Atlantic Star
JF-Expert Member
- Feb 22, 2023
- 539
- 1,696
........kwamba ameacha athari kubwa sana kule.....Kwenye kula tunda kimasihara unawaharibu vijana kule mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
........kwamba ameacha athari kubwa sana kule.....Kwenye kula tunda kimasihara unawaharibu vijana kule mkuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Vijana wanataka mbinu hawataki kuoa kaka..Kwenye kula tunda kimasihara unawaharibu vijana kule mkuu
Sanaa,ngono imewekwa ni jambo la kawaida na la kheri kule........kwamba ameacha athari kubwa sana kule.....
😳To yeye Leo ni mwanaume[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Vijana wanataka mbinu hawataki kuoa kaka..
Sanaa,ngono imewekwa ni jambo la kawaida na la kheri kule
Kakua afu anaweza edit thread yake lakini si comments za watu.....ule Uzi ni remarkable, sasa sijui nini kimetokea.....kuna mawili labda ameokoaka au akaunti yake iko hacked cozameshauri jambo jema la ndoa......
😳🙌🙄Kuepuka milolongo mingi KATAA NDOA.
Kama ni mapenzi na watoto yote yanapatikana for free nje ya ndoa.
##KATAA NDOA[emoji3577][emoji3577]
.......ni kweli angeediti kinamna fulani ionekane alikuwa anakemea au anaonya ngono zembe, then wachangiaji ndo waonekane 'wapenda kimasihara'.......Kakua afu anaweza edit thread yake lakini si comments za watu
😂😂Umeona ee,at least angeua jau....hapa watu twamchora tu.......ni kweli angeediti kinamna fulani ionekane alikuwa anakemea au anaonya ngono zembe, then wachangiaji ndo waonekane 'wapenda kimasihara'.......
Nani kasema maneno yake sio SHERIA YA NDOAKama rikiboy amesema basi kampeni iishie apa
Soma SHERIA YA NDOA 1971 unganisha na proceedings zake utaelewa jamboHiyo sheria ipo wapi mkuu, mbona mnapenda kusikia stories za vijiweni
.......nadhani yeye anafurahia hilo coz limempa umaarufu mkubwa hapa, imagine kama ingeandaliwa tafrija ya wanajf then inafika saa ya utambulisho............mc akisema tu sasa namsimamisha bwana rikiboy awasalimie Wana MMU, nadhani kila mtu angeacha shughuli anayofanya.......😂😂Umeona ee,at least angeua jau....hapa watu twamchora tu
😂😂😂Sanaa.......nadhani yeye anafurahia hilo coz limempa umaarufu mkubwa hapa, imagine kama ingeandaliwa tafrija ya wanajf then inafika saa ya utambulisho............mc akisema tu sasa namsimamisha bwana rikiboy awasalimie Wana MMU, nadhani kila mtu angeacha shughuli anayofanya.......
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Siwezi simamaa.........nadhani yeye anafurahia hilo coz limempa umaarufu mkubwa hapa, imagine kama ingeandaliwa tafrija ya wanajf then inafika saa ya utambulisho............mc akisema tu sasa namsimamisha bwana rikiboy awasalimie Wana MMU, nadhani kila mtu angeacha shughuli anayofanya.......
.......hahahaaa unasimama tu mkuu afu unawaambia 'awali ya yote niwatake radhi wote walioathirika na lile bandiko nawashauri waende angaza, lakini pia niwapongeze woote walifanikiwa kukwepa mitego ya kimasihara, nawashauri waoe......#kataa kimasihara, kubali ndoa'.........[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Siwezi simamaa..