Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 16,036
Sasa fund mwingne anakwambia ununue marine board zile halaf ukate..
Hapo wangekununulisha mbao za 1x10. Had ujute...unaweza shangaa umeokoa zaid ya milion.
Ingawa fund aliwai nambia wanapenda tumia marine sabab ni pana so zege halishuruziki nje na kuweka mafundo fundo..inakuaga mbaya kwenye kupiga plasta badae..
Il ni move ya kijanja sana kukodi...ndomana nasemaga..ukiwa na akil na stratergy unaweza jenga nyumba mtu akadhan ni ya mil70 kumbe ni mil50
Hapo wangekununulisha mbao za 1x10. Had ujute...unaweza shangaa umeokoa zaid ya milion.
Ingawa fund aliwai nambia wanapenda tumia marine sabab ni pana so zege halishuruziki nje na kuweka mafundo fundo..inakuaga mbaya kwenye kupiga plasta badae..
Il ni move ya kijanja sana kukodi...ndomana nasemaga..ukiwa na akil na stratergy unaweza jenga nyumba mtu akadhan ni ya mil70 kumbe ni mil50