Motivational speaker....huyu mtu anaongea na kuhamasisha watu kuwa vitu vinawezekana,you can do anything,you can be who you want to be. Sasa kuna ubaya gani kuwa motivational speaker? Jamii yetu imejaa negativity chochote ukisema mtu anatafuta flaws ndio roho yake inaridhika!Na mjuaji😊
10 kiongoz....si kaz ndogoUshafikisha magoli mangapi?
Mimi naishi na neno moja tu..kila kitu kinawezekana ukitia NIA!... na ukikaa n watu aina hizo hupigi hatua....full kukatishana tamaaMotivational speaker....huyu mtu anaongea na kuhamasisha watu kuwa vitu vinawezekana,you can do anything,you can be who you want to be. Sasa kuna ubaya gani kuwa motivational speaker? Jamii yetu imejaa negativity chochote ukisema mtu anatafuta flaws ndio roho yake inaridhika!
Na hapo umeajiriwa? Basi una usimamizi mzuri sana...hongera! Mie pia ni muumini wa kuwa na side huslte aisee..! Ila 10 dah🙌10 kiongoz....si kaz ndogo
Kwa dar sauna itakula kwangu..wanahisig joto la dar ni sauna tosha.hahahaMwaka 2018 niliwah fikiria sana kuweka sauna Geita...nikaanza tafuta na eneo kbs ...aisee..ghafla kuna mwana akafungua sauna ..uwii watu wanapanga foleni.. kwa only 10000/=
Hapa moro imefunguliwa sauna moja ni 30000/= for 30min..na tunapanga foleni!...
Sasa ukifungua na saloon weka na kisauna[emoji39]! Napenda sauna mwili unarelax sana
Sema sauna ni za kundi fulani...si kila mtu atataka !Kwa dar sauna itakula kwangu..wanahisig joto la dar ni sauna tosha.hahaha
Kule mtaa wa nyuma..niliwai kwenda ichukua pisi kali pale nikastaajabu.wanawake buana..unakuta katoka bunju anaenda pale kurembwaNendeni Mwenge Jose Salon mkaone watu wanavyopiga pesa ndefu kwa vitu ambavyo watu wanavidharau. Ukisimulia humu utaambiaa motivational speaker!
Yes..na ni magoli ya mitaj midogo midogoNa hapo umeajiriwa? Basi una usimamizi mzuri sana...hongera! Mie pia ni muumini wa kuwa na side huslte aisee..! Ila 10 dah[emoji119]
Pa1 kiongoz.Hongera keep it up.
Nia, kujituma, uaminifu, kujichanganya na kuheshimu watu ukiviheshimu hivi vitu lazima upige hatua Fulani katika maisha.Mimi naishi na neno moja tu..kila kitu kinawezekana ukitia NIA!... na ukikaa n watu aina hizo hupigi hatua....full kukatishana tamaa
Hizi theory za kwenye makaratasi tu bhana weye.....Sometimes unaweza kujiona Una akili sana kumbe bure kabisa. Hivi hujakutana mtu ana iPhone ya 2m halafu analia Hana mtaji?
Btw hio iPhone nimeweka kuchangamsha uzi tu na nilijua wapo wenye akili kama nyinyi mtaacha kila kitu mta stick kwenye iPhone tu.
Kuna sku1 nilikua namskiliza nay wamitego..alikua anasema...mim stegemei tena mzik...mim nna bodaboda 20...nna vibanda vya tigo pesa 10..nkasema heee...Mimi naishi na neno moja tu..kila kitu kinawezekana ukitia NIA!... na ukikaa n watu aina hizo hupigi hatua....full kukatishana tamaa
Unakodisha mara moja zikirudi nyingi ni vipandevipande, inahasara nyingi tuLeo nimeenda kukodisha mbao. Yule jamaa nimemuachia 30,000/- kwa mbao 20! Jamaa ana mbao nyingi tu Kwa ajili ya kukodisha. Nimefikiria unaweza kuanza hii biashara hata Kwa mtaji usiozidi bei ya iPhone moja latest. Imagine huyu mtu akipata wateja wawili tu kama mimi anatengeneza 60,000/- haina kodi wala nini maanake mbao ziko uwani kwake. Vijana amkeni fursa zipo zinasubiri uthubutu.
Na bado fine yake mbao ukiikata au kuvunja unarudisha mpyaLeo nimeenda kukodisha mbao. Yule jamaa nimemuachia 30,000/- kwa mbao 20! Jamaa ana mbao nyingi tu Kwa ajili ya kukodisha. Nimefikiria unaweza kuanza hii biashara hata Kwa mtaji usiozidi bei ya iPhone moja latest. Imagine huyu mtu akipata wateja wawili tu kama mimi anatengeneza 60,000/- haina kodi wala nini maanake mbao ziko uwani kwake. Vijana amkeni fursa zipo zinasubiri uthubutu.
Mnakumbuka shuka kumekucha?Watu wa hardware wanapiga sana pesa kwenye hii biashara na ukipasua mbao yake unailipa..!!!
Kumiminia zege au jukwaa au nguzo zile za baraza za marembo maremboMbao za kukodi
unazitumia kufanya nini