MJADALA: Maneno, jina huamua malengo au ndoto zako

MJADALA: Maneno, jina huamua malengo au ndoto zako

1. Je jina unalo jiita/ itwa lina zuia wewe ufikie au usifikie ndoto zKo?
Does your name limit your succes and goals?
Siamini katika hili. No empirical evidence to support the claims.
2 Jina lako lina eleza wewe ulivyo yaani tabia mienendo...nk
Si kweli, ila watu waliomzunguka ndiyo wanamtengenezea mtu imagination mbaya au Nzuri kulingana na jina. Nijuavyo mimi: tabia, mienendo na hulka ya mtu vina chimbuko la malezi na makuzi, Aina ya Elimu, makundi rika, n.k.
Kwa mfano, shuleni tulikuwa na mwanachuo anaitwa Masumbuko alikuwa njema Sana kitaaluma, na alikuwa mcha Mungu (mwenye nidhamu Nzuri), na alikuwa Ni miongoni mwa wanafunzi Bora kitaaluma. Sasa, kuna mwamba mwingine alikuwa anaitwa Brighton (siye tulikuwa tunamwita bright), mwaka wa kwanza tu alikuwa na sup 2. Mpaka tunamaliza chuo yeye alibaki anaangaikia sup ya 2nd year. Huyo bright kuna muda alikuwa Ni mtu asiyekuwa na nidhamu katika masomo.

Kumbuka: kuna wazazi huwapa majina watoto zao kutokana na sababu mbalimbali kama vile complications wakati wa kuzaa, majira aliyozaliwa Mtoto, changamoto za kiafya za mtoto alizopitia ,n.k. Hivyo, Mtoto atapewa jina kama ukumbusho kulingana na mazingira aliyozaliwa na makuzi yake.

Hitimisho: Masuala ya kubatiza majina watoto, jamii nyingi zinaambatisha na Imani aidha za kidini, jadi, Mila na desturi, na tamaduni za jamii husika. Lakini kuhusu uhusiano wa jina na mafanikio ya mtu katika Nyanja za kimaisha hapo hakuna ushahidi WA moja kwa moja.

Success is by chance. Charles Darwin anasema "struggle of existence: the ones who are fit (not good name) will survive and the ones who are weak (not bad name) their generation will perish".
 
Exactly...

Na viceversa ukimuita mwanao kiazi, mjinga, mpumbavu punguani etc, atayaishi hayohayo! Tanzania kama nchi tunaitwa maskini kila siku unaonaje reflection kwenye kitaifa?
The issue is when You allow peoples opinion about you define U. By allowing their words to sink into your head and affect your mindset and have a negative impact in yourway of life.
Sometimes dont allow words to sink into your head and use them as a compliment or challenge to beter your character

Na sio gurantee mtoto wako uki muita Dangote ata kua tajiriri. Ni mpaka pale atakapo amua kuyafanyia kazi kwa kuyaingiza maneno hayo akilini na kuyatumia in positive way. Anaweza pia akayaingiza akilini na akayatumia kama in negative way kam kejeli au utani kama hajiamini na hana ndoto hizo



Exactly...

Mindset inaanza kujengwa na jina lako, kwa mfano mwanao mdogo ukianza kumuita dume la mbegu, bouncer, msomi, mwenye akili, the strong, etc. utaona atakavyokua na kuyaishi unayomnenea

Na viceversa ukimuita mwanao kiazi, mjinga, mpumbavu punguani etc, atayaishi hayohayo! Tanzania kama nchi tunaitwa maskini kila siku unaonaje reflection kwenye kitaifa?
mfano mzuri ni Shuleni mtu anavyo ambiwa wewe ni kilaza au hauna akili.

Maneno hayo hayana ukweli wowote mpka pale alieambiwa atakapo yaingiza akilini na kuya chukulia kua ni ya kweli yeye hana akili.

Ila ukiwa na positive mindset ya kutoruhusu maneno ya watu yasikuingie akilini. Na ukapambana, utatimiza malenho yako.

ishu ni kuruhusu mameno ya watu au jina lako ( mfano unaitwa shida) kuliingiza akilini na lika affect mindset in negative way.

# sio Gurantee ukijiita Dangote utakua tajiri. Haitoshi tu kwa jina. Bali ni kwa kuwa hard working, creativity , capital, Right people....
 
Siamini katika hili. No empirical evidence to support the claims.

Si kweli, ila watu waliomzunguka ndiyo wanamtengenezea mtu imagination mbaya au Nzuri kulingana na jina. Nijuavyo mimi: tabia, mienendo na hulka ya mtu vina chimbuko la malezi na makuzi, Aina ya Elimu, makundi rika, n.k.
Kwa mfano, shuleni tulikuwa na mwanachuo anaitwa Masumbuko alikuwa njema Sana kitaaluma, na alikuwa mcha Mungu, na alikuwa Ni miongoni mwa wanafunzi Bora kitaaluma. Sasa, kuna kwamba mwingine alikuwa anaitwa Brighton (site tulikuwa tunamwiita bright), mwaka wa kwanza tu alikuwa na sup 2. Mpaka tunamaliza chuo yeye alibaki anaangaikia sup ya 2nd year. Huyo bright kuna muda alikuwa Ni mtu asiyekuwa na nidhamu katika masomo.

Kumbuka: kuna wazazi huwapa majina watoto zap kutokana na sababu mbalimbali kama vile complications wakati wa kuzaa, majira aliyozaliwa Mtoto, changamoto za kiafya za mtoto alizopitia ,n.k. Hivyo Mtoto atapewa jina kama ukumbusho kulingana na mazingira aliyozaliwa.

Hitimisho: Masuala ya kubatiza majina watoto, jamii nyingi zinaambatisha na Imani aidha za kidini, jadi, Mila na desturi, na tamaduni za jamii husika. Lakini kuhusu uhusiano jina na mafanikio ya mtu katika Nyanja za kimaisha hapo hakuna ushahidi WA moja kwa moja.
Success is by chance. Charles Darwin anasema "struggle of existence", the one who are fit (not good name) will survive and the one who are weak (not bad name) their generation will perish.
Umeeleweka vizuri kabisa.

so far jina hali limit ufanikiwaji wa ndoto zako na Jina hali define personality ya mtu

Ni ku challenge kwenye hio kauli uliosema

" ila watu waliomzunguka ndiyo wanamtengenezea mtu imagination mbaya au Nzuri"

kuna watu wapo ambao mazingira au watu wanao wazunguka hawana impact na personality yao. Mfano Yesu alitembea kutwa na wenye dhambi ila mazingira yale haya kumbadili kabisa personality yake yaan Tabia, utu na mienendo.
 
kuna watu wapo ambao mazingira au watu wanao wazunguka hawana impact na personality yao. Mfano Yesu alitembea kutwa na wenye dhambi ila mazingira yale haya kumbadili kabisa personality yake yaan Tabia, utu na mienendo.
Comment Namba 5 na 9 zimejibu swali lako vizuri tu. Ukipewa jina flani na wazazi Wako au jamii iliyokuzunguko, kama jina Hilo linaleta negative attitude, na wewe ukakubaliana na negative attitude za hao watu, hapo huwezi kutoboa kwa lile unalolipigania. Tafsiri yake Ni kwamba umenaswa kwenye mtego wa watu waliokutengenezea hizo drama. Kila utakalokuwa ukifanya, siku ukishindwa, utaamini Ni jina limekukwamisha, si Kitu kingine. Kumbe jina halina shida, Bali Imani yako ndiyo imekuponza.

Kumbuka: unaweza kumu-win mtu kwa vitu hivi:
  1. Maneno (kumshambulia kwa maneno, kum-label kwa mambo mabaya, kumchafua kwa maneno ya uongo). Yesu aliwashinda kwa maneno, na mengine alipotezea waliyokuwa wakimjadili) Mahasimu wake wakaenda hatua ya pili. 👇
  2. Physical attack (kumdhuru mtu kimwili, kumuua, kumjeruhi, n.k.). Hapa Yesu walimuweza. Wakishindwa hapo watakwenda hatua ya tatu. 👇
  3. Spiritual attack (watu watakuendea kwa waganga ili kuharibu mipango yako, wachawi hawatakuwa mbali nawe ili kuzima ndoto zako, n.k.). Hapa Yesu aliwini.
 
Yeah Ni kweli kabisa Jina Lina effects na kila Kitu kwenye Maisha Yetu Jina Unalopewa na wazazi usifikiri wanalipata tu from no where but Ni jina ambalo linakuwa limeshawekwa Tayari wao wanalichukua From the above..

Maaneno Yanabeba Energy na herufi zinabeba Energy mpangilio wa Energy Kwenye Neno Unaweza kufanya Energy yako Iwe Vital kila mtu anapospell Hiyo Mipangilio.ya Hizo herufi..

Na ndo maana Inaitwa Spelling au Spell
So Spelling inamaanisha Mpangilio wa Herufi (herufi hizo zinabeba Energy) ambao ukitamka kwa kila herufi inakuwa na energy ya kila herufi..

SO kila mtu anapokuita au Unapoitwa Anarelease zile energy kwako ili zifanye kazi kwako Kumbuka energy zile kama Ni negative zikitajwa mara nyingj zitakujaza Negative energy na Mwisho wa Siku hiyo ndo itakuwa Energy yako...

Kwa mfano Mtu akiitwa Mwizi na Mchafu wa kila aina malaya Ipo siku atakuwa malaya kweli mpaka watu watakapoacha kumuwekea that energy..

NItakupa Mifano halisi kwa kutumia Biblia..

Ibrahim

Abram aliishi Mpaka alipofikisha Miaka 99 bila kuwa na Mrithi wake wala Kuwa na mtoto kuoitia Sarah..
Mungu akaona huyu mtu hawezi kuwa baba wa Mataifa na wala hawezi kuzaa kwa sababu ya Jina lake hapo ndiyo unaona Mungu anabadili jina la Abram na Mara anaanza kuotwa Ibrahimu..

Na hakuishia hapo Akabadili Mpaka Jina la Mkewe maana Alipna Hilo jina la.Sarai nalo lina shida katika kujenga Ukoo wao..

Na wakiwa wazee sana baada ya Kubadilishwa majina wakapata Watoto...

Mwanzo 17:5

"....wala jina lako hutaitwa tena Abramu, lakini jina lako litakuwa Ibrahimu, kwani nimekuweka uwe baba wa mataifa mengi..."
Mwanzo 17:15

".... Mungu akamwambia Ibrahimu, Sarai mkeo, hutamwita jina lake Sarai, kwa kuwa jina lake litakuwa Sara...."

We unafikiri kwanini Mungu abadili majina yao baada ya kukaa miaka 100 Bila Kuzaaa kwanini asingewaacha Hivyo hivyo



Jiulize Tena kwanini Yakobo alibadilishwa Jina na Kuitwa Israel?
Na baada ya Hapo.alikuwa baba wa Taifa kubwa..kuliko Ndugu yake Esau?

Mwanzo 32:28

"......Akamwambia, Jina lako hutaitwa tena Yakobo, ila Israeli, maana umeshindana na Mungu, na watu, nawe umeshinda..."



Umesahu hata Simon au Ndugu yetu KEFA/Petro..
Jina lake halisi aliitwa Simon ila Yesu akambadili Jina Akamwita Kefa/Petro..na nani anaweza kulikumbuka Tena lile jina la simon? Ila alipoitwa petro ndo alikuwa kiongozi wa Wanafunzi..

Yohana 1:42

".....Akampeleka kwa Yesu. Naye Yesu akamtazama, akasema, Wewe u Simoni, mwana wa Yohana; nawe utaitwa Kefa (tafsiri yake Petro, au Jiwe)...."

Naweza nikaenda On and off au nikataja ushahidi mwingi ila Kumbula hata Paulo ambaye ndo imani na Misingi ya Dini ya Kikristo ilipojiweka alikuwa akiitwa Sauli ila baada alibadilisha jina na Kuitwa Paulo..

Kuna mengi tusiyoyajua Kuhusu Majina na Hata Energy tulizo nazo hakikisha Energy ya Jina lako isiwe ya Kuua Proggress yako kama ikiwa Hivyo badilisha haraka..
 
Yeah Ni kweli kabisa Jina Lina effects na kila Kitu kwenye Maisha Yetu Jina Unalopewa na wazazi usifikiri wanalipata tu from no where but Ni jina ambalo linakuwa limeshawekwa Tayari wao wanalichukua From the above..

Maaneno Yanabeba Energy na herufi zinabeba Energy mpangilio wa Energy Kwenye Neno Unaweza kufanya Energy yako Iwe Vital kila mtu anapospell Hiyo Mipangilio.ya Hizo herufi..

Na ndo maana Inaitwa Spelling au Spell
So Spelling inamaanisha Mpangilio wa Herufi (herufi hizo zinabeba Energy) ambao ukitamka kwa kila herufi inakuwa na energy ya kila herufi..

SO kila mtu anapokuita au Unapoitwa Anarelease zile energy kwako ili zifanye kazi kwako Kumbuka energy zile kama Ni negative zikitajwa mara nyingj zitakujaza Negative energy na Mwisho wa Siku hiyo ndo itakuwa Energy yako...

Kwa mfano Mtu akiitwa Mwizi na Mchafu wa kila aina malaya Ipo siku atakuwa malaya kweli mpaka watu watakapoacha kumuwekea that energy..

NItakupa Mifano halisi kwa kutumia Biblia..

Ibrahim

Abram aliishi Mpaka alipofikisha Miaka 99 bila kuwa na Mrithi wake wala Kuwa na mtoto kuoitia Sarah..
Mungu akaona huyu mtu hawezi kuwa baba wa Mataifa na wala hawezi kuzaa kwa sababu ya Jina lake hapo ndiyo unaona Mungu anabadili jina la Abram na Mara anaanza kuotwa Ibrahimu..

Na hakuishia hapo Akabadili Mpaka Jina la Mkewe maana Alipna Hilo jina la.Sarai nalo lina shida katika kujenga Ukoo wao..
Kama Mungu WA kwenye biblia naye aliamini jina ndiyo Tatizo kwa Abraham kuweza kupata Mtoto, basi, Nina mashaka na uweza wa huyo Mungu ambaye anapigiwa chapuo kwamba anayaweza yote (cc Kiranga). Tunaambiwa: Lililoshindikana kwa binadamu kwa Mungu lawezekana. Sasa Mungu muweza wa yote, lakini naye aliamini jina la Abraham Ni Tatizo. Je, uweza/ukuu wake Ni upi katika miujiza?
Na wakiwa wazee sana baada ya Kubadilishwa majina wakapata Watoto...

Mwanzo 17:5

"....wala jina lako hutaitwa tena Abramu, lakini jina lako litakuwa Ibrahimu, kwani nimekuweka uwe baba wa mataifa mengi..."
Mwanzo 17:15

".... Mungu akamwambia Ibrahimu, Sarai mkeo, hutamwita jina lake Sarai, kwa kuwa jina lake litakuwa Sara...."

We unafikiri kwanini Mungu abadili majina yao baada ya kukaa miaka 100 Bila Kuzaaa kwanini asingewaacha Hivyo hivyo



Jiulize Tena kwanini Yakobo alibadilishwa Jina na Kuitwa Israel?
Na baada ya Hapo.alikuwa baba wa Taifa kubwa..kuliko Ndugu yake Esau?

Mwanzo 32:28

"......Akamwambia, Jina lako hutaitwa tena Yakobo, ila Israeli, maana umeshindana na Mungu, na watu, nawe umeshinda..."


Umesahu hata Simon au Ndugu yetu KEFA/Petro..
Jina lake halisi aliitwa Simon ila Yesu akambadili Jina Akamwita Kefa/Petro..na nani anaweza kulikumbuka Tena lile jina la simon? Ila alipoitwa petro ndo alikuwa kiongozi wa Wanafunzi..

Yohana 1:42

".....Akampeleka kwa Yesu. Naye Yesu akamtazama, akasema, Wewe u Simoni, mwana wa Yohana; nawe utaitwa Kefa (tafsiri yake Petro, au Jiwe)...."

Naweza nikaenda On and off au nikataja ushahidi mwingi ila Kumbula hata Paulo ambaye ndo imani na Misingi ya Dini ya Kikristo ilipojiweka alikuwa akiitwa Sauli ila baada alibadilisha jina na Kuitwa Paulo..

Kuna mengi tusiyoyajua Kuhusu Majina na Hata Energy tulizo nazo hakikisha Energy ya Jina lako isiwe ya Kuua Proggress yako kama ikiwa Hivyo badilisha haraka..
Komenti yako imejikita kiimani zaidi. Ukija kihualisia hakuna uhusiano wa jina na mafanikio ya mtu. Nami nitakupa mfano kutoka maeneo ya mitaa mbalimbali:

  • Kuna mwamba anaitwa "Tajiri Hezroni", mwamba ni choka mbaya, ishi yake Ni ya kuungaunga.
  • Kuna mwamba anaitwa "Mapesa Abdalah". Mwamba maisha yake hayana mbele wale nyuma.
Kati ya hao wawili, endapo ungekutana nao, ungewashauri wabadilishe waitwe majina gani ili watoboe komaisha?
  • Kuna watu wamaitwa majina ya Emmanuel lakini Ni watata balaa (matendo machafu).



Kuanzia sasa, Mtoto utakaye mzaa, mbatize jina la Elon Musk tuone kama atatoboa kimaisha kwa level za Elon musk original.
 
Kama Mungu WA kwenye biblia naye aliamini jina ndiyo Tatizo kwa Abraham kuweza kupata Mtoto, basi, Nina mashaka na uweza wa huyo Mungu ambaye anapigiwa chapuo kwamba anayaweza yote (cc Kiranga). Tunaambiwa: Lililoshindikana kwa binadamu kwa Mungu lawezekana. Sasa Mungu muweza wa yote, lakini naye aliamini jina la Abraham Ni Tatizo. Je, uweza/ukuu wake Ni upi katika miujiza?

Komenti yako imejikita kiimani zaidi. Ukija kihualisia hakuna uhusiano wa jina na mafanikio ya mtu. Nami nitakupa mfano kutoka maeneo ya mitaa mbalimbali:
Nakubaliana na Wewe mifano niliyotoa karibu yote ni ya Kiimani ili nieleweke zaidi kwa maana ningetumia Ya Kawaida Usingenielewa kabisa ila Energetic Power ya Namba na Maneno haipo kwenye Imani ni Kitu halisia..
  • Kuna mwamba anaitwa "Tajiri Hezroni", mwamba ni choka mbaya, ishi yake Ni ya kuungaunga.
  • Kuna mwamba anaitwa "Mapesa Abdalah". Mwamba maisha yake hayana mbele wale nyuma.
Kati ya hao wawili, endapo ungekutana nao, ungewashauri wabadilishe waitwe majina gani ili watoboe komaisha?
Kujiita Tajiri hakukufanyi wewe uwe na Mali nyingi..
Ninapozungumzia Jina Sizungumzii sifa ya Mtu bali nazungumzia Jina..

Thats why kuna Waislam na Wakristo wanatabia ya kubadili majina wanapobatizwa ama kusilimu..

katika kubadili Jina Hubadili Hivi hivi kwamba Kuanzia Leo Mke wangu ataitwa Samia ili awe kiongozi..

hapana, Kubadili jina Kunaendana Na Energetic Power uliyobeba na Kipi unakosa kwenye Power yako na kipi unahitaji ili kuweza kuendelea na Kipi hasa unahitaji kwa upande upi..
Ni elimu Kidogo ya Numerology inaweza kukuelezea Hilo..


  • Kuna watu wamaitwa majina ya Emmanuel lakini Ni watata balaa (matendo machafu).
Kuanzia sasa, Mtoto utakaye mzaa, mbatize jina la Elon Musk tuone kama atatoboa kimaisha kwa level za Elon musk original.
Kuitwa emmanuel Hakukupi Audacity ya weww Kuwa Mwema vipi jina Hilo fit na Wewe ulivyo Karma yako.na vingi...

Kumuita mwanao Elon Musk hakufanyi awe tajiri
 
Kama Mungu WA kwenye biblia naye aliamini jina ndiyo Tatizo kwa Abraham kuweza kupata Mtoto, basi, Nina mashaka na uweza wa huyo Mungu ambaye anapigiwa chapuo kwamba anayaweza yote (cc Kiranga). Tunaambiwa: Lililoshindikana kwa binadamu kwa Mungu lawezekana. Sasa Mungu muweza wa yote, lakini naye aliamini jina la Abraham Ni Tatizo. Je, uweza/ukuu wake Ni upi katika miujiza?

Komenti yako imejikita kiimani zaidi. Ukija kihualisia hakuna uhusiano wa jina na mafanikio ya mtu. Nami nitakupa mfano kutoka maeneo ya mitaa mbalimbali:

  • Kuna mwamba anaitwa "Tajiri Hezroni", mwamba ni choka mbaya, ishi yake Ni ya kuungaunga.
  • Kuna mwamba anaitwa "Mapesa Abdalah". Mwamba maisha yake hayana mbele wale nyuma.
Kati ya hao wawili, endapo ungekutana nao, ungewashauri wabadilishe waitwe majina gani ili watoboe komaisha?
  • Kuna watu wamaitwa majina ya Emmanuel lakini Ni watata balaa (matendo machafu).



Kuanzia sasa, Mtoto utakaye mzaa, mbatize jina la Elon Musk tuone kama atatoboa kimaisha kwa level za Elon musk original.
Mpaka sasa hakuna aliyethibitisha Mungu yupo.
 
Yeah Ni kweli kabisa Jina Lina effects na kila Kitu kwenye Maisha Yetu Jina Unalopewa na wazazi usifikiri wanalipata tu from no where but Ni jina ambalo linakuwa limeshawekwa Tayari wao wanalichukua From the above..

Maaneno Yanabeba Energy na herufi zinabeba Energy mpangilio wa Energy Kwenye Neno Unaweza kufanya Energy yako Iwe Vital kila mtu anapospell Hiyo Mipangilio.ya Hizo herufi..

Na ndo maana Inaitwa Spelling au Spell
So Spelling inamaanisha Mpangilio wa Herufi (herufi hizo zinabeba Energy) ambao ukitamka kwa kila herufi inakuwa na energy ya kila herufi..

SO kila mtu anapokuita au Unapoitwa Anarelease zile energy kwako ili zifanye kazi kwako Kumbuka energy zile kama Ni negative zikitajwa mara nyingj zitakujaza Negative energy na Mwisho wa Siku hiyo ndo itakuwa Energy yako...

Kwa mfano Mtu akiitwa Mwizi na Mchafu wa kila aina malaya Ipo siku atakuwa malaya kweli mpaka watu watakapoacha kumuwekea that energy..

NItakupa Mifano halisi kwa kutumia Biblia..

Ibrahim

Abram aliishi Mpaka alipofikisha Miaka 99 bila kuwa na Mrithi wake wala Kuwa na mtoto kuoitia Sarah..
Mungu akaona huyu mtu hawezi kuwa baba wa Mataifa na wala hawezi kuzaa kwa sababu ya Jina lake hapo ndiyo unaona Mungu anabadili jina la Abram na Mara anaanza kuotwa Ibrahimu..

Na hakuishia hapo Akabadili Mpaka Jina la Mkewe maana Alipna Hilo jina la.Sarai nalo lina shida katika kujenga Ukoo wao..

Na wakiwa wazee sana baada ya Kubadilishwa majina wakapata Watoto...

Mwanzo 17:5

"....wala jina lako hutaitwa tena Abramu, lakini jina lako litakuwa Ibrahimu, kwani nimekuweka uwe baba wa mataifa mengi..."
Mwanzo 17:15

".... Mungu akamwambia Ibrahimu, Sarai mkeo, hutamwita jina lake Sarai, kwa kuwa jina lake litakuwa Sara...."

We unafikiri kwanini Mungu abadili majina yao baada ya kukaa miaka 100 Bila Kuzaaa kwanini asingewaacha Hivyo hivyo



Jiulize Tena kwanini Yakobo alibadilishwa Jina na Kuitwa Israel?
Na baada ya Hapo.alikuwa baba wa Taifa kubwa..kuliko Ndugu yake Esau?

Mwanzo 32:28

"......Akamwambia, Jina lako hutaitwa tena Yakobo, ila Israeli, maana umeshindana na Mungu, na watu, nawe umeshinda..."


Umesahu hata Simon au Ndugu yetu KEFA/Petro..
Jina lake halisi aliitwa Simon ila Yesu akambadili Jina Akamwita Kefa/Petro..na nani anaweza kulikumbuka Tena lile jina la simon? Ila alipoitwa petro ndo alikuwa kiongozi wa Wanafunzi..

Yohana 1:42

".....Akampeleka kwa Yesu. Naye Yesu akamtazama, akasema, Wewe u Simoni, mwana wa Yohana; nawe utaitwa Kefa (tafsiri yake Petro, au Jiwe)...."

Naweza nikaenda On and off au nikataja ushahidi mwingi ila Kumbula hata Paulo ambaye ndo imani na Misingi ya Dini ya Kikristo ilipojiweka alikuwa akiitwa Sauli ila baada alibadilisha jina na Kuitwa Paulo..

Kuna mengi tusiyoyajua Kuhusu Majina na Hata Energy tulizo nazo hakikisha Energy ya Jina lako isiwe ya Kuua Proggress yako kama ikiwa Hivyo badilisha haraka..
Ni ishu ya kutafsiri maandiko na imani ya mtu iliko.

Sara alikuwa Tasa na sio jina lake 'sara ' ndo lililokua kikwazo cha yeye kupata ujauzito
Screenshot_20241124-204650_Opera Mini.jpg


Ishu ya Abram umeichukua na kuinukuu katikati. Ukianzia pale Abram na lutu walivyo gawana ardhi walio pewa na Mungu na badae Abram kutembelewa na malaika kuhusiana na metendo maovu yaliokua yakitendeka Sodoma na Gomora.
Imani ya Abram na utii wake kwa Mungu ndo kulimfanya abarikiwe na kuitwa Abraham. Na sio tena Abram

Na Sio kusema kua jina Abram ndo lilimfanya hasipate mtoto. Kwani hata kabla ya kuitwa AbraHAM alizaa na Hagar na kupata mtoto Ishmael.

IShu ya Sauli ni pale alipoacha tabia yake ya kuuwa watu na kuja mbele ya Mungu ndo abarikiwa na kutakaswa na kuitwa paulo.
Kubadilika kwa jina lake ni ishara ya utakaso na kuinuliwa/ leverage au tuseme transformation kutoka stage moja kwenda nyingine. Ila sio kusema kwamba jina Sauli ndo lilimfanya auwe watu na asiwe mcha Mungu.

mfano mzuri ni Shuleni mtu anavyo ambiwa wewe ni kilaza au hauna akili.

Maneno hayo hayana ukweli wowote mpka pale alieambiwa atakapo yaingiza akilini na kuya chukulia kua ni ya kweli kua yeye hana akili.

Ila ukiwa na positive mindset ya kutoruhusu maneno ya watu yasikuingie akilini na ukayachukulia kama chellenge au compliment ya wewe kupambana zaidi

ishu ni pale utakapo ruhusu mameno ya watu au jina lako ( mfano unaitwa shida) kukuingia akilini na lika affect mindset yako in negative way.

The issue is when You allow peoples opinion about you define U. By allowing their words to sink into your head and affect your mindset and have a negative impact in yourway of life

Hio elimu ya spiritulity, numerology na mambo ya energetic power sijui yana siri gani na jina la mtu kum limit mtu hasifike Malengo yake.
 
Nakubaliana na Wewe mifano niliyotoa karibu yote ni ya Kiimani ili nieleweke zaidi kwa maana ningetumia Ya Kawaida Usingenielewa kabisa ila Energetic Power ya Namba na Maneno haipo kwenye Imani ni Kitu halisia..
Acha assumptions za kunizuga.
Kujiita Tajiri hakukufanyi wewe uwe na Mali nyingi..
Kumbe unakubaliana na Sisi kwamba hakuna uhusiano wa moja kwa moja wa jina na mafanikio ya mtu. Bali juhudi na maarifa ndiyo yatamtoa mtu kimaisha.
Ninapozungumzia Jina Sizungumzii sifa ya Mtu bali nazungumzia Jina..

Thats why kuna Waislam na Wakristo wanatabia ya kubadili majina wanapobatizwa ama kusilimu..

katika kubadili Jina Hubadili Hivi hivi kwamba Kuanzia Leo Mke wangu ataitwa Samia ili awe kiongozi..

hapana, Kubadili jina Kunaendana Na Energetic Power uliyobeba na Kipi unakosa kwenye Power yako na kipi unahitaji ili kuweza kuendelea na Kipi hasa unahitaji kwa upande upi..
Ni elimu Kidogo ya Numerology inaweza kukuelezea Hilo..
Ninachojua psycho power Ni tofauti na jina (are not proportional to each other). Kama psycho power ina-direct majina flani kuwa na mafanikio kimaisha, basi, wote walioitwa majina ya Clinton, Johnson, Barack, Mkapa, Mwinyi, Mohammed, n.k. wangekuwa na maisha ya juu sana.

Note: sipingi uwepo wa energy ktk mwili wa binadamu, kila moja anayo-psycho power, ila siamini kama inauhusiano na jina la mtu.
Kuitwa emmanuel Hakukupi Audacity ya weww Kuwa Mwema vipi jina Hilo fit na Wewe ulivyo Karma yako.na vingi...

Kumuita mwanao Elon Musk hakufanyi awe tajiri
Tunarudi palepale: hard working, effort in working, knowledge, skills, etc. are the key factors for success, and not otherwise. Name has nothing to do with success of someone.
 
Mpaka sasa hakuna aliyethibitisha Mungu yupo.
Yes! Inawezekana binadamu ndiyo wamemuumba Mungu (asiyeonekana wala kutambulika kwao-kaumbwa kwa mawazo ya kufikirika). Tofauti na biblia inayosema Mungu ndiye kaumba binadamu.

Mungu ni myth.
 
Mpaka sasa hakuna aliyethibitisha Mungu yupo.
Sijui unataka mpaka uoneshwe huyu hapa phisically.

Ni imani yetu wakristo kuwa kuna mtu alieuumba ulimwengu. Ishu ya kuepo na giza usiku na mwanga mchana , jua, mabalamwezi, nyota havikutokea hivihivi lazima kue na kitu behind hivi vitu lu exist ndo Biblia inasema Yes kuna mtu alie viumba na anaitwa Mungu.
Sasa sijui unasema hakuna aliethibitisha Mungu yupo. Au ndo una chukulia Jina Mungu kua ni mtu yupo huko mbinguni na ni binadau kama sisi inaweza kua pia kua ni spirit na ina itwa Mungu.

Unless kama unapingana na Biblia inavyosema kuwa Mungu hakuiumba dunia/ ulimwengu. Kama sio yeye ni nani mwingine ?
 
Yes! Inawezekana binadamu ndiyo wamemuumba Mungu (asiyeonekana wala kutambulika kwao-kaumbwa kwa mawazo ya kufikirika). Tofauti na biblia inayosema Mungu ndiye kaumba binadamu.

Mungu ni myth.
Ni imani yetu wakristo kuwa kuna mtu alieuumba ulimwengu. Ishu ya kuepo na giza usiku na mwanga mchana , jua, mabalamwezi, nyota havikutokea hivihivi lazima kue na kitu behind hivi vitu ku exist ndo Biblia inasema Yes kuna mtu alie viumba na anaitwa Mungu.

Unless kama unapingana na Biblia inavyosema kuwa Mungu hakuiumba dunia/ ulimwengu. Kama sio yeye ni nani mwingine?
 
Sijui unataka mpaka uoneshwe huyu hapa phisically.

Ni imani yetu kuwa kuna mtu alieuumba ulimwengu. Ishu ya kuepo na giza usiku na mwanga mchana , jua, mabalamwezi, nyota havikutokea hivihivi lazima kue na kitu behind hivi vitu lu exist ndo Biblia inasema Yes kuna mtu alie viumba na anaitwa Mungu.
Sasa sijui unasema hakuna aliethibitisha Mungu yupo. Au ndo una chukulia Jina Mungu kua ni mtu yupo huko mbinguni na ni binadau kama sisi inaweza kua pia kua ni spirit na ina itwa Mungu.

Unless kama unapingana na Biblia inavyosema kuwa Mungu hakuiumba dunia/ ulimwengu. Kama sio yeye ni nani mwingine ?
Sitaki nioneshwe huyu hapa. Nataka uthibitisho wa kimantiki ulio na logical consistency.

Ukishaanza na "ni imani yetu..." ushafeli uthibitisho. Sijakuuliza imani yako ni nini. Nimekutaka uthibitishe. Imani na uthibitisho ni vitu viwili tofauti.

Biblia ina makosa mengi sana nikikuwekea hapa huwezi kumaliza kuyaweka sawa, hivyo si kitabu cha kusema kikichoandikwa kwenye Bibkia ni uthibitisho.

Swali la "kama si yeye ni nani mwinhine" umejuaje "nani" ndiyo swali sahihi hapa?
 
Ni imani yetu wakristo kuwa kuna mtu alieuumba ulimwengu.
Kama kwa Imani hapo sawa, tuko pamoja. Maana mijadala ya dini maswali yanakuwa mengi kuliko majibu.
===================
1 Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana.

Waebrania 11:1
3 Kwa imani twafahamu ya kuwa ulimwengu uliumbwa kwa neno la Mungu, hata vitu vinavyoonekana havikufanywa kwa vitu vilivyo dhahiri.

Waebrania

11:3
 
Sitaki nioneshwe huyu hapa. Nataka uthibitisho wa kimantiki ulio na logical consistency.

Ukishaanza na "ni imani yetu..." ushafeli uthibitisho. Sijakuuliza imani yako ni nini. Nimekutaka uthibitishe. Imani na uthibitisho ni vitu viwili tofauti.

Biblia ina makosa mengi sana nikikuwekea hapa huwezi kumaliza kuyaweka sawa, hivyo si kitabu cha kusema kikichoandikwa kwenye Bibkia ni uthibitisho.

Swali la "kama si yeye ni nani mwinhine" umejuaje "nani" ndiyo swali sahihi hapa?
Ila hakuna kitabu kingine au nadhalia inayokataa kua alieumba ulimwengu ni Mungu.
Kwanini huamini Mungu yupo?
Usikute wewe ni Atheist
Screenshot_20241124-124859_Opera Mini.jpg
 
Ni ishu ya kutafsiri maandiko na imani ya mtu iliko.

Sara alikuwa Tasa na sio jina lake 'sara ' ndo lililokua kikwazo cha yeye kupata ujauzito
View attachment 3160592

Ishu ya Abram umeichukua na kuinukuu katikati. Ukianzia pale Abram na lutu walivyo gawana ardhi walio pewa na Mungu na badae Abram kutembelewa na malaika kuhusiana na metendo maovu yaliokua yakitendeka Sodoma na Gomora.
Imani ya Abram na utii wake kwa Mungu ndo kulimfanya abarikiwe na kuitwa Abraham. Na sio tena Abram

Na Sio kusema kua jina Abram ndo lilimfanya hasipate mtoto. Kwani hata kabla ya kuitwa AbraHAM alizaa na Hagar na kupata mtoto Ishmael.

IShu ya Sauli ni pale alipoacha tabia yake ya kuuwa watu na kuja mbele ya Mungu ndo abarikiwa na kutakaswa na kuitwa paulo.
Kubadilika kwa jina lake ni ishara ya utakaso na kuinuliwa/ leverage au tuseme transformation kutoka stage moja kwenda nyingine. Ila sio kusema kwamba jina Sauli ndo lilimfanya auwe watu na asiwe mcha Mungu.

mfano mzuri ni Shuleni mtu anavyo ambiwa wewe ni kilaza au hauna akili.

Maneno hayo hayana ukweli wowote mpka pale alieambiwa atakapo yaingiza akilini na kuya chukulia kua ni ya kweli kua yeye hana akili.

Ila ukiwa na positive mindset ya kutoruhusu maneno ya watu yasikuingie akilini na ukayachukulia kama chellenge au compliment ya wewe kupambana zaidi

ishu ni pale utakapo ruhusu mameno ya watu au jina lako ( mfano unaitwa shida) kukuingia akilini na lika affect mindset yako in negative way.

The issue is when You allow peoples opinion about you define U. By allowing their words to sink into your head and affect your mindset and have a negative impact in yourway of life

Hio elimu ya spiritulity, numerology na mambo ya energetic power sijui yana siri gani na jina la mtu kum limit mtu hasifike Malengo yake.

Unajua maana Ya Neno Ibrahimu (Avraham)
? Avraham (אַבְרָהָם) ni Jina alilopewa Abram (אַבְרָם)..
Nataka Nikutafasirie kwanza kabla sijaenda Kujibu Hoja zako..

Kwanza kabla ya yote Nimesema kwamba Ili.aweze kuwa Baba wa Mataifa au baba wa Vizazi au mwenye Kizazi kikubwa Ndo ilibidi abadilishwe Jina..

Kipindi Abram anabadilishwa Jina Ishmael alikuwa na Miaka 13 na ndiyi alikuwa na Mtoto ila alikuwa na Mtoto ambaye hakuwa Kusudio la Mungu kwa Multitude aliyoandaaa..
Soma Biblia vizuri..

Sasa Jina Avraham limetokana na maneno mawili makubwa Av na raham av kwa maaha nyingine ni Aba yaani baba Na Raham ni rehema lakina kuna wakati inamaanisha Taifa Kubwa..

So abraham Means "father of multitudes" While abram means Father of Equaluty and Rights..

So My brother..

UNAJUA maana ya Sarai (שָׂרַי) na kwanini Ilibadilishwa kwenda kuwa Sarah (שָׂרָה)

Sasa Nifatilize Jina Sarai unaona Hiyo Ye mwisho wa Jina Sara linamaanisha hali ya kwanza Ya Umilikishi Kwa mfano mtu aseme Mine and soo on..

So sarai Ilikuwa na Maana Ya "My Princess" katika hali ya Umimi sijui kama unanielewa Lilibadilishwa Kwenda Sarah ambayo linamaanisha "Our Princess" au Simply The princess..

Sasa Nataka Nikupe Maana Halisi Ya hayo maneno vizuri....

Unafikiri kwanini Mungu aliongeza Herufi Hey(ה) kwenye majina yao na Hakuongeza neno Zaidi???

kwa Abram/Avram (אַבְרָם) aliongeza Hey katikaki ikawa Abraham/Avraham (אַבְרָהָם)

Na kwa Sarai (שָׂרַי) aliongeza Hey na kuondoa Ye au ai mwishoni mwa jina Ikawa Sarah (שָׂרָה)....

Ungekuwa Myahudi Ningekushangaa Na ningekuona Hujaiva Katika Talmud, midrash,Mishna na Hata Halakha kama Ungeniuliza Hey Inamaanisha Nini Hapo kwenye Majina Yao Baada ya Kukosa Mtoto mungu aliyemkusudia..

Au Ungekuwa Myahudi Ningekuchapa Vibao Maana Kabla Ya kujifunza Torah au kabla ya Kugusa Torah au Biblia au somo lolote Myahudi lazima Ujue Elimu ya Herufi na Maana zake na Umuhim wake yaani Devine Capability ya Herufi hiyo..(Unajua Wayahudi hawana Namba wanatumia Hizo hizo herufi kama Namba)..

So Gemetria Hutumika na Hufundishwa kwa ajili ya Kujua Herufi na namba na Devine messege ya herufi hizo na Ukisoma Talmud, Rabbinic Perspectives mbalimbali na hata Zohar utakuta herufi hizo..

Sasa twende kwenye Herufi Hey..
Herufi Hey Ina nguvu ya Uumbaji ,"Creation Power"...
Inapokuwepo Herufi Hey Lazima neno Hilo wayahudi waliheshimu Sana..Hata Neno Yhwh (Yahwe) au hata Elohim yote yana Hey kumaanisha Mungu ni muumbaji Na hata Ukisoma Biblia Utagundua katika Uumbaji Utakuta Elohim na Mwanzo mbili utakuta Yahwe elohim etc..

Ukisoma Talmud inaelezea kuwa Mungu alitumia Herufi Hey inkwenye Uumbaji wa Ulimwengu ambayo inamaanisha divine power, openness and The Power to create..
Kwahyo Hey pia Ukipewa Kwenye Jina Maana Yake Unapewa Baraka ya Uumbaji..

Neno Akarah עֲקָרָה wewe Unaloliita Tasa au Mliloambiwa Ni tasa ambalo agano la kale au Torah imekuwa Ikilitaja kuashiria Kunyimwa Baraka ya Uumbaji...Yaani akarah maana Yake halisi ni Ukosefu wa Baraka ya Uumbaji..

Ukisoma Wanawake waliokuwa Akarah (Walionyimwa Baraka ya Uumbaji) ni Sarai, Rebeka na Hana na Hakuna Mwanamke mwingine aliyeitwa Akarah kwemye Biblia zaidi ya Hao..

Kubadilika kwa jina lake ni ishara ya utakaso na kuinuliwa/ leverage au tuseme transformation kutoka stage moja kwenda nyingine. Ila sio kusema kwamba jina Sauli ndo lilimfanya auwe watu na asiwe mcha Mungu.

hii Sentesi ulipoitaja ndo niliipenda Kuliko maelezo yako yote..

eniwei tuendelee Kujifunza Tuna vitu vingi vya kujifunza
 
Back
Top Bottom