Noma sana!Kwanini nchi zote zenye weusi wengi duniani Ni masikini?
Africa,Jamaica,Haiti,Dominic Republic,Brazil etc.
Je watu weusi Hawana akili kama watu wengine?
Kaka hata mbio za viwete kuna kiongozi, ata hapa bongo kuna kanda nyingine wana afadhali nyingine hoi so hatufanani 100% ila in general wote ni masikini tuuHapo nakupinga Afrika ni kubwa na maendeleo yanatofautiana, kuna nchi za Afrika ambazo ni middle income, mfano Botswana inazidi nchi nyingi tu Asia hata Namibia wanajitahidi pia, hivyo labda uongelee Tanzania yetu ingawaje ni kweli nchi za Afrika ni masikini lkn Kidunia ni nchi chache sana tajiri.
Hapo kweli changamoto sasa tufanye nini maana hao West walitupatia uhuru. Magu kapambana sana na wara rushwa hadi utamaduni ukaanza kuwa ukiwa mchapakazi una kuwa rewarded. Mama kaja na uendeshaji mwingine kupunguza uonevu maana TRA/DPP nao walikuwa wanakandamiza watu.Kama West's wataendelea kuongoza dunia basi jua Africa kupiga hatua haitawezekana!
Maana adui mkubwa wetu ni RUSHWA na Wala RUSHWA kubwa kubwa wanaficha hela zao ulaya na america na hawasemi kitu mpaka mshtukie!
Na RUSHWA ndio silaha kubwa waliyonayo ulaya na america katika kutuangamiza!
Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Kaka hata mbio za viwete kuna kiongozi, ata hapa bongo kuna kanda nyingine wana afadhali nyingine hoi so hatufanani 100% ila in general wote ni masikini tuu
Lazima tuwe na mifumo imara,dira na taasisi nzuri zenye usimamiaji wa dhati..Nafikiri una maanisha institutions. Tufanye nini mkuu?
Inawezekana ugali ukawa ni tatizo maana angalia ile kanda ya wapenda ugali IQ zao mtihani tu.Linaweza kuwa ni tatizo la IQ hafifu linalosababishwa na ulaji kupita kiasi wa Ugali.
Kaka hata mbio za viwete kuna kiongozi, ata hapa bongo kuna kanda nyingine wana afadhali nyingine hoi so hatufanani 100% ila in general wote ni ma
Mkuu nashukuru namtafuta huyo mtu ( Mansa Kankan) then nitarudi nitakuwa nimeshaangalia na utajiri wa masikini.Mtu Mweusi ?!!!
Unamjua Mansa Kankan Mussa ??
Ukishamjua huyo na kumfuatilia rudi tena tuendelee na mjadala....
Umasikini mwingi ni Man Made na unatokana na Marginalization na unyonyaji fulani na ukiunganisha na mentality ya watu / mtu...,
Huwezi kuniambia mmasai ni masikini wakati ana chakula chake, natural AC na anayamudu mazingira alafu eti jamaa anayeishi huko New York kwenye one bedroom flat na maisha yake yote yupo kwenye cubicle 24/7 anatafuta senti ya kuweka kumuweka kwenye one bedroom flat yake ambayo hakai sana sababu muda mwingi anatumia kwenye traffic..., eti huyu ni tajiri in comparison na huyu mwingine....
It's just your perception....
Ukiangalia Haiti issue kwelikweli, Africa si zote lakini asilimia nyingi sana ni shida, yaani mfano Tanzania ni nchi ya wakulima na wafanyakazi lakini hata sisi wenyewe hatujitoshelezi. Ukraini vita njaa Somalia.Hapa ndipo inabidi tuwaze kwa kina maana ulichosema hapo ni ukweli 100%
Hapo sawa kabisa Japan hawana raw material wamewekeza kwenye brain.Umasikini ni nadharia tu ya wenye malengo yao, kwa uhalisia hakuna umasikini.
Neno tajiri/masikini lipo kama namba sita kutegemea upande uliopo.
Binadamu anaposhindwa kuyatambua na kumudu mazingira yake yanayomzunguka ndipo hapo tatizo linapoanzia.
Jamii ikielewa na kufahamu kutumia rasilimali zilizopo kwa usahihi kutatua changamoto zake hapo ndio ustaarabu unakuwepo.
Hapo ndio tuna feli. Nini shida elimu? au nini? exposure?Uwezo wetu wa kiakili ktk kutatua changamoto zinazotukabili ni mdogo sana.
huo ndio ukweli mchungu.
ndivyo tumeumbwa ni ngumu kulibadili hilo. labda mazingira yanakuza tatizo pia.Hapo ndio tuna feli. Nini shida elimu? au nini? exposure?
Umasikini ni kutokujikimu basic needs kwa mazingira yetu Chakula, maji salama, maradhi safi na free of diseases.Umasikini ni nadharia tu ya wenye malengo yao, kwa uhalisia hakuna umasikini.
Neno tajiri/masikini lipo kama namba sita kutegemea upande uliopo.
Binadamu anaposhindwa kuyatambua na kumudu mazingira yake yanayomzunguka ndipo hapo tatizo linapoanzia.
Jamii ikielewa na kufahamu kutumia rasilimali zilizopo kwa usahihi kutatua changamoto zake hapo ndio ustaarabu unakuwepo.