Upo Dar??yaan hosptali ulizo zunguka ni za Dar??Nashukuru sana Watu kama nyie ndo mnatakiwa bitalifanyia hili nasubiria mwenje kujua mwenye tatizo hili kwa kina au hospital maana nimezunguka sana..unajua siku hizi hata hospital hawatibu bt wako kimaslah
niko Arusha mkuuKuna dawa mlimani city kwenye duka la dawa inaitwa buzuka ya kuvichoma ivo kanunue.
Ùsifanye mapenz kwa njia ya mdomo mzee au ùsinyonye mzee.
Hivi kumbe HPV ni hatari kwa wanaume pia!!habarini za sa hz..1 nitangulize samahan kwa picha hapo chini landa itawakera badhi ya watu ila imenibid nifanye hivyo coz wanasemaga mficha maradhi kifo humuumbua..
Ni kwa muda sasa tokea mwezi wa 5 kuna vipele vilianza kuniota ambavyo sikuwah kuvipt kbsa kabla...na vipele hvyo vilianza kuwa vidogo na kadri siku zinavyozid kwenda vinakuwa vikubwa na kusambaa sehemu za uume kama kwenye shingo ya uume,kichwa uume na kwenye ngoz ya korodan, na hvyo vipele ni vigumu kiasi na ni kama vinyama vinyma vimeota ju ya ngoz ni mara chache tu vinawasha
..niliwah kwenya kupima nikaambiwa nina HPV nikaandikiwa dawa ya kunywa na ya kupaka bt mpaka namaliza dawa hazikunisaidia.na hii hali inanitisha sana ndo maana nikaja kwenu ndugu zangu najua hii forum ni kubwa sana kama kuna mtu yeyote mwenye kujua kuhusu hili usahauri au tiba naomba anisaidie au dawa pia.
View attachment 1651384
niko arusha nduguUpo Dar??yaan hosptali ulizo zunguka ni za Dar??
Mm mashauri ukienda hosptal tafuta wataalam wa masuala ya uzazi na ngozi
Usikutane na wale madaktari wa jumla jumla....
Na nitajitahidi kuulizia pia kuhusu hili
sawa mkuuKuna dawa mlimani city kwenye duka la dawa inaitwa buzuka ya kuvichoma ivo kanunue.
Ùsifanye mapenz kwa njia ya mdomo mzee au ùsinyonye mzee.
HahahahhahaMbona nyeusi sana
Nenda NSK, Shree Hindu au AICCniko arusha ndugu
habarini za sa hz..1 nitangulize samahan kwa picha hapo chini landa itawakera badhi ya watu ila imenibid nifanye hivyo coz wanasemaga mficha maradhi kifo humuumbua..
Ni kwa muda sasa tokea mwezi wa 5 kuna vipele vilianza kuniota ambavyo sikuwah kuvipt kbsa kabla...na vipele hvyo vilianza kuwa vidogo na kadri siku zinavyozid kwenda vinakuwa vikubwa na kusambaa sehemu za uume kama kwenye shingo ya uume,kichwa uume na kwenye ngoz ya korodan, na hvyo vipele ni vigumu kiasi na ni kama vinyama vinyma vimeota ju ya ngoz ni mara chache tu vinawasha
..niliwah kwenya kupima nikaambiwa nina HPV nikaandikiwa dawa ya kunywa na ya kupaka bt mpaka namaliza dawa hazikunisaidia.na hii hali inanitisha sana ndo maana nikaja kwenu ndugu zangu najua hii forum ni kubwa sana kama kuna mtu yeyote mwenye kujua kuhusu hili usahauri au tiba naomba anisaidie au dawa pia.
View attachment 1651384
Sidhan kama hospital walikosea kukwambia kua ni HPV infectionhabarini za sa hz..1 nitangulize samahan kwa picha hapo chini landa itawakera badhi ya watu ila imenibid nifanye hivyo coz wanasemaga mficha maradhi kifo humuumbua..
Ni kwa muda sasa tokea mwezi wa 5 kuna vipele vilianza kuniota ambavyo sikuwah kuvipt kbsa kabla...na vipele hvyo vilianza kuwa vidogo na kadri siku zinavyozid kwenda vinakuwa vikubwa na kusambaa sehemu za uume kama kwenye shingo ya uume,kichwa uume na kwenye ngoz ya korodan, na hvyo vipele ni vigumu kiasi na ni kama vinyama vinyma vimeota ju ya ngoz ni mara chache tu vinawasha
..niliwah kwenya kupima nikaambiwa nina HPV nikaandikiwa dawa ya kunywa na ya kupaka bt mpaka namaliza dawa hazikunisaidia.na hii hali inanitisha sana ndo maana nikaja kwenu ndugu zangu najua hii forum ni kubwa sana kama kuna mtu yeyote mwenye kujua kuhusu hili usahauri au tiba naomba anisaidie au dawa pia.
View attachment 1651384
nipo Arusha ila nitafanya hvyo boss nina mpango wa kuja hukoKama upo dar es salaam jaribu kuonana na daktar wa ngozi pale Burhan hospital mkabala na duka la laptop city Posta
Ahsante sana na walinipa dawa inaitwa acylovir cream ya kupaka pamoja na vidonge vyakeSidhan kama hospital walikosea kukwambia kua ni HPV infection
Hiyo ni Genital warts inayosababishwa na virus aina ya HPV
Lakini hujasema ni dawa gan walizokupa hospital na ukatumia bila kupata nafuu yoyote
Huwa kuna dawa ya kuvichoma na kemikali inaitwa SILVER NITRATE PENCIL au ya kupaka inaitwa PODOPHYLLIN(podofilox) gel
NB: Ni vizuri pia ukamuona daktari wa magonjwa ya ngozi (dermatologist)
Pia ni vizuri ukapima HIV
Daah, hizo Acyclovir efficacy yake ni ndogo sana I.e. less effective kwenye kutibu wartsAhsante sana na walinipa dawa inaitwa acylovir cream ya kupaka pamoja na vidonge vyake
okHiyo kitaalamu inaitwa kendembilical duduscum. Jaribu kuwa msafi acha kuvaa boksa wiki 6.
Pia jifunze kutawaza vizuri
Sawa Mkuu nitajribu hivyo kakaDaah, hizo Acyclovir efficacy yake ni ndogo sana I.e. less effective kwenye kutibu warts
Jaribu kutumia hizo nilizokwambia, ni among the recommended drugs kwenye kutibu genital warts
ahsante sana mkuuDaah, hizo Acyclovir efficacy yake ni ndogo sana I.e. less effective kwenye kutibu warts
Jaribu kutumia hizo nilizokwambia, ni among the recommended drugs kwenye kutibu genital warts
Tuone picha...jamaa alitutumia picha akasaidiwaAliyekuwa amepatwa na ugonjwa huu alipona na dawa gani maana mwenyewe sahivi inamsumbua sana
Dalili ni zipi? Zilezile au we kuna tofauti? Je mwili unawasha kujikuna sana hasa usiiku???Aliyekuwa amepatwa na ugonjwa huu alipona na dawa gani maana mwenyewe sahivi inamsumbua sana