mwanamke atachukua kile ambacho amechangia mkuu, wengi wanapigwa kwa kutokujua sheria, na hiyo sio kwenye ndoa tu kila sehemu wana wanadhulumiwa haki zao kwa kutokujua sheriaSawa, endelea kuamini ni stories za vijiweni mkuu.
Kweli mkuu inabdi tushauri na Baba zetu... ndoa ni utapeliii Waamke toka usingizini[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kataa NDOAAA..
Ndoa n utapeli ...
Ndoa n uhujumu uchumi na akili ya mwanaumee..
Baba yangu alikataa ndoaa baada ya kuingia na kutoka na aliivunja mbele ya wanaohusika kusimamia ndoa ivunjwe na nikapatikana mm Kwenye ndoa ,baada ya hapo baba hakusubutu ht kutamka neno NDOA Tena maana ilikuwa jehanamu ,ndoa yake kati na b mkubwa wanawake konyo mzeee.SIKIAA TU KWA WENZIO WANATESAKA NA NDOA WANAMAANISHA..Kweli mkuu inabdi tushauri na Baba zetu... ndoa ni utapeliii Waamke toka usingizini[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tuoe ili ukale kimasikhara sio?Naona JF imekumbwa na kampeni ya vijana wa ovyoo kupinga ndoa lakini hao hao wanatoka kwenye Familia ya baba na mama. Hao wanaopingaa wana dada zao na wadogo zao wakike wakizalishwa Nyumbani wanaume wakawakimbia Wanaanza kulalamika. Sasa unajiuliza kampeni ya kataa ndoa wanayoieneza wanataka ifanyaje kazi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tusikatae ndoa ila tukatae manyanyaso na ndoa zisizokuwa na Amani. Ndoa ambazo kila kukicha ni kupigana na kutukanana lakini Kiufupu ndoa ambayo mke na mume wanaishi kwa amani wanafanya maisha hakika Zibarikiwe na zidumu. Vijana tafuta wakufanana nae unaemmudu. Mnapendana WEKA NDANI fanya maishaa umalayaa haulipi wala hauna mwisho mzuri.
Kwenye kula tunda kimasihara unawaharibu vijana kule mkuuumalayaa haulipi wala hauna mwisho mzuri.