MJADALA: Kwanini pale alipo mtu mweusi hali ya uchumi huwa ni tete? Nini chanzo cha umasikini?

MJADALA: Kwanini pale alipo mtu mweusi hali ya uchumi huwa ni tete? Nini chanzo cha umasikini?

kakolo

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2011
Posts
397
Reaction score
341
Ndugu zangu hili ni suala tunaweza kulipatia ufumbuzi tukilijadili kwa kuangalia hali halisi ya nchi yetu na za Africa kwa ujumla.

Juzi Tanzania one alisema sisi bei yetu ni poa sana ukilinganisha na ndugu zetu wamarekani. Sidhani kama alikuwa sahihi na hakupatikana mwandishi wa kumwuliza nini hasa alimaanisha je ni ile bei ya pump pale sheli au alimaanisha tozo zilizopo katika mafuta?

Ila kikubwa hapa kwa nini nchi za Afrika haziendelei nini tatizo rasilimali zipo, watu wapo na serikali sikivu zipo lakini hali si nzuri sasa hivi vita ipo Ukraine, Ethiopia, Somalia, madagascar hali si shwari.

Wapi Serikali au nchi zetu zinakosea?

Tafadharini tusaidiane kimawazo, Makamba akipita hapa tuwe tumemwongezea kitu. Karibuni.
 
Ndugu zangu hili ni swala tunaweza kulipatia ufumbuzi tukilijadili kwa kuangalia hali halisi ya nchi yetu na za Africa kwa ujumla. Juzi Tanzania one alisema sisi bei yetu ni poa sana ukilinganisha na ndugu zetu wamarekani. Sidhani kama alikuwa sahihi na hakupatikana mwandishi wa kumwuliza nini hasa alimaanisha je ni ile bei ya pump pale sheli au alimaanisha tozo zilizopo katika mafuta? Ila kikubwa hapa kwa nini nchi za Africa haziendelei nini tatizo rasilimali zipo, watu wapo na serikali sikivu zipo lakini hali si nzuri sasa hivi vita ipo Ukraine Ethiopia, Somalia, madagascar hali si shwari. Wapi serikali au nchi zetu zinakosea? Tafadharini tusaidiane kimawazo, Makamba akipita hapa tuwe tumemwongezea kitu. Karibuni.
Mindset ya mtu mweusi mwenyewe.
 
Kama West's wataendelea kuongoza dunia basi jua Africa kupiga hatua haitawezekana!

Maana adui mkubwa wetu ni RUSHWA na Wala RUSHWA kubwa kubwa wanaficha hela zao ulaya na america na hawasemi kitu mpaka mshtukie!

Na RUSHWA ndio silaha kubwa waliyonayo ulaya na america katika kutuangamiza!

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Chanzo cha umasikini ni viongozi wakuu wa Taifa kuwa mafisadi na kuhamasisha ufisadi kwenye Taifa👇🤡🤡🤡
View attachment 2215069
Mkuu to be honest huyu Tanzania one nafikiri hakuwa amepanga hata aseme nini- Hatuna waandishi wa habari wangemwuliza hapo alikuwa anamaanisha nini? Hata msemaji wake angetokea akafafanua maana literaly mtu kama mimi nitachukulia amewaruhusu mawaziri wapige mkwanja. . Kama kiongozi hapo alikuwa anaongea nini? Tuchukulie katika level ya private firm staff ukiwaambia hivyo nini kitatokea?
 
Kwanini nchi zote zenye weusi wengi duniani Ni masikini?
Africa,Jamaica,Haiti,Dominic Republic,Brazil etc.
Je watu weusi Hawana akili kama watu wengine?
Hapa ndipo inabidi tuwaze kwa kina maana ulichosema hapo ni ukweli 100%
 
Linaweza kuwa ni tatizo la IQ linalosababishwa na ulaji kupita kiasi wa Ugali.
Ugali sidhani kwa sababu vyakula vyote vikiingia mwilini hugeuka kuwa sukari. IQ huongezwa na kuifanya akiri iwe inafikiria mambo ya kufikiria sana, exposure, kucheza games na vitu kama hivyo. Ugali hapana mkuu.
 
Mindset ya mtu mweusi mwenyewe.
Mkuu unaweza kufafanua maana ni point kubwa lakini watu wana exposure siku hizi. Serikalini ma Doctor na ma profesa ndio wamajaa na wengi wao wamesoma nje. Mfano Mzee Pinda alisomeshwa kabisa na FBI lakini Chadema na CUF walipokuwa wanasumbua alisema wapigwe tu. Hakutafuta njia mbadala.
 
Ugali sidhani kwa sababu vyakula vyote vikiingia mwilini hugeuka kuwa sukari. IQ huongezwa na kuifanya akiri iwe inafikiria mambo ya kufikiria sana, exposure, kucheza games na vitu kama hivyo. Ugali hapana mkuu.
Fanya Research kidogo angalia Nchi za Watu wanaokula Ugali for Breakfast,Lunch n Dinner angalia na Umasikini na IQ zao.

After all huu Ugali tumeletewa na Wareno i mean Wamisionari wa Kireno.
 
Juu katikati ya masikio kunae tatizo.

Karne zaidi ya nne za kutawaliwa kikoloni kumetuathiri tukaevolve kuwa tulivyo leo .

Tumeadapt kulingana na mazingira kingese Sana badala ya kuwa more superior tumekuwa more Inferior.

Tunaishia zama za mawe za Kati ... Tunaishia KWA trial and error badala ya kutumia science kupata matokeo .
 
Mtu Mweusi ?!!!

Unamjua Mansa Kankan Mussa ??

Ukishamjua huyo na kumfuatilia rudi tena tuendelee na mjadala....

Umasikini mwingi ni Man Made na unatokana na Marginalization na unyonyaji fulani na ukiunganisha na mentality ya watu / mtu...,

Huwezi kuniambia mmasai ni masikini wakati ana chakula chake, natural AC na anayamudu mazingira alafu eti jamaa anayeishi huko New York kwenye one bedroom flat na maisha yake yote yupo kwenye cubicle 24/7 anatafuta senti ya kuweka kumuweka kwenye one bedroom flat yake ambayo hakai sana sababu muda mwingi anatumia kwenye traffic..., eti huyu ni tajiri in comparison na huyu mwingine....

It's just your perception....
 
Fanya Research kidogo angalia Nchi za Watu wanaokula Ugali for Breakfast,Lunch n Dinner angalia na Umasikini na IQ zao.

After all huu Ugali tumeletewa na Wareno i mean Wamisionari wa Kireno.
Hahaa- Good one.
 
Back
Top Bottom