Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba haipo hiyo biashara au boss baba!?Jamii forums bhana,
Kuna sehemu zingine maji ya Dawasco hayajafikaDawasco wakikugundua watakuacha salama?? Mana dzain kama unawakimbizia wateja hv
Watajulia wapi hayo ivi vitoto vya JF,Kwamba haipo hiyo biashara au boss baba!?
Hahahahaa....watajulia wapi hayo ivi vitoto vya JF,
Aisee!Umeongea kama unamwaga maji mkuu
Kwenye kumwaga ring beam mara nyingiMbao za kukodi
unazitumia kufanya nini
Hii biashara ya mbao ngumu sana, utaishia kugombana na wateja kila siku, mafundi hukata mbao na kumwachia mwenye saiti msala.Watu wa hardware wanapiga sana pesa kwenye hii biashara na ukipasua mbao yake unailipa..!!!
Ni hivi kuna hatua ya ujenzi(beam ya zege) inahitaji mbao ili kutengeneza shape ya hio beam sasa mbao hizi unaweza kujikuta unatumia hata 200,000 kununua na ukimaliza kazi hii hutazihitaji sasa badala ya kununua unazikodi kwa hela ndogo kama 30,000 tu. Inapunguza gharama za ujenzi.Mkuu ongeza nyama kidogo.
Mkuu biashara hiyo ina changamoto mno.Wanakula kiulaini sana
Kuhusu kuchakaa mapema sidhani na kuzikata unalipa ndio makubaliano.Hii biashara ya mbao ngumu sana, utaishia kugombana na wateja kila siku, mafundi hukata mbao na kumwachia mwenye saiti msala.
Pili mbao huchakaa mapema usipokuwa makini huwezi kurudisha mtaji
Huenda na wengine hawajui hata beam ni nn..ungeeleza zaidi pia🙂Ni hivi kuna hatua ya ujenzi(beam ya zege) inahitaji mbao ili kutengeneza shape ya hio beam sasa mbao hizi unaweza kujikuta unatumia hata 200,000 kununua na ukimaliza kazi hii hutazihitaji sasa badala ya kununua unazikodi kwa hela ndogo kama 30,000 tu. Inapunguza gharama za ujenzi.
sasa zikivunjika km 6 hivi au cement iking'ang'ania huoni ni bora ungenunua zako, maana ni lazima tena utakaa nazo miezi 6 mpaka ghorofa hilo likauke la sivyo Mhandisi hatakubaliUjenzi
Pesa iingieje huku umelala wakt unaona mipango hapo boss?Na kuna wale ana kisima halafu anaunganisha watu maji na mabomba..
Kila mwezi mnalimpa ..nyumba 5 mnampa karibu 100k ..
Hizi ndo pesa Inaingia huku umelala
Mbao za kukodi
unazitumia kufanya nini
Unapima risk wewe mwenyewe. Kwangu ni nafuu kukodi. Kuvunjika sio rahisi sema fundi azikate na mara nyingi mafundi wanajua masharti ya mbao za kukodi.sasa zikivunjika km 6 hivi au cement iking'ang'ania huoni ni bora ungenunua zako, maana ni lazima tena utakaa nazo miezi 6 mpaka ghorofa hilo likauke la sivyo Mhandisi hatakubali
na 30,000 ni kwa siku moja au mpaka umalize ujenzi
Kumbe hakutuwekea SandFireHii biashara ya mbao ngumu sana, utaishia kugombana na wateja kila siku, mafundi hukata mbao na kumwachia mwenye saiti msala.
Pili mbao huchakaa mapema usipokuwa makini huwezi kurudisha mtaji
Kuna kazi haihitaji kununua mbao ambazo baadae hutazitumia tena. Mfano kuweka beam ya zege. Kukodisha unaweza kutumia 30,000 wakati kununua ni kama 200,000 hivi.