Mji mzito huu

Ndugu ni sumu au agent wa vitabia vya ajabu kwa watoto tena ukute ndugu wanalirika kubwa kuliko mtoto ndio mbaya japo sio ndugu wote wabaya wengi wanamichezo mibaya.

Hata boarding ndipo uonevu na experiments nyingi za tabia zinashamiri, nilishashudia hayo kwenye shule moja ya vipaji moro huko ina hii mambo mpaka aibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa imekuwa kama kumpa uhuru wa kufanya kile anachojisikia, cha muhimu yupo smart enough kuendesha maisha yake kwa kuwasaidia na wengine.

Sometimes personal life ya mtu hasa mtu mzima kama haikuathiri chochote maishani ni ya kumuachia mwenyewe hawa kina James delicious ndio wa kudeal nao kwa mambo yao ya kupost na kuharibu maadili kwa kuipigia promo hii kitu.
Kumtenga haikuwa solution naona

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio nia mbaya nimechoka na hyo tabia kuni attack nionekane mubaya kwanza Mimi sijawahi kemea mtu mzima kutoa.mtaro wake mie hujisemea nafsi yangu, mtu ka mzima ana Uhuru wa kufanya lolote huko chumbani Mimi hayanihusu.
So I wonder people kunishikia bango ka nimeua vile, wengine mumekuwa mahakimu wazuri as if jf nzima mie ndo ninaye comments nyuzi hzo, kumbuka reactions za jamii kuhusu ushoga, jamani msitake kuni label vibaya heshimuni maoni yangu sipendi watu kunifata fata popote.

Kwanza Uzi huu unanambia eti nimekuwa mpole kah umetumia kipimo gani, mana huu Uzi una comments kibao ukaona yangu tu. I personal hyo a.... Sex kwangu ni mwiko, hao wanaofanya wafanye kwa raha zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuanzia ndugu hata wadada wakazi ndo waharibu mno, kwa watoto jinsia zetu. Mie nalea kuishi na ndugu nawatimua wote marufuku mtoto kulala na strange people.

Huko boarding ni kufundisha watoto mie nimesoma boarding niliya shuhudia hayo sana tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alafu watu wa aina ya huyo mtu utakuta ndio mdau namba moja huku anaonekana mkolomije sirini ni matatuaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kikubwa upendo basi mtu akifanyia yake chumbani atajiju na kwa siri no problem at all.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…