TUSHIRIKISHANE Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Kigamboni

TUSHIRIKISHANE Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Kigamboni

TAARIFA YA MBUNGE WA KIGAMBONI DKT FAUSTINE NDUGULILE KUHUSU MIRADI YA MAENDELEO KIGAMBONI
Napenda kutoa taarifa ya wapi tulipofikia kwenye utekelezaji wa miradi tuliyokubaliana kwenye kikao chetu.

1. Barabara ya kutoka Darajani hadi kwa Msomali

Mkandarasi ameshapatikana kazi ya ujenzi kuanza muda wowote kuanzia sasa.

2. Upatikanaji wa nguzo za umeme

Kumekuwa na changamoto wa upatikanaji wa nguzo za moto mdogo (Low Tension-LT) toka Tanesco Makao Makuu. Nguzo za umeme mkubwa (High Tension-HT) zipo. Kazi ya usambazaji wa umeme mkubwa unaendelea. Kazi ya kuunganisha umeme majumbani unasuasua kutokana na uhaba wa nguzo. Mara ya mwisho Wilaya ya Kigamboni ilipata nguzo 50 wakati mahitaji no zaidi ya nguzo 500. Ninaendelea kufuatilia ili mgawo wa nguzo uongezeke.

3. Barabara ya Feri-Tungi-Kisiwani-Kibada

Zabuni ya barabara hii ilitangazwa mapema mwaka huu. Hadi zabuni zinafunguliwa ni kampuni moja ilijitokeza na gharama zake zilikuwa juu sana.

Gharama zimekuwa juu kutokana na hali ya upatikanaji wa kifusi kutokuwa na uhakika baada ya kuzuia machimbo katika Wilaya Mpya ya Kigamboni.

Hata hivyo, kama Uongozi wa Wilaya tumeshakubaliana kuhusu kuwa na maeneo mahsusi ya uchimbaji kifusi ambayo yatasimamiwa na Halmashauri na kwa ajili ya miundombinu ya Halmashauri na ile ya Tanroads.
Baada ya maafikiano haya, ninatarajia zabuni hii itatangazwa tena baada ya kupata uhakika wa upatikanaji wa kifusi.

4. Barabara ya Feri-Mjimwema-Kimbiji-P'Mnazi

Barabara hii itaendelea kujengwa. Makisio ya gharama yapo kwenye bajeti itakayowasilishwa Bungeni hivi karibuni.

5. Barabara ya Kibada-Mwasonga-Kimbiji

Kazi ya usanifu na upembuzi yakinifu unaendelea kwa saaa. Hakuna maoteo ya kujenga barabara hii kwa mwaka wa fedha 2017/18. Tunajaribu kuangalia wapi tunaweza kupata hela ya kujenga barabara yote kwa mpigo.

6. Suala la Kituo kidogo cha umeme

Ununuzi wa eneo umekamilika. Bajeti ya ujenzi wa kituo iko kwenye bajeti ya mwaka 2017/18 ambayo utekelezaji wake unaanza Julai 2017.

Aidha, maeneo ambayo hayana umeme tumeyaingiza kwenye mradi wa REA awamu ya Tatu. Tunasubiri utekelezaji baada ya kuzinduliwa.

Aidha, tunatarajia kukatika katika kwa umeme kutapungua sana baada ya vituo cha kupoozea umeme cha Mbagala na Kurasini vitakapokamilika.

Umeme tunaopata unaanzia Kipawa na unahudumia baadhi ya maeneo ya Ilala, Temeke, Mbagala yote, Mkuranga yote na Kigamboni yoye.

Mfano, jana umeme ulikatika jana usiku kutokana na tatizo lililotokea huko Tazara.
Ujenzi wa kituo cha Kigamboni ndio suluhu ya kudumu.

Suala la utitiri wa leseni, wavuvi kupewa nyenzo na uvuvi haramu nililifikisha kwa Waziri wa Sekta. Nikiri sijapata mrejesho wa kutosheleza kuleta majibu. Ninaendelea kufuatilia.

Dkt Faustine Ndugulile Mb
Mbunge
15.04.2017
Hii barabara ya mwasonga kibada kimbiji ni kibwa sana. Inahitaji ijengwe kwa lami ili ifungue fursa.
 
TAARIFA YA MBUNGE WA KIGAMBONI DKT FAUSTINE NDUGULILE KUHUSU MIRADI YA MAENDELEO KIGAMBONI
Napenda kutoa taarifa ya wapi tulipofikia kwenye utekelezaji wa miradi tuliyokubaliana kwenye kikao chetu.

1. Barabara ya kutoka Darajani hadi kwa Msomali

Mkandarasi ameshapatikana kazi ya ujenzi kuanza muda wowote kuanzia sasa.

2. Upatikanaji wa nguzo za umeme

Kumekuwa na changamoto wa upatikanaji wa nguzo za moto mdogo (Low Tension-LT) toka Tanesco Makao Makuu. Nguzo za umeme mkubwa (High Tension-HT) zipo. Kazi ya usambazaji wa umeme mkubwa unaendelea. Kazi ya kuunganisha umeme majumbani unasuasua kutokana na uhaba wa nguzo. Mara ya mwisho Wilaya ya Kigamboni ilipata nguzo 50 wakati mahitaji no zaidi ya nguzo 500. Ninaendelea kufuatilia ili mgawo wa nguzo uongezeke.

3. Barabara ya Feri-Tungi-Kisiwani-Kibada

Zabuni ya barabara hii ilitangazwa mapema mwaka huu. Hadi zabuni zinafunguliwa ni kampuni moja ilijitokeza na gharama zake zilikuwa juu sana.

Gharama zimekuwa juu kutokana na hali ya upatikanaji wa kifusi kutokuwa na uhakika baada ya kuzuia machimbo katika Wilaya Mpya ya Kigamboni.

Hata hivyo, kama Uongozi wa Wilaya tumeshakubaliana kuhusu kuwa na maeneo mahsusi ya uchimbaji kifusi ambayo yatasimamiwa na Halmashauri na kwa ajili ya miundombinu ya Halmashauri na ile ya Tanroads.
Baada ya maafikiano haya, ninatarajia zabuni hii itatangazwa tena baada ya kupata uhakika wa upatikanaji wa kifusi.

4. Barabara ya Feri-Mjimwema-Kimbiji-P'Mnazi

Barabara hii itaendelea kujengwa. Makisio ya gharama yapo kwenye bajeti itakayowasilishwa Bungeni hivi karibuni.

5. Barabara ya Kibada-Mwasonga-Kimbiji

Kazi ya usanifu na upembuzi yakinifu unaendelea kwa saaa. Hakuna maoteo ya kujenga barabara hii kwa mwaka wa fedha 2017/18. Tunajaribu kuangalia wapi tunaweza kupata hela ya kujenga barabara yote kwa mpigo.

6. Suala la Kituo kidogo cha umeme

Ununuzi wa eneo umekamilika. Bajeti ya ujenzi wa kituo iko kwenye bajeti ya mwaka 2017/18 ambayo utekelezaji wake unaanza Julai 2017.

Aidha, maeneo ambayo hayana umeme tumeyaingiza kwenye mradi wa REA awamu ya Tatu. Tunasubiri utekelezaji baada ya kuzinduliwa.

Aidha, tunatarajia kukatika katika kwa umeme kutapungua sana baada ya vituo cha kupoozea umeme cha Mbagala na Kurasini vitakapokamilika.

Umeme tunaopata unaanzia Kipawa na unahudumia baadhi ya maeneo ya Ilala, Temeke, Mbagala yote, Mkuranga yote na Kigamboni yoye.

Mfano, jana umeme ulikatika jana usiku kutokana na tatizo lililotokea huko Tazara.
Ujenzi wa kituo cha Kigamboni ndio suluhu ya kudumu.

Suala la utitiri wa leseni, wavuvi kupewa nyenzo na uvuvi haramu nililifikisha kwa Waziri wa Sekta. Nikiri sijapata mrejesho wa kutosheleza kuleta majibu. Ninaendelea kufuatilia.

Dkt Faustine Ndugulile Mb
Mbunge
15.04.2017
Pia ningeomba uanzishe thread maalum ya wanakigamboni ikielezea maendeleo ya kigamboni.
 
Kama unasikia maajabu ndiyo haya!

Daraja la kigamboni lililojengwa Kwa mabilioni ya Pesa! Daraja lililojengwa Kwa Nondo za kuagiza toka nje, daraja ambalo huvuki mpaka ulipie!

Maungo ya barabara yake baada ya daraja ni mabovu haijawahi tokea! Barabara ina mashimo na madimbwi kiasi kwamba hata kutembea Kwa miguu haifai!

Nimetoka kigamboni sahivi na kikirikuu changu shock-up zote hazifai;
Ni mambo ya ajabu sana sehemu ambapo ni uso Wa nchi kama daraja ni panakuwa pabovu namna hiyo kama vile nchi haina viongozi!

Inamaana wameshindwa hata kutia mafta greda likasawazisha watu wapite? Kutwa kukusanya road license za magari lakini barabara ni mbovu! Mbovu, mbovu kila mahali!

Sijui nini cha kujivunia Tanzania, kila mahali kero tupuuu!
(HATA UWANJA WA TAIFA MVUA IKINYESHA MTU ALIYEKAA V.I.P ANANYESHEWA NA MVUA)

Njia zoote kuanzia mitaa hadi njia kuu kuna mashimo tupu ! Sijui serikali iko wapi!
" haya ndiyo matokeo ya kuongozwa na watu wanaojuwa kusoma na kuandika"

Mmenitia hasara ya kununua tena shock-up ovyo kabisa nyie watu!
 
Ukiwa kwenye daladala za Kigambo - (M/Complex) Soko la Ilala ndiyo hatari hasa.
 
Hilo eneo kama una Gari LA chini wala usipite.. In aibu sana aisee, ndio maana foleni ya Magari imerudi feri! Kieneo cha km moja kimewashinda na hela wanakusanya kila siku? Nchi ina maudhi sana hii.. Kodi tunalipa ila huduma hovyo kabisa
 
Kama unasikia maajabu ndiyo haya!

Daraja la kigamboni lililojengwa Kwa mabilioni ya Pesa! Daraja lililojengwa Kwa Nondo za kuagiza toka nje, daraja ambalo huvuki mpaka ulipie!

Maungo ya barabara yake baada ya daraja ni mabovu haijawahi tokea! Barabara ina mashimo na madimbwi kiasi kwamba hata kutembea Kwa miguu haifai!

Nimetoka kigamboni sahivi na kikirikuu changu shock-up zote hazifai;
Ni mambo ya ajabu sana sehemu ambapo ni uso Wa nchi kama daraja ni panakuwa pabovu namna hiyo kama vile nchi haina viongozi!

Inamaana wameshindwa hata kutia mafta greda likasawazisha watu wapite? Kutwa kukusanya road license za magari lakini barabara ni mbovu! Mbovu, mbovu kila mahali!

Sijui nini cha kujivunia Tanzania, kila mahali kero tupuuu!
(HATA UWANJA WA TAIFA MVUA IKINYESHA MTU ALIYEKAA V.I.P ANANYESHEWA NA MVUA)

Njia zoote kuanzia mitaa hadi njia kuu kuna mashimo tupu ! Sijui serikali iko wapi!
" haya ndiyo matokeo ya kuongozwa na watu wanaojuwa kusoma na kuandika"

Mmenitia hasara ya kununua tena shock-up ovyo kabisa nyie watu!


Zito Kabwe kaiba hela zote kaenda kujengea Mavilla yake!
 
Daraja la Kigamboni litaleta madhara makubwa sana it's just the matter of time tutaishia kulia kwa kuwapoteza ndugu zetu. Daraja limeelemea upande mmoja . Kwa ufupi 'Lililipuliwa'
We una masiala wewe... Nimepita apo Leo ndani ya basi to and from machinga complex... icho unachokisema ni ulongo sana japo sijachunguza ila I don't think ukweli wa observation yako. Wewe ni muongo pia mulongo
 
Daraja la Kigamboni litaleta madhara makubwa sana it's just the matter of time tutaishia kulia kwa kuwapoteza ndugu zetu. Daraja limeelemea upande mmoja . Kwa ufupi 'Lililipuliwa'

Usitutie kihoro cha roho we mzushi.. Dahh.. Tena shika adabu yako. Wewe ni zaidi ya sheikh Yahaya
 
Usitutie kihoro cha roho we mzushi.. Dahh.. Tena shika adabu yako. Wewe ni zaidi ya sheikh Yahaya
Matusi ya nini Mkuu?! Nina haki ya kuchangia kile naamini au kile nimeona. Ubarikiwe kwa matusi yako!
 
Kama unasikia maajabu ndiyo haya!

Daraja la kigamboni lililojengwa Kwa mabilioni ya Pesa! Daraja lililojengwa Kwa Nondo za kuagiza toka nje, daraja ambalo huvuki mpaka ulipie!

Maungo ya barabara yake baada ya daraja ni mabovu haijawahi tokea! Barabara ina mashimo na madimbwi kiasi kwamba hata kutembea Kwa miguu haifai!

Nimetoka kigamboni sahivi na kikirikuu changu shock-up zote hazifai;
Ni mambo ya ajabu sana sehemu ambapo ni uso Wa nchi kama daraja ni panakuwa pabovu namna hiyo kama vile nchi haina viongozi!

Inamaana wameshindwa hata kutia mafta greda likasawazisha watu wapite? Kutwa kukusanya road license za magari lakini barabara ni mbovu! Mbovu, mbovu kila mahali!

Sijui nini cha kujivunia Tanzania, kila mahali kero tupuuu!
(HATA UWANJA WA TAIFA MVUA IKINYESHA MTU ALIYEKAA V.I.P ANANYESHEWA NA MVUA)

Njia zoote kuanzia mitaa hadi njia kuu kuna mashimo tupu ! Sijui serikali iko wapi!
" haya ndiyo matokeo ya kuongozwa na watu wanaojuwa kusoma na kuandika"

Mmenitia hasara ya kununua tena shock-up ovyo kabisa nyie watu!
Pole sana ! Ni PM nikuuzie shokapu Kwa bei poa Mdau! Kufa kufaana! Zipo Mpya na used
 
Hilo eneo kama una Gari LA chini wala usipite.. In aibu sana aisee, ndio maana foleni ya Magari imerudi feri! Kieneo cha km moja kimewashinda na hela wanakusanya kila siku? Nchi ina maudhi sana hii.. Kodi tunalipa ila huduma hovyo kabisa
Unadhani ndege zitanunuliwa na nini?
 
Back
Top Bottom