MJADALA: Kwanini Wanawake wanaongoza kuwa na majini/mapepo kwa kasi kuliko Wanaume?

MJADALA: Kwanini Wanawake wanaongoza kuwa na majini/mapepo kwa kasi kuliko Wanaume?

Miili ya akina mama natural ni michafu hivyo viumbe hivyo hugeuza miili hiyo kuwa makazi yao na ndio wanayoipenda,tiba yake ni kudumu ktk ibada na kuwa tohara muda wote kujiepusha na mizunguko isiyo na msingi wakiwa ktk hali zao.
Wamama tumekukosea nini? Kweli Mungu ametuumba wachafu?
 
Wanawake wanasumbuliwa na majini kutokana na tabia zao kama vile kutumia vitu vinatumiwa na majini mfano; pafyum kali kali ambazo inasadikika kuwa ni chakula cha majin.
 
NAKUPINGA TENA KWA HERUFI KUBWA MATAJIRI WENGI SIO WACHAWI MASKINI NDIO WACHAWI JIULIZE TAJIRI ASHAKAMATWA ANAROGA?
Uchaw sio lazima ukutwe unaroga. Matajiri walio wengi wanaamini ushirikina.
 
Subiri nikujib kiiman yangu (Islam) kutokana na iman yangu , wanawake wengi wanasumbuliwa na Majini
1.majini wanapenda vitu vichafu mfano mikojo na haja Kubwa ( kwa ushahidi wa Huu majini wanapendelea kukaa sehemu za Chooni) unashauriwa ukitoka haja Kubwa na ndogo tawaza kwa maji mengi.
Kwa maumbile ya wanawake na wanawake walio wengi sikuhz hawanaw wanatumia toilets paper wanazurula mjini ikiwa miili yao ina najis hapa Majini ni rahisi kupata makaz Kwenye mwili wa huyu mtu kwa kukumbana naye hata barabaran.


2.Uchafu wa janaba Majini wanaupenda, unapotoka kufanya mapenzi unatakiwa ukoge mwili mzima kila kiungo chako kiingie maji kuanzia nywele hii ni kwa wanaume na wanawake, zoezi hili kwa wanaume ni rahisi Sana. Ukija kwa wanawake kuna vikwazo nywele kasuka hawez kutia maji, vidolen kabandika mikucha Kwahiyo na mwingine kaolewa Kwahiyo anaoga nusu mwili ule uchafu wa janaba anadhurula nao mtaani Chochote kibaya majini wanawakumba kirahisi kwa kuwa mwili wake unamvuto wa makaz ya Majini.

3.majini wanapenda damu, inashauriwa kidini mwanamke anapokuwa period atulie nyumban asidhurule, kudhurulula ilhali mwili mchafu Majini wanauwezo wa kukumba hapohapo inashauriwa ukimaliza hedhi unajitwaharisha unakoga Kama kule Kwenye janaba viungo vyotee vya mwili vipate maji, mtihan unakuwa uleule kasuka, amebondi, kasuka rasta, maji hayaingii anatembea ilhali ana uchafu wa hedhi mwanamke wa aina hii akipita njian ni rahisi Majini kumkumba.

4.Damu ya uzazi Majini Wanapenda, Ndio maana imeshauriwa kidini mwanamke aanze Shughuli zake pindi damu ya uzazi itakapokata,wengine wanakaa siku 40 ndani halafu ajitwaharishe kuoga mwili mzima Ndio aendelee na mambo yake. Wanawake walio wengi hawafanyi hivi kinachotokea Mwanamama huyu mwili wake unakuwa ni kivutio kwa Majini.

Ukiangalia Hizo sababu unakuta wanawake wengi wako hatarini ya kufikwa na Majini tofauti na wanaume Ndio maana Kwenye wanawake 100 unaweza kuta 90 wanamapepo 10 tu Ndio wamekoswakoswa au wako hatarini.
 
1.majini wanapenda vitu vichafu mfano mikojo na haja Kubwa ( kwa ushahidi wa Huu majini wanapendelea kukaa sehemu za Chooni) . Kwa mujibu wa Uislamu unashauriwa ukitoka haja Kubwa na ndogo tawaza kwa maji mengi.
Kwa maumbile ya wanawake na wanawake walio wengi sikuhz hawanaw wanatumia toilets paper wanazurula mjini ikiwa miili yao ina najis hapa Majini ni rahisi kupata makaz Kwenye mwili wa huyu mtu kwa kukumbana naye hata barabaran.


2.Uchafu wa janaba Majini wanaupenda, kwa mujibu wa Uislam unapotoka kufanya mapenzi unatakiwa ukoge mwili mzima kila kiungo chako kiingie maji kuanzia nywele mpaka unyayo hii ni kwa wanaume na wanawake, zoezi hili kwa wanaume ni rahisi Sana. Ukija kwa wanawake kuna vikwazo nywele kasuka hawez kutia maji, vidolen kabandika mikucha Kwahiyo na mwingine kaolewa Kwahiyo anaoga nusu mwili ule uchafu wa janaba anadhurula nao mtaani Chochote kibaya kinauwezo wa kumkumba kirahisi kwa kuwa mwili wake unamvuto wa makaz ya Majini.

3.majini wanapenda damu, uislam unashauri mwanamke anapokuwa period atulie nyumban asidhurule bila sababu za msingi , kudhurulula ilhali mwili mchafu Majini wanauwezo wa kukumba hapohapo inashauriwa ukimaliza hedhi unajitwaharisha unakoga Kama kule Kwenye janaba viungo vyotee vya mwili vipate maji, mtihan unakuwa uleule kasuka, amebondi, kasuka rasta, maji hayaingii anatembea ilhali ana uchafu wa hedhi mwanamke wa aina hii akipita njian ni rahisi Majini kumkumba.

4.Damu ya uzazi Majini Wanapenda, Ndio maana imeshauriwa kidini mwanamke aanze Shughuli zake pindi damu ya uzazi itakapokata,wengine wanakaa siku 40 ndani ,anajua siku hizo hata damu ya uzazi itakuwa imekata. halafu anatakiwa ajitwaharishe kuoga mwili mzima kila kiungo kipate maji Ndio aendelee na mambo yake. Wanawake walio wengi hawafanyi hivi kinachotokea Mwanamama huyu mwili wake unakuwa ni kivutio kwa Majini.

5.Kutia udhu unapolala usiku. Inashauriwa unapoingia kulala mwanamke au mwanaume uoge halafu utie udhu ulale (ukiwa msafi) hii inamaanisha hata ukifa huo usiku utakufa ukiwa msafi mwenye udhu ni swawabu na majini wanaoranda usiku hawawez kupata makazi kwako . Wanawake tunakumbana na mtihani uleule, wa nywele, kucha za kubandika mtu Huwez kutia udhu unalala ukijumlisha una uchafu wa hedhi, janaba Ambao unadhurula nao mchana kutwa basi mwili wako unazidi kuwa na mvuto wa majini .

Ukiangalia Hizo sababu unakuta wanawake wengi wako hatarini ya kufikwa na Majini tofauti na wanaume Ndio maana Kwenye wanawake 100 unaweza kuta 90 wanamapepo 10 tu Ndio wamekoswakoswa au wako hatarini na wao kupata.
 
Sasa si tuliambiwa majini ni viumbe vyenye kumtii Mungu (Allah), nijuavyo Mungu yuko kinyume na uchafu, inakuwaje hapa mbona hizi habari zinachanganya, au majini nayo huugua uchizi kwahiyo hizi ni sifa za majini vichaa?
 
Sasa si tuliambiwa majini ni viumbe vyenye kumtii Mungu (Allah), nijuavyo Mungu yuko kinyume na uchafu, inakuwaje hapa mbona hizi habari zinachanganya, au majini nayo huugua uchizi kwahiyo hizi ni sifa za majini vichaa?
Mkuu uliambiwa nanani??hayo majini matendo yao kama binaadam kuna watiifu kuna maafriti kuna majini yanayopenda ngono(jinni mahaba)
Wapo wa kila aina kama tulivo sisi wanaadam
 
Mkuu uliambiwa nanani??hayo majini matendo yao kama binaadam kuna watiifu kuna maafriti kuna majini yanayopenda ngono(jinni mahaba)
Wapo wa kila aina kama tulivo sisi wanaadam
Bado elimu ya majini kama ifundishwavyo na uislamu inakanganya sana, kuna wanaosema kwamba yale yote yanayowakumba watu ni majini waasi, sasa mbona huwa yanawaamuru viti wao kutimiza yote yaliyo kwenye uislamu, tena inasemekana na ndivyo ilivyo, huwa viti wao ni wasafi washika udhu, hawataki janaba na ni swala tano, akizingua hayo huchapwa na majini yao, huyu naye anasema yanapenda uchafu, hapaeleweki hapo.
 
Back
Top Bottom