Mjini Mipango: Unaweza kuanza hii biashara hata kwa mtaji usiozidi bei ya iPhone moja latest

Mjini Mipango: Unaweza kuanza hii biashara hata kwa mtaji usiozidi bei ya iPhone moja latest

Nitoe ushuhuda wangu,

Hii kazi ya kukodisha vifaa vya ujenzi Eg, mbao za lenta, mirunda, fox, nguzo za chuma, majukwaa nk. Ni nzuri kwakuwa nami naifanya japo changamoto zipo ndogo ndogo
Eg, mbao kukatwa na mafundi, mteja kuchelewa kurudisha vifaa kama mlivyo kubaliana nk.

Hata hivyo pamoja na changamoto hizo bado inalipa. Binafsi nina miaka3 tangu nianzishe biashara hii, nakumbuka nilianza na mbao20 ila kwa sasa zimefika mbao 600 na nimefungua branch office

Lakini sikuishia hapo nilianzisha na biashara ya kuuza vifaa vya ujenzi kwakuwa ni biashara zinazoendana.

Kwa sasa namshukuru Mungu kile kilio cha ajira kwangu kimeisha kwa sasa naagalia namna gani ya kutanua biashara yangu

Haikuwa rahisi kiivyo kupiga hatua but kujituma na kuwa na nidhamu ya pesa ndio mambo muhimu.

Vijana wenzangu tupambanie ndoto zetu coz wazee wameishamaliza majukumu yao kutuleta duniani. Asanteni wote
 
Ni hivi kuna hatua ya ujenzi(beam ya zege) inahitaji mbao ili kutengeneza shape ya hio beam sasa mbao hizi unaweza kujikuta unatumia hata 200,000 kununua na ukimaliza kazi hii hutazihitaji sasa badala ya kununua unazikodi kwa hela ndogo kama 30,000 tu. Inapunguza gharama za ujenzi.
Je kama ntaziitaji nizitumie kama kuni baadae..!?
 
Nitoe ushuhuda wangu,

Hii kazi ya kukodisha vifaa vya ujenzi Eg, mbao za lenta, mirunda, fox, nguzo za chuma, majukwaa nk. Ni nzuri kwakuwa nami naifanya japo changamoto zipo ndogo ndogo
Eg, mbao kukatwa na mafundi, mteja kuchelewa kurudisha vifaa kama mlivyo kubaliana nk.

Hata hivyo pamoja na changamoto hizo bado inalipa. Binafsi nina miaka3 tangu nianzishe biashara hii, nakumbuka nilianza na mbao20 ila kwa sasa zimefika mbao 600 na nimefungua branch office

Lakini sikuishia hapo nilianzisha na biashara ya kuuza vifaa vya ujenzi kwakuwa ni biashara zinazoendana.

Kwa sasa namshukuru Mungu kile kilio cha ajira kwangu kimeisha kwa sasa naagalia namna gani ya kutanua biashara yangu

Haikuwa rahisi kiivyo kupiga hatua but kujituma na kuwa na nidhamu ya pesa ndio mambo muhimu.

Vijana wenzangu tupambanie ndoto zetu coz wazee wameishamaliza majukumu yao kutuleta duniani. Asanteni wote
Thank you very much Sir.
Moderator Paw naomba mpandishe hii comment kwenye uzi pale mwanzo. Hii imebeba vile ambavyo sikuweza kuelezea.
 
sasa zikivunjika km 6 hivi au cement iking'ang'ania huoni ni bora ungenunua zako, maana ni lazima tena utakaa nazo miezi 6 mpaka ghorofa hilo likauke la sivyo Mhandisi hatakubali
na 30,000 ni kwa siku moja au mpaka umalize ujenzi
Kwenye ghorofa umekwenda mbali mno,kama una uwezo wa ghorofa huwezi kukodi mbao.hizo za kukodi mara nyingi huwa kwa kazi ya lenta,au kufunika shimo la maji taka,ni zile kazi ambazo leo umekodi ..fundi seremala anafunga leo na kumwaga zege..kesho zege unaiacha itulie,keshokuwa unafungua mbao unarudisha kwa mwenyewe.
Simple like that..
 
Je kama ntaziitaji nizitumie kama kuni baadae..!?
Huna sababu ya kwenda kukodi , hapo kanunue zako tu hardware ukoke upate moto. Maana hizo za kukodi utalipishwa bei ya mbao mpya
 
Sio wote wana eneo la kuhifadhi hizo mbao. Wewe unaizungumzia tu hela ya iPhone inayonunua mbao lkn husemi kiwanja hicho ambacho jamaa kajenga na kaweka hizo mbao
Hadi mtu awe na hiyo iPhone aje afanye biashara ya kukodisha mbao😂😂 bongo bhana....
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mi Ndo maana fundi alinikimbia
Ulimkata vibao ama[emoji23][emoji23][emoji23]maana majamaa wanakera kwa kiwango cha juu

Unaweza kufika site unaona kabisa hapa nimepigwa
 
Fursa za aina hii hazionekani kirahisi na watu.

Mwaka wa pili sasa nakodisha tablets, voice recorders, gps devices kwa ajili ya wale wanaoenda mikoani kukusanya data.

Tablet 1 ananilipa 5000 kwa siku. Na huwa wanachukua minimum siku 10 na wanachukua arround tablets 10.

Kukiwa na survey hata 3 kwa mwezi sikosi 1M. Ukipoteza au ukiharibu unalipa mpya.

Hapo sijaongelea voice recorders na gps.
 
Basi fundi wangu aliniibia

Nikamwambia tuchukue za jamaa yangu akasema hazifai tununue mpya

Inawezekana alienda kuchukua kwa mtu wake tu zilizotumika, maana sikuziona kama mpya sana
Kuna wakati unatakiwa kusimama kama mwanaume.

Unapofanya maamuzi, fundi anatakiwa akae kimya na kutekeleza.

Wewe umemwambia akodi anataka kununua, nani bosi hapo? Kazi hake ni ufundi na sio kukuambia jinsi ya kutumia pesa zako.

Wewe ungeenda kukodi na kumletea hapo site na kumwambia afanye kazi iliyomleta hapo.
 
Fursa za aina hii hazionekani kirahisi na watu.

Mwaka wa pili sasa nakodisha tablets, voice recorders, gps devices kwa ajili ya wale wanaoenda mikoani kukusanya data.

Tablet 1 ananilipa 5000 kwa siku. Na huwa wanachukua minimum siku 10 na wanachukua arround tablets 10.

Kukiwa na survey hata 3 kwa mwezi sikosi 1M. Ukipoteza unalipa mpya.

Hapo sijaongelea voice recorders na gps.
Watu wanaweza kuona mtu yupo tu kumbe ana mazaga yake anayakodi kimya kimya.

Sasa hii ya mbao ni low capital kuna yale ma scaffolding ndio balaa.
 
Kiwanja cha nini?

Mimi nilipokodi ametengeneza kama kichanja
Mbao zinapangwa kwenda juu

Mbao moja 1000 ukikata au kupasua unalipa na kuna kipande kukata hakuepukiki
Mzee wangu ana duka lake la ujenzi.

Ana mbao na mirunda kama 200 anakodisha kwa watu.

Kuna wakati zinaisha zote na wengine wanasubiri kwenye foleni.

300 - 500k hakosi kwa mwezi kwa mbao tu.

Kuna zile mashine za kufyatulia tofali na za kuchanganyia mchanga na cement nazo anakodisha.

Yani haya mambo ya kukodisha yanampa hela za kienyeji sana kwa mwezi hakosi hata 500k kwa kukodisha vifaa tu.
 
Kuna wakati unatakiwa kusimama kama mwanaume.

Unapofanya maamuzi, fundi anatakiwa akae kimya na kutekeleza.

Wewe umemwambia akodi anataka kununua, nani bosi hapo? Kazi hake ni ufundi na sio kukuambia jinsi ya kutumia pesa zako.

Wewe ungeenda kukodi na kumletea hapo site na kumwambia afanye kazi iliyomleta hapo.
Naishi mbali kidogo na eneo husika, sasa hapo site kuna jamaa yangu pia amejenga akaniambia tuchukue kwake, ili kuokoa muda nikamtuma fundi akaziangalie kama zinafaa akasema hazifai kabisa
Na eti anajifanya fundi mwaminifu anasema hawezi kutumia mbao mbovu maana kazi zake yeye huwa hataki kuharibu
Basi nikawa sina namna ila kununua tu,

Hata hivyo umenipa somo, tunakoendelea bora ionekane nabishana na mtaalamu
 
Back
Top Bottom