MJADALA: Kwanini pale alipo mtu mweusi hali ya uchumi huwa ni tete? Nini chanzo cha umasikini?

MJADALA: Kwanini pale alipo mtu mweusi hali ya uchumi huwa ni tete? Nini chanzo cha umasikini?

Juu katikati ya masikio kunae tatizo.

Karne zaidi ya nne za kutawaliwa kikoloni kumetuathiri tukaevolve kuwa tulivyo leo .

Tumeadapt kulingana na mazingira kingese Sana badala ya kuwa more superior tumekuwa more Inferior.

Tunaishia zama za mawe za Kati ... Tunaishia KWA trial and error badala ya kutumia science kupata matokeo .
Kwenye ku-adapt mazingira mimi nalaumu dini hapo ndio tulipotea. Mlokole kushika pombe ni dhambi. Mwisilamu wa Africa anaona dhambi kuuza pombe lakini wanaomiliki casino huko kwa wenzetu ni masheik
 
Fanya Research kidogo angalia Nchi za Watu wanaokula Ugali for Breakfast,Lunch n Dinner angalia na Umasikini na IQ zao.

After all huu Ugali tumeletewa na Wareno i mean Wamisionari wa Kireno.
kumbe na ugali wameleta wao. Mi nilijia ni maindi tu.
 
Kwenye ku-adapt mazingira mimi nalaumu dini hapo ndio tulipotea. Mlokole kushika pombe ni dhambi. Mwisilamu wa Africa anaona dhambi kuuza pombe lakini wanaomiliki casino huko kwa wenzetu ni masheik


Tunayo shida kichwani , Na hili linaanzia ngazi za juu ...

Kama baba ni Mwehu na watoto lazima wawe wehu .

Papai halizai chungwa.
 
tatizo itakuwa CCM....hahahaha
Hujakosea. Mfano mdogo tu mama kacheza Royal Tour na akabandika mapicha yake. Sasa kwa kifupi nani anamjua States? Yaani kwa vyovyote vile Willy Smith alivyopost yuko Serengeti itakuwa imeonwa sana na audience aliyoi target mama kuliko yeye. Washauri wake wengi machawa hawamshauri ukweli.
 
Tunayo shida kichwani , Na hili linaanzia ngazi za juu ...

Kama baba ni Mwehu na watoto lazima wawe wehu .

Papai halizai chungwa.
Shida ni kwamba Shivji kasema juzi wasomi hawakosoi kwa sababu wanategemea teuzi. Mama kufanya Royal tour haina impact sana bora angemlipa hata Salah apost kwenye page yake.
 
Ndugu zangu hili ni suala tunaweza kulipatia ufumbuzi tukilijadili kwa kuangalia hali halisi ya nchi yetu na za Africa kwa ujumla.

Juzi Tanzania one alisema sisi bei yetu ni poa sana ukilinganisha na ndugu zetu wamarekani. Sidhani kama alikuwa sahihi na hakupatikana mwandishi wa kumwuliza nini hasa alimaanisha je ni ile bei ya pump pale sheli au alimaanisha tozo zilizopo katika mafuta?

Ila kikubwa hapa kwa nini nchi za Afrika haziendelei nini tatizo rasilimali zipo, watu wapo na serikali sikivu zipo lakini hali si nzuri sasa hivi vita ipo Ukraine, Ethiopia, Somalia, madagascar hali si shwari.

Wapi Serikali au nchi zetu zinakosea?

Tafadharini tusaidiane kimawazo, Makamba akipita hapa tuwe tumemwongezea kitu. Karibuni.
RAIA WA NCHI HIZI Wanasomea wizi zaidi kuliko uadilifu na Uzalendo..
Hata viongozi wetu wa Dini , wengi wao wameweka maslahi binafsi mbele na .
Kupata kiongozi kama Nyerere asiyejali kujilimbikizia mali na kuwahudumia wananchi, au Kiongozi kama Maalim Seif Sharif Hamad, Wamekufa wakiwa hawana rasilimali yoyote , wengine hata nyumba ya Kuishi hawakuwa nazo, bali walitegemea nyumba za Serikali au za Kuazima.
Kwa hili taifa letu na bara kwa ujumla tutaendelea kubakia nyuma.
 
Uwezo wetu wa kiakili ktk kutatua changamoto zinazotukabili ni mdogo sana.

huo ndio ukweli mchungu.
Swadakta.
Tukikubali kuwa uwezo wetu kiakili mdogo, tutakwenda kuwaita wenye uwezo waje watuwekee mambo sawa. na kwa hiyo maisha yatanawirika kwa wote.
Lakini tukijifanya wajuwaji, tutaendelea kutafunana wenyewe kwa wenyewe.
Mwisho wa yote tuanza minyukano ya vita vya wenyewe kwa wenyewe.
na huo utakuwa ndio mwiisho wetu.
Kila Uchaguzi kwetu ni majuto na Maangamizi, kwa kuwa hatujakuwa na vipaumbele vya kitaifa zaidi ya kuibakiza CCM madarakani.
 
Mtu Mweusi ?!!!

Unamjua Mansa Kankan Mussa ??

Ukishamjua huyo na kumfuatilia rudi tena tuendelee na mjadala....

Umasikini mwingi ni Man Made na unatokana na Marginalization na unyonyaji fulani na ukiunganisha na mentality ya watu / mtu...,

Huwezi kuniambia mmasai ni masikini wakati ana chakula chake, natural AC na anayamudu mazingira alafu eti jamaa anayeishi huko New York kwenye one bedroom flat na maisha yake yote yupo kwenye cubicle 24/7 anatafuta senti ya kuweka kumuweka kwenye one bedroom flat yake ambayo hakai sana sababu muda mwingi anatumia kwenye traffic..., eti huyu ni tajiri in comparison na huyu mwingine....

It's just your perception....
Linganisha

Huduma za afya
Maji
Miundombinu
Elimu


Kati ya Tanzania na marekani , Acha kulinganisha vitu vidogo
 
Hakuna taifa, kila mmoja anafikiria ki ukijiji kutokana na mazingira tuliyokulia.


Ili nchi iendelee kwa umoja / uniformity inatakiwa uwepo mfano wa pa kuanzia.

Viongozi wanatokana na ukijiji hivyo hata kitu kinachoitwa mipango miji ya kupanga nyumba zijengwe vipi, ziangalie wapi, maji taka yaende wapi, janga la moto ktk mji utengenezewe mfumo upi kuukabili ikitokea moto ujengwe vipi n.k n.k

Hapo ni suala la makaazi tu, bado hatujaingia katika masuala magumu zaidi ya kisayansi, uhandisi, utabibu, teknolojia na jiolojia .

Kuna kitu sisi weusi tulikikosa na ujenzi wa jamii kubwa, tawala za dola iwe kubwa za Ottoman, Prussia, Austro Hungary, China, Japan walipitia ujenzi wa taifa / dola iliyoitazama eneo la dunia inayoitawala kama ni mchezo wa kuunganisha vipande (jigsaw puzzle) ya kuunda kitu fulani kwa upana wake ulio na mwelekeo unaoeleweka. Na fikira hizi zilitiwa vichwani mwa watoto toka utotoni kutengeneza kitu kikubwa kama jamii.
1651923324128.png


Michezo hii ya jigsaw puzzle, kama huu ktk picha hapo juu . Monopoly game, Chess game husaidia kuungalia dunia au hata himaya ndogo kabisa kwa picha kubwa pana kijamii, elimu, historia, uchumi, kijeshi n.k

1651924018030.png


Sisi weusi tuna copy na kukariri elimu mpaka nje tunakwenda vyuoni au kutembelea ngambo lakini hatuna uwezo wa kujifunza ili tulichojifunza au kukiona huko nje basi tukifanye hapa nyumbani mfano Tanzania .


Wale wenzetu weupe wana uwezo wa ku copy na kukifanya kitu kiwe vizuri zaidi ya vile walivyokikuta ktk elimu ya ngambo au pale walipotembea na kukiona kitu fulani basi na wao watajitahidi waki copy au kukiongeza kiwanufaishe zaidi.


Dini ni kitu pekee mTanzania anakichukulia kipaumbele kwa bidii zote kufuata zile imani mbili za kutoka Mashariki ya Kati wakati dola za India, Japan, China hazikutaka kuzikumbatia dini hizi gawanishi, hata bara ulaya baadaye waligundua sehemu kubwa hasi yenye nia ya kutawala mawazo yao wakajiongeza. Sisi tunafuata dini hizo mbili za Mashariki ya Kati kichwa kichwa kutaka kuishi katika karne iliyokuwepo mwaka 1400 katika miaka hii yetu ya sasa digital.
 
Linganisha

Huduma za afya
Maji
Miundombinu
Elimu


Kati ya Tanzania na marekani , Acha kulinganisha vitu vidogo
Perception Perception....., Narudia tena kulinganisha Muafrika kijijini kwake na huyo Mmarekani...

Unaongelea huduma za afya Bora huko Marekani kama hauna Bima (which is not affordable to many unafia Mapokezi) Muafrika kabla wanyanganyi hawajamuingilia na kumyonya na kumfanya mtumwa na kumtawala mpaka leo alikuwa na dawa zake Afya kwake haikuwa reactive bali preventive...

Maji (upatikanaji wa Mito maji yalikuwepo tena yametengwa ya mifugo, kunywa, kufulia na kuongea...

Miundombinu watu waliweza kufika from Point A kwenye uzalishaji mpaka point B, sasa huko na hio miundombinu watu bado wanatumia miaka kadhaa katika maisha yao wakiwa stuck in traffic...

Elimu (Naam elimu ya kupambana na mazingira yao walifundishwa) ugunduzi wa chuma, utengeneazaji wa vyungu n.k. mabaki mengi yanapatikana katika African Countries / Communities..., Ukiangalia hata hilo Taifa la Marekani la sasa ni taifa la wanyanganyi waliokwenda huko na kuwanyanganya red indians ambao na wao walikuwa na community zao na mpango wao kimaisha wa kujipatia basic needs zao.....

Na msemo waliotuachia duniani nadhani leo una-ring true more than yesterday.....

When the last tree has been cut down, the last fish caught, the last river poisoned, only then will we realise that one cannot eat money,”
 
Ukiangalia hata hilo Taifa la Marekani la sasa ni taifa la wanyanganyi waliokwenda huko na kuwanyanganya

Ndiyo mpango mzima ili dola iendelee, tazama hata zama hizi Russia anatafuta nini Ukraine kama siyo ustawi na usalama wa dola kubwa ya Russia kiuchumi, kijeshi na kiushawishi wa mabavu.
 
Nyeusi ni nyeusi tu, kote itakua nyeusi haiwezi badilika.
Hata akipewa fursa ya kuleta mabadiriko?
Huo weusi maana yake ni laana. Ndiyo maana weusi na umaskini ni Pete na kidole
Mkuu nime experience kwanza hatupendani halafu tunajifanya tunajua kila kitu na tunamjua kila mtu. Unaweza kuta mtu anakufanyia ubaya tu hata hamjuani ili tu why you?
 
Mkuu nime experience kwanza hatupendani halafu tunajifanya tunajua kila kitu na tunamjua kila mtu. Unaweza kuta mtu anakufanyia ubaya tu hata hamjuani ili tu why you?
Kutopendana kunatufanya tushindwe hata kuunganisha visenti vyetu tukaanzisha biashara ya pamoja (partnership).

Wanaojaribu kufanya partnership huishia kugombana tu, wawe wanafamilia, marafiki, ama wanafamilia huishia kushikiana mapanga na kugawana mbao. Weusi ni laana
 
Back
Top Bottom