Mji mzito huu

Mji mzito huu

Ndugu ni sumu au agent wa vitabia vya ajabu kwa watoto tena ukute ndugu wanalirika kubwa kuliko mtoto ndio mbaya japo sio ndugu wote wabaya wengi wanamichezo mibaya.

Hata boarding ndipo uonevu na experiments nyingi za tabia zinashamiri, nilishashudia hayo kwenye shule moja ya vipaji moro huko ina hii mambo mpaka aibu.
Shida wengi huharibiwa na ndugu wa karibu tangia utoto wao na kutishwa wasiseme, na huko mashuleni ndo shida yatupasa kuwafundisha watoto madhara ya haya mambo, boarding kuna mambo sana.

Hao watu wazima wafanye tu kwa utashi na Uhuru wao it doesn't hurt ka kwa watoto.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa imekuwa kama kumpa uhuru wa kufanya kile anachojisikia, cha muhimu yupo smart enough kuendesha maisha yake kwa kuwasaidia na wengine.

Sometimes personal life ya mtu hasa mtu mzima kama haikuathiri chochote maishani ni ya kumuachia mwenyewe hawa kina James delicious ndio wa kudeal nao kwa mambo yao ya kupost na kuharibu maadili kwa kuipigia promo hii kitu.
Kumtenga haikuwa solution naona

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio nia mbaya nimechoka na hyo tabia kuni attack nionekane mubaya kwanza Mimi sijawahi kemea mtu mzima kutoa.mtaro wake mie hujisemea nafsi yangu, mtu ka mzima ana Uhuru wa kufanya lolote huko chumbani Mimi hayanihusu.
So I wonder people kunishikia bango ka nimeua vile, wengine mumekuwa mahakimu wazuri as if jf nzima mie ndo ninaye comments nyuzi hzo, kumbuka reactions za jamii kuhusu ushoga, jamani msitake kuni label vibaya heshimuni maoni yangu sipendi watu kunifata fata popote.

Kwanza Uzi huu unanambia eti nimekuwa mpole kah umetumia kipimo gani, mana huu Uzi una comments kibao ukaona yangu tu. I personal hyo a.... Sex kwangu ni mwiko, hao wanaofanya wafanye kwa raha zao.
Basi sawa dada tumeshakujua tayari.
Ckusema kwa nia mbaya my friend


Nimekuwa nikivutiwa sana na comment zako ambazo huwa ukiwakomesha watu wanaopenda hiyo michezo na huwa nikifuatilia comment zako napata faraja sana kuona wapo wanaokemea hili suala kwa ukali na hawataki hata kulisikia.

Ila sasa nikashangaa kidogo hapa umekuwa tofauti ndo mana nikaandika hivyo.wala sikukusudia ubaya dada.

All the best.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu ni sumu au agent wa vitabia vya ajabu kwa watoto tena ukute ndugu wanalirika kubwa kuliko mtoto ndio mbaya japo sio ndugu wote wabaya wengi wanamichezo mibaya.

Hata boarding ndipo uonevu na experiments nyingi za tabia zinashamiri, nilishashudia hayo kwenye shule moja ya vipaji moro huko ina hii mambo mpaka aibu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Kuanzia ndugu hata wadada wakazi ndo waharibu mno, kwa watoto jinsia zetu. Mie nalea kuishi na ndugu nawatimua wote marufuku mtoto kulala na strange people.

Huko boarding ni kufundisha watoto mie nimesoma boarding niliya shuhudia hayo sana tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alafu watu wa aina ya huyo mtu utakuta ndio mdau namba moja huku anaonekana mkolomije sirini ni matatuaji.
Huku ni ubuyu kwa kwenda mbele hau hujui hili jukwaa, mie na discuss udaku, pia tusipangiane maisha ya kufanya jf na Uhuru wa Ku comment chochote jf as long as zivunji sheria za jf na jamhuri ya muungano wa Tanzania. I do respect you lakini sikutegemea ur that low kiasi hicho hafu wewe ni mwanaume wa tano kunifatilia kuhusu comments zangu, tena mumeshikilia mambo ya tigo wakati Mimi humu JF hu comments majukwaa mbali mbali had siasani mbona huwa hamuji kusema lolote.

Acheni mambo ya ajabu yenu kuona eti tigo ndo dhambi ila umbeya na usengenyaji ni sawa. I'm always positive my dear don't judge me by my opinions, I hate hypocrisy nature of people.

Enjoy ur time reading ubuyu here in celebrity forum

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kikubwa upendo basi mtu akifanyia yake chumbani atajiju na kwa siri no problem at all.
Kabisa imekuwa kama kumpa uhuru wa kufanya kile anachojisikia, cha muhimu yupo smart enough kuendesha maisha yake kwa kuwasaidia na wengine.

Sometimes personal life ya mtu hasa mtu mzima kama haikuathiri chochote maishani ni ya kumuachia mwenyewe hawa kina James delicious ndio wa kudeal nao kwa mambo yao ya kupost na kuharibu maadili kwa kuipigia promo hii kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom