Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Kweli kabisa, tukawachukue M23 waje huku waiondoe CCM.Sisi tunakwama CCM.
HhhhhJaribu ufike Geita, mji halisi wa madini hapa Tanzania, kama iliyo Mwadui tangu zamani, Geita ni kijiji kikubwa cha ujamaa chenye utajiri na matajiri sampuli ya Msukuma. π
Mji wa pesa huo, Madini kama yoteMuonekano wa jiji la Goma huko DRC ni wa kuvutia sana hauwezi linganisha na majiji tuliyonayo hapa Tanzania. Sisi Watanzania tunakwama wapi? Mbona miji yetu haivutii, michafu haina mpangilio...shida yetu ni nini?
Tukumbuke eneo ulipo mji wa Goma unakumbwa na vita mara kwa mara na Serikali ya DRC ni kama haina mamlaka huko.
View attachment 3219681View attachment 3219682View attachment 3219683View attachment 3219684
View: https://x.com/AfricaFirsts/status/1885233902480232544?t=eqlRBLcF4Sj7hEKw9qEiXA&s=19
Leta ya Shinyanga
Kwani hicho 'nini' Tz hakuna mji wenye nacho?
Here shida is Ponda mali kufa kwaja
Mji wa Goma unaokaliwa sana na Watutsi wenye Akili kamwe hauwezi kufanana na Miji mingine yenye Majuha kila eneo.Muonekano wa jiji la Goma huko DRC ni wa kuvutia sana hauwezi linganisha na majiji tuliyonayo hapa Tanzania. Sisi Watanzania tunakwama wapi? Mbona miji yetu haivutii, michafu haina mpangilio...shida yetu ni nini?
Tukumbuke eneo ulipo mji wa Goma unakumbwa na vita mara kwa mara na Serikali ya DRC ni kama haina mamlaka huko.
View attachment 3219681View attachment 3219682View attachment 3219683View attachment 3219684
View: https://x.com/AfricaFirsts/status/1885233902480232544?t=eqlRBLcF4Sj7hEKw9qEiXA&s=19
we hujatembea Tanzania. hata dodoma tu nzuri kuliko hako kamji.Muonekano wa jiji la Goma huko DRC ni wa kuvutia sana hauwezi linganisha na majiji tuliyonayo hapa Tanzania. Sisi Watanzania tunakwama wapi? Mbona miji yetu haivutii, michafu haina mpangilio...shida yetu ni nini?
Tukumbuke eneo ulipo mji wa Goma unakumbwa na vita mara kwa mara na Serikali ya DRC ni kama haina mamlaka huko.
View attachment 3219681View attachment 3219682View attachment 3219683View attachment 3219684
View: https://x.com/AfricaFirsts/status/1885233902480232544?t=eqlRBLcF4Sj7hEKw9qEiXA&s=19
Anza kijiongeza wewe....Unatokana na madin ,ona sasa shinyanga ilivyochoka πππ ndio tz mjiongeze mijitu inafaidi na familia zao
Hujui kitu wewe.... Jaribu kufuatilia historia angalau kidogo kuhusu msitu wa congo ujue nani anafaidi na anafaidi nini na nini..... Hapo Bado madini.... TATIZO KUNA MAMBO HUJUI KWA HIYO TAFUTA KWANZA .....Kwani hicho 'nini' Tz hakuna mji wenye nacho?
Here shida is Ponda mali kufa kwaja
Wawedja kulumba.Nahenee
Mimi nilikimbia nchi kitambo nipo singaporeπππππAnza kijiongeza wewe....
Huoni ulivyo mdhaifu......Mimi nilikimbia nchi kitambo nipo singaporeπππππ