Haswa tena ukiwakuta wachafu ni wachafu kweliMkuu uliambiwa nanani??hayo majini matendo yao kama binaadam kuna watiifu kuna maafriti kuna majini yanayopenda ngono(jinni mahaba)
Wapo wa kila aina kama tulivo sisi wanaadam
Wewe elmu GANI ya majini?!au unataka tu uikosoe uislamu unavyotaka wewe??Bado elimu ya majini kama ifundishwavyo na uislamu inakanganya sana, kuna wanaosema kwamba yale yote yanayowakumba watu ni majini waasi, sasa mbona huwa yanawaamuru viti wao kutimiza yote yaliyo kwenye uislamu, tena inasemekana na ndivyo ilivyo, huwa viti wao ni wasafi washika udhu, hawataki janaba na ni swala tano, akizingua hayo huchapwa na majini yao, huyu naye anasema yanapenda uchafu, hapaeleweki hapo.
Vipi wewe unaposoma ukiwa hujakatwa hicho kifuniko chako..utasubiria kiondolewe hicho kifuniko ili umalizie masomo amaVipi wadada wanaofanya kazi wakiwa period wasubiri ipite ndio waende kazn?
Ndio maana nikasema wanawake tunachangamoto kubwa sana.Vipi wadada wanaofanya kazi wakiwa period wasubiri ipite ndio waende kazn?
Mimi tenaLeta hoja iliyosahihi tuijifunze tofaut na hayo
Vipi wadada wanaofanya kazi wakiwa period wasubiri ipite ndio waende kazn?
Nimeelezea Kwa upande ninaoufaham ,ingekuwa vizuri akatokea mtu akaelezea kwa upande wa wanawake wa kikristo tatizo hasa nini wanawake kuwa na mapepo kwani tatizo hili ni la dini zote mbili kwakweliMbona haya maelezo yako yanawahusu sana Wanawake wa ' Kiislamu ' na yamekaa ' Kiislamu ' zaidi Mkuu? Vipi na kwa Wanawake wetu Sisi Wakristo?
Hapana sio weweMimi tena
Hana hoja huyo zaidi ya matusi ndiyo anayoyajua na dhihaka.
Hana hoja huyo zaidi ya matusi ndiyo anayoyajua
Ukimuona mtu anafuata anayoamrishwa na majini jua huyo ni mshirikinaBado elimu ya majini kama ifundishwavyo na uislamu inakanganya sana, kuna wanaosema kwamba yale yote yanayowakumba watu ni majini waasi, sasa mbona huwa yanawaamuru viti wao kutimiza yote yaliyo kwenye uislamu, tena inasemekana na ndivyo ilivyo, huwa viti wao ni wasafi washika udhu, hawataki janaba na ni swala tano, akizingua hayo huchapwa na majini yao, huyu naye anasema yanapenda uchafu, hapaeleweki hapo.
Hakuna anayekuchanganya ,ni kiasi cha kujibu hoja kwa hoja. Hapa nimezungumzia wanawake kwa ujumla wa dini zote hata kwenye maombez wanawake ni wahanga kuliko wanaume. Hata makanisani wanaoanguka na mapepo wengi ni wanawake tofauti na wanaume . Kinachotakiwa uweke chanzo tofauti na hayo niliyoaelezea .Msituchanganye hapa. Kwanza wanawake wenye majini wengi wao ni waislam.
Wengi wao hawana elimu ya darasani.
Wengi wao huyapata wakiwa wadogo hawajawa na hayo majanaba wala hedhi, huanza kuanguka shuleni tena kwenye shule za kimaskini ndio wengi.
Wengi wao ni kutoka tanzania... sijasikia wanawake wa kizungu wanaanguka shuleni wakati wao ndio wanaongoza kuishi na majanaba.
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji115]Vipi wewe unaposoma ukiwa hujakatwa hicho kifuniko chako..utasubiria kiondolewe hicho kifuniko ili umalizie masomo ama