Mjini Mipango: Unaweza kuanza hii biashara hata kwa mtaji usiozidi bei ya iPhone moja latest

Mjini Mipango: Unaweza kuanza hii biashara hata kwa mtaji usiozidi bei ya iPhone moja latest

Uko sahihi nkoi. Sio WaTZ tu, ni karibu Wafrika wote ni wavivu, hatupendi kazi, tuna visingizio sana na si waaminifu. Nimeona hii kwa nchi kadhaa za Afirka nilizofika.

Ukienda nchi zilizoendelea ndio utajua sisi ni wavivu na hakuna wakati tutawafikia wenzetu. Hata tubadilishane wahamie Afrika, twende kwao, baada ya miaka michache watatupita tena.

Hii jamii yetu ya wavivu wengi pia inakwamisha wachache wenye bidii. Unaajiri vijana, wanakusumbua hadi uwasimamie hasa. Na ukiwasimamia wanakimbia. Huwezi fungua biashara ukasafiri au ukashinda kwenye majukumu mengine inakufa.

Ndio maana matajiri wengi Afrika wenye makampuni makubwa wasimamizi wao wa kazi ni Wazungu au wa-Asia. Tazama Mo, Bakhresa, Mengi, Dangote, Patel na hata makampuni mengi yanayokuwa.
Ukweli mchungu.
 
Fursa zipo nyingi, inategemea unaishi mazingira gani.

Mfano;
1. Nunua mashine za kuchanyanya zege, 80,000 per day.
2. Mashine ya kushindilia, 60,000 per day.
3. Turubai/turubali, 50,000 per day.
4. Compressor, 30,000 per day.
5. Drilling machine, 10,000 per day
6. Welding machine, 10,000 per day
7. Grinding machine, 10,000 per day.

Mafundi hawana hela ya kununua mashine lakini kutoa per day wanayo[emoji39]
 
Nani kasema zinarudi bila matundu? Masharti ni kuwa usiikate mbao yake sasa bila kupiga misumari utajengaje?
Watu wagumu kuelewa, usikate mbao ndio makubaliano. Huwa lazima ununue kidogo kwa ajili ya kukata coz kuna spaces zitajitaji mbao fupi.
 
Fursa zipo nyingi, inategemea unaishi mazingira gani.

Mfano;
1. Nunua mashine za kuchanyanya zege, 80,000 per day.
2. Mashine ya kushindilia, 60,000 per day.
3. Turubai/turubali, 50,000 per day.
4. Compressor, 30,000 per day.
5. Drilling machine, 10,000 per day
6. Welding machine, 10,000 per day
7. Grinding machine, 10,000 per day.

Mafundi hawana hela ya kununua mashine lakini kutoa per day wanayo[emoji39]
Mjini shule
 
Fursa zipo nyingi, inategemea unaishi mazingira gani.

Mfano;
1. Nunua mashine za kuchanyanya zege, 80,000 per day.
2. Mashine ya kushindilia, 60,000 per day.
3. Turubai/turubali, 50,000 per day.
4. Compressor, 30,000 per day.
5. Drilling machine, 10,000 per day
6. Welding machine, 10,000 per day
7. Grinding machine, 10,000 per day.

Mafundi hawana hela ya kununua mashine lakini kutoa per day wanayo[emoji39]
Halafu anaweza kuwa anatumia mara moja moja sana
 
Uko sahihi nkoi. Sio WaTZ tu, ni karibu Wafrika wote ni wavivu, hatupendi kazi, tuna visingizio sana na si waaminifu. Nimeona hii kwa nchi kadhaa za Afrika nilizofika.

Ukienda nchi zilizoendelea ndio utajua sisi ni wavivu na hakuna wakati tutawafikia wenzetu. Hata tubadilishane wahamie Afrika, twende kwao, baada ya miaka michache watatupita tena.

Hii jamii yetu ya wavivu wengi pia inakwamisha wachache wenye bidii. Unaajiri vijana, wanakusumbua hadi uwasimamie hasa. Na ukiwasimamia wanakimbia. Huwezi fungua biashara ukasafiri au ukashinda kwenye majukumu mengine inakufa.

Ndio maana matajiri wengi Afrika wenye makampuni makubwa wasimamizi wao wa kazi ni Wazungu au wa-Asia. Tazama Mo, Bakhresa, Mengi, Dangote, Patel na hata makampuni mengi yanayokuwa.


Hivi shida ni nini hasa best? Au umaskini?...dah
 
Fursa zipo nyingi, inategemea unaishi mazingira gani.

Mfano;
1. Nunua mashine za kuchanyanya zege, 80,000 per day.
2. Mashine ya kushindilia, 60,000 per day.
3. Turubai/turubali, 50,000 per day.
4. Compressor, 30,000 per day.
5. Drilling machine, 10,000 per day
6. Welding machine, 10,000 per day
7. Grinding machine, 10,000 per day.

Mafundi hawana hela ya kununua mashine lakini kutoa per day wanayo[emoji39]
Mmataifa uliadimika sana why?
 
Nani kasema zinarudi bila matundu? Masharti ni kuwa usiikate mbao yake sasa bila kupiga misumari utajengaje?
Sasa unaandika huku unakimbia utadhani umemuona sabaya anakupelekea moto

Thread haina nyama maswali kama haya lazima yajitokeze
 
Fursa zipo nyingi, inategemea unaishi mazingira gani.

Mfano;
1. Nunua mashine za kuchanyanya zege, 80,000 per day.
2. Mashine ya kushindilia, 60,000 per day.
3. Turubai/turubali, 50,000 per day.
4. Compressor, 30,000 per day.
5. Drilling machine, 10,000 per day
6. Welding machine, 10,000 per day
7. Grinding machine, 10,000 per day.

Mafundi hawana hela ya kununua mashine lakini kutoa per day wanayo[emoji39]
Hiyo #4 safi sana kuna watu mpaka leo inawapa hela ya kula na kuishi+ za bia

Ova
 
Back
Top Bottom