Mjini Mipango: Unaweza kuanza hii biashara hata kwa mtaji usiozidi bei ya iPhone moja latest

Mjini Mipango: Unaweza kuanza hii biashara hata kwa mtaji usiozidi bei ya iPhone moja latest

Mtoa mada 40+ age So imemchukua miaka 40+ yeye kukodi mbao.

Mathematically:
kwa mteja kukodi inachukua muda wa miaka 40 utakuja muona tena baada ya miaka 40+
What if mteja huyo anajenga zaidi ya mara moja? Wateja wangapi wanajenga? Kwa hesabu hizo watu wasingeuza au kukodisha magari maanake umri wa wengi kumiliki magari ni 20+ yes. Biashara hii inahitaji uwe sehemu zenye miji mipya ambako kuna ujenzi mwingi.
 
Mbao za kukodi+milunda kwa juma kojogo ye alipewa na bosi wake baada ya kumlindia site+mchanga wa kuvua mto mbezi na sio wa kuchimba mbagara+kokoto tanganyika pacers kwenye zile nguzo tunavunja+cement mifuko thelathini ila mitano fundi said chaurembo kaipiga = 😭😭
 
Bei ya iPhone alaf ukizitoa mbao leo zinarud baada ya siku 3 huku umepewa 30,000 na zikirud unaweza ukakaa had wik mbili hakuna aliekuja kukodi si ninaweza kufa njaa bro maana mtaji nilio nao ni huohuo
 
Ulivyo kodi nyengine zilibaki
Kuna kazi haihitaji kununua mbao ambazo baadae hutazitumia tena. Mfano kuweka beam ya zege. Kukodisha unaweza kutumia 30,000 wakati kununua ni kama 200,000 hivi.
 
Kuna kazi haihitaji kununua mbao ambazo baadae hutazitumia tena. Mfano kuweka beam ya zege. Kukodisha unaweza kutumia 30,000 wakati kununua ni kama 200,000 hivi.
Mmhh lakini mbona mfano wa zile za lenta ni kama zina maisha mafupi sana

Matumizi ya mara moja au mbili hivi, pana uwezekano hela ikarudi?
 
Mmhh lakini mbona mfano wa zile za lenta ni kama zina maisha mafupi sana

Matumizi ya mara moja au mbili hivi, pana uwezekano hela ikarudi?
Kila nyumba inayojengwa inapitia hatua hio. Zinakaa sana zile na ukiiharibu/ukiikata/ukiivunja unalipa mpya.
 
Back
Top Bottom