Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nayo ni bei ya Iphone 6Na kuna wale ana kisima halafu anaunganisha watu maji na mabomba..
Kila mwezi mnalimpa ..nyumba 5 mnampa karibu 100k ..
Hizi ndo pesa Inaingia huku umelala
What if mteja huyo anajenga zaidi ya mara moja? Wateja wangapi wanajenga? Kwa hesabu hizo watu wasingeuza au kukodisha magari maanake umri wa wengi kumiliki magari ni 20+ yes. Biashara hii inahitaji uwe sehemu zenye miji mipya ambako kuna ujenzi mwingi.Mtoa mada 40+ age So imemchukua miaka 40+ yeye kukodi mbao.
Mathematically:
kwa mteja kukodi inachukua muda wa miaka 40 utakuja muona tena baada ya miaka 40+
Unajengea vipi mbao za kukodi?Ujenzi
Biashara hii inafaa maeneo ya miji mipya ambako kuna shughuli nyingi za ujenzi.Bei ya iPhone alaf ukizitoa mbao leo zinarud baada ya siku 3 huku umepewa 30,000 na zikirud unaweza ukakaa had wik mbili hakuna aliekuja kukodi si ninaweza kufa njaa bro maana mtaji nilio nao ni huohuo
Kufunga lenta au kutengeneza jiko kutengeneza canop unaweza kukodiUnajengea vipi mbao za kukodi?
Kuna kazi haihitaji kununua mbao ambazo baadae hutazitumia tena. Mfano kuweka beam ya zege. Kukodisha unaweza kutumia 30,000 wakati kununua ni kama 200,000 hivi.
Kufungia lentsMbao za kukodi
unazitumia kufanya nini
Sasa naelewaKwa ajili ya kumimina lenta chief..
Mmhh lakini mbona mfano wa zile za lenta ni kama zina maisha mafupi sanaKuna kazi haihitaji kununua mbao ambazo baadae hutazitumia tena. Mfano kuweka beam ya zege. Kukodisha unaweza kutumia 30,000 wakati kununua ni kama 200,000 hivi.
Kila nyumba inayojengwa inapitia hatua hio. Zinakaa sana zile na ukiiharibu/ukiikata/ukiivunja unalipa mpya.Mmhh lakini mbona mfano wa zile za lenta ni kama zina maisha mafupi sana
Matumizi ya mara moja au mbili hivi, pana uwezekano hela ikarudi?
Mkuu unachosema ni sahihi mno! WATANZANIA NI WAVIVUIla wabongo sijui kwann tunapenda kuwaona wengine wavivu
Hata mtaji sio ishu...ni NIA!Mtaan ukipasoma vzur kuna fursa kibao sana,tatzo n mtaji tu.