Mjini Mipango: Unaweza kuanza hii biashara hata kwa mtaji usiozidi bei ya iPhone moja latest

Mjini Mipango: Unaweza kuanza hii biashara hata kwa mtaji usiozidi bei ya iPhone moja latest

Ukiwa open minded unaona fursa nyingi sana.

Na fursa nyingine unaziona kutokana na shughuli unazozifanya, eneo unaloishi na vile unavyotoka kukutana na watu.

Niliambiwa kuna watu wanakodisha viatu hadi nguo kwa siku.

Hahahahahahaaa!! Hii ya nguo na viatu nimeiona uganda kwenye kiwanda cha mukwano. Nje ya geti kuna frem kabisa wanafanya iyo bznes izo ni kwjili y kuingilia kiwandan tu. Ukitoka unarejesha kwao. Pia nikaja bongo pale Dangote napo ivyo ivyo na twiga cement. Jamaa wanapiga pesa tu
 
Hahahahahahaaa!! Hii ya nguo na viatu nimeiona uganda kwenye kiwanda cha mukwano. Nje ya geti kuna frem kabisa wanafanya iyo bznes izo ni kwjili y kuingilia kiwandan tu. Ukitoka unarejesha kwao. Pia nikaja bongo pale Dangote napo ivyo ivyo na twiga cement. Jamaa wanapiga pesa tu

Vijana wanashangaa!
 
Hahahahahahaaa!! Hii ya nguo na viatu nimeiona uganda kwenye kiwanda cha mukwano. Nje ya geti kuna frem kabisa wanafanya iyo bznes izo ni kwjili y kuingilia kiwandan tu. Ukitoka unarejesha kwao. Pia nikaja bongo pale Dangote napo ivyo ivyo na twiga cement. Jamaa wanapiga pesa tu
Hapo kiwandani maanake huingia bila safety gears....Wageni lazima wakodi au usiingie.
 
Enhe, niligundua wadada wengi wauswaz wanavaa wigi Sana lakini zile ambazo ni cheap Sana na hazina quality, nikaanza na mawig 5 zile lace wig za kuanzia laki na nusu, nikaziweka saluni, kukodi 10000.

Kwa Sasa namawig 20, biashara sio mbaya ukizingatia saloon ipo uswazi kwa wanaopenda vigodoro silali njaa.

Great Idea [emoji7]
 
Mbao 20 kwa 30,000/- na hujasema unakaa nazo kwa muda gani [siku ngapi], ila unaona jamaa anapiga hela! Japo ni mchongo, ila umeikuza sana.

Unahesabia FAIDA tu, wala hujui changamoto zake!

Mbao moja MPYA inauzwa bei gani, inaweza kutumika mara ngapi?

Kwangua HAPA ushinde.
 
Mwaka 2018 niliwah fikiria sana kuweka sauna Geita...nikaanza tafuta na eneo kbs ...aisee..ghafla kuna mwana akafungua sauna ..uwii watu wanapanga foleni.. kwa only 10000/=
Hapa moro imefunguliwa sauna moja ni 30000/= for 30min..na tunapanga foleni!...
Sasa ukifungua na saloon weka na kisauna[emoji39]! Napenda sauna mwili unarelax sana

Sauna ni 'nyungu' iliyochangamka!🤏[emoji2535][emoji276]
 
Isanga family unaona huyu alichojibu? Na yuko sahihi mno kwa 100% nashangaa unasema watanzania ni wachapa kazi...hakuna kitu kama hicho!
Mmebaki kudharauliana Mkuu watu hawana connection na walio na connection wengi ndio went fursa mimi nimeona watu wanapiga kazi tena miaka hiyo kwa kukataa likizo ili wachange huku wakijua hali ya bongo haipo sawa kwenye familia zao...
 
Mbao 20 kwa 30,000/- na hujasema unakaa nazo kwa muda gani [siku ngapi], ila unaona jamaa anapiga hela! Japo ni mchongo, ila umeikuza sana.

Unahesabia FAIDA tu, wala hujui changamoto zake!

Mbao moja MPYA inauzwa bei gani, inaweza kutumika mara ngapi?

Kwangua HAPA ushinde.
Fanya utafiti wako. Maneno yangu sio sheria.
 
Shida ni kwamba vijana akisikia tu hii fursa hajiongezi zaidi ya hiyo fursa

kuna mtu atatoka kwenye hii thread na hela yake/mtaji kurupu anaenda nunua

mbao/marine board/sururu/nyundo kubwa,nk anaenda vitega mahali,kisha anakaa pembeni

anasubiri wateja wakukodisha vitu waje,halafu akikaa siku 3 mpk wiki hajaona mtu anaona kina rrondo.

walimuingiza chaka au atarudi hapa utamsikia 'biashara za mdomoni" nk nk,maneno mingiiiii kisa hajaona

matunda ya hii biashara,wakati ukweli ni kwamba hii ni biashara ya "kuongeza kipato" si biashara ya kutafutia kipato.

kama ni biashara ya kuongeza kipato maana yake hii sio biashara yakuitegemea eti uitolee macho jioni urudi na hela kiasi flani.

Biashara kama hii ni biashara unayotakiwa kuongeza kipato toka kwenye biashara yako nyingine unayoifanya,yawezekana ukawa ni mama ntilie,ukawa boda boda,ukawa machinga,nk biashara yyte ile utayokua unafanya.

kisha ukaamua sasa kujiongezea kipato kuptia hii biashara,ni Bonge moja la Backup Business ambayo hutoamini kama kuna watu wanavuta hela kiulaini namna hiii.

ONYO:

Hii ni biashara ya kuongeza kipato usije enda kopa hela huko ukasema unafungua biashara halafu plan zako ni hii biashara,utakuja umtukane rrondo matusi yote hutomuacha hata sehemu 1 maana utahisi hajakuingiza chaka bali utahisi kakuingiza Pori la amazon.

Kwa wenye biashara zenu halafu mmekaa na hela mnataka ongeza kipato,Go ahead with this naipa 95% ktk kudouble your income.
 
Ni hivi kuna hatua ya ujenzi(beam ya zege) inahitaji mbao ili kutengeneza shape ya hio beam sasa mbao hizi unaweza kujikuta unatumia hata 200,000 kununua na ukimaliza kazi hii hutazihitaji sasa badala ya kununua unazikodi kwa hela ndogo kama 30,000 tu. Inapunguza gharama za ujenzi.
Mfano hiyo 30,000 kwa mbao ngapi labda tuseme!
 
Back
Top Bottom