Kwasasa siasa hakuna ndugu Alexism. Tungependa ungeendeleza hilo wazo lako. Na vijana wako tayari kwa hakika!Things Fall Apart. ...Kagera/Bukoba kuhamka kwenye usingizi huu ni zaidi ya KARNE..Niliwai kubuni kama kijana program inayoitwa WCY...Yaani WEALTHY CREATION TO YOUTHS ila ilikwama kwasababu ya itikadi ya kisiasa...Sasa nenda Uganda ambayo Mseveni anaotumia uone kipi k inaendelea
Taarifa kutoka kwa Naibu Meya ni kwamba karibuni barabara hizi zitakua historia kwasababu wamekwisha tangaza tenda hivyo ni hivi karibuni zitatengenezwa.Inasikitisha sana mkuu barabara kama vile kijiji au
Ukiahasema zitatengenezwa sio kuziba mashimo baada ya siku mbili kuharibika tunataka barabara za kudumuTaarifa kutoka kwa Naibu Meya ni kwamba karibuni barabara hizi zitakua historia kwasababu wamekwisha tangaza tenda hivyo ni hivi karibuni zitatengenezwa.
Wewe ndo mbunge mkuu? Usilete porojo hapa ukitaka masuala ya wafate wenye vyama vyao. Siye wengine tunaumwa na maendeleo na si porojo za mda.Nina wasiwasi na u-kada wako. Tukiweka siasa pembeni huwezi kuhukumu kazi ya mtu kwa mwaka mmoja hasa kwa miradi mikubwa. Hata Rais bado anajipanga kutekeleza sera ya viwanda. Kama vipi tupe mbunge ambaye ameonyesha vitu vikubwa vinavyoshikika ndani ya mwaka mmoja.
Dada habari.Taarifa kutoka kwa Naibu Meya ni kwamba karibuni barabara hizi zitakua historia kwasababu wamekwisha tangaza tenda hivyo ni hivi karibuni zitatengenezwa.
Ngoja kwanza shida ziwafike shingoni uenda ipo siku wataelewa, kwasahivi waache kwanza wanyooke.Bado kuna tatizo katika maendeleo na siasa za Bukoba Happiness huu ndiyo ukweli dada yangu...Ila tukiacha kua na misimamo kama hii
Wa chama gani huyo
Wa kabila gani
Ana nini/mali
Elimu gani anayo etc bila kuangalia mawazo ya mtu yana umuhim gani it will take long...WCY wala haitaki mtaji mkubwa wa pesa au mikopo bali uelewa na support to kutoka kwa wanasiasa maana ndivyo tulivyojijenga watanzania
Unamaanisha hao waheshimwa hawakuwahi kutambua maana ya mawasilaiano?MWONEKANO WA BARABARA ZA BUKOBA, JANUARY 2017
Mbona Mbeya na Arumeru wanasonga mbele ilihari nako ni upinzani tena chama kile kile, kwanini inakuwa shida Bukoba wakati manispaa wanaiendesha wao?Hiyo barabara uliyoonyc nezwe vp lazima itabomoka tu maana hakuna mitalo ya maji ya mvua
,
lkn pia nikukumbushe ndugu katika manispaa ambazo chadema wameshinda wana mipango mizuri lakini inakwamishwa na hao wanaoitwa wakuu wa wilaya na mikoa. Mfano mkoa wa Arusha madiwani wana mipango mizuri sana lakini mkuu wa mkoa Mrisho Gambo anasabotage mipango hiyo kwa kuwa Chadema watapata credit - hiyo ndo akili ya mtu mweusi, ni bora mkoa mzima urudi nyuma kimaendeleo lkn chama pinzani kisipate credit. - Absolutely ridiculous
Kwahiyo mtu arudi kwao ili apeleke pesa yake ndo ijengee barabara ama unamaanisha nini? Na unahisi kila palipojengwa ni kwasababu watu wanarudi kwao?Wahaya mnakuwaga na fujo kweli hapa town kumbe kwenu ndio kuko hivo!!!
Haya rudini mkafanye maendeleo huko, kuna jamaa juzi alilalamika hata daladala hamna huko.