Mjengo mpya wa Nandy na Bilinass

Tukiweka ushabiki pembeni tuka stick kwenye facts, HAKUNA MSANII BONGO ANAWEZA JENGA MJENGO HUU kwa kaz ya sanaa. hayupooo.. Hii kitu si chini ya 3B na hakuna msanii mwenye uwezo wa kuwa na hiyo figure kwenye account mpaka kufa kwake, labda Diamond ambaye naye si pesa ya muziki pekee.

Jumba kama hili maintenance costs zake tu Monthly vitu kama umeme na maji , usafi na mambo mengine ni pesa ndefu sana
 
Congratulations, waneupiga mwingi.
Daima wadumu katika umoja wao....
 
Duh🤔
 
Kwa kazi ya Sanaa tu hela ya kujenga hii nyumba hawana.
Hawajatokea Familia Choka Mbovu hilo inabidi ujifunze kabla ya kuandika sio wale wakina fulani sasa gemu inaelekea kuwatupa Mkono bado wanaishi nyumba za kupanga bank ikiwatingisha kidogo tu hali sio hali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…