Jesuitdon
JF-Expert Member
- Dec 18, 2018
- 3,153
- 2,673
Nakazia hiiHadi mikononi ndugu? kapime ngoma haraka iwezekanavyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakazia hiiHadi mikononi ndugu? kapime ngoma haraka iwezekanavyo
Ni ya kupaka kwenye ngozi ya mwiliMatumiz yake ni yapi mkuu
Usiwe mtoto kua basi kidogo!Hii solution tiari bado mrejesho tu
Mbona umeweka matusi makubwa namna hii
Nii hii peke yake au kuna vidonge pia ???@Zaburi 23 aisee hii itakusaidia sana... pia me sikutumia hii ila me nilitumia BBE dawa ya upele ikanisaidia.. nilikua nawashwa mwili sana hasa usiku ni balaaa.. tumia hizi zote
Ngoma nlipima may 25 so sihofii hapo mkuuNakazia hii
Sitoi povu ila kuna watu wameugua ugonjwa kama wa huyo jamaa me pia niliwah kuugua ugonjwa kama huo ilikua ni mwendo wa kuwashwa mwili kwa miez kama 4 iv... hospital nenda rudi pesa ilotumika sio mchezo. Ni mwendo wa sindano, dawa za kupaka na kumeza lakini hakuna nilichafaniksha.. ila kupitia humu na mtu mwingne wa nje nikapata dawa.. msamehe bure jamaaHivi hii imekaaje mtu kutuma picha zake za utupu mtandaoni kwa madai eti anaomba msaada wa tatizo lake ?? .. madaktari mbona wengi kwanini usiende ukawaelezea shida yako wakakutibia, wakuu fake ID's zisitufanye tuvuke mipaka .. mods pia mnaweza kufanya kazi yenu ..
POVU RUKSA!
Aisee we jamaa umeamua ujitolee kabisa😬😀Hicho kibamia hata ukizoom haliwi hogo...
Labda nikutumie hogo langu pm.
Angalia vizuri hiko kidole cha kati hayo malenge lenge na vidonda huwapata watu wenye HIV, vikifika mdomoni kwisha habari yakoNgoma nlipima may 25 so sihofii hapo mkuu
Haujapata msisimko🙄🙄Dah nimejikuta nazoom...pole mkuu
Kama ulivyosema kuna wengi wamewahi kupata hivyo vipele hivyo ingetosha tu kwa yeye kuelezea na akapata msaada anao hitaji na sio kutuma picha zake za utupu hata kimaadili haipo sawa ..Sitoi povu ila kuna watu wameugua ugonjwa kama wa huyo jamaa me pia niliwah kuugua ugonjwa kama huo ilikua ni mwendo wa kuwashwa mwili kwa miez kama 4 iv... hospital nenda rudi pesa ilotumika sio mchezo. Ni mwendo wa sindano, dawa za kupaka na kumeza lakini hakuna nilichafaniksha.. ila kupitia humu na mtu mwingne wa nje nikapata dawa.. msamehe bure jamaa
Itabidi nikutumie ya kwangu pm maana ninaweza kubahatika ikaungana na ya kwakoNaachaje,hata mimi nina moyo mkuu🤒
Nyie mnao mshauri akatumie antifungal drugs and topical treatment angali si fungal mna mtakia mema?Kuna dawa inaitwa Whitefield itafute
Ndio ujipimieMmh umeona utuwekee na kidushelele kabisa?!!! Chinekeeee