Mjomba anawachukia watoto wangu?

Nilizingatia sana mpaka nilipofikisha 31 ndipo nikamleta Mtanganyika mpya nikiwa na utulivu kiakili na kiuchumi.
Hawa vijana wanadhani kuleta mtoto duniani ni kama kuangua embe mtini.

Wanazaa hovyo hovyo tu, Halafu wanaanza kutia huruma na kusumbua watu kutaka ushauri na msaada.

Ngoja maisha yawatwange kisawasawa mpaka pale akili zitakapo funguka.
 
Pole mkuu! Hapo dawa ni kuondoka hapo nyumbani japo hujafafanua ni nyumbani kwa nani hadi mjomba naye awepo!

Usijefanya makosa ukahama wewe bila watoto na mke!
Kweli mkuu
Pole mkuu! Hapo dawa ni kuondoka hapo nyumbani japo hujafafanua ni nyumbani kwa nani hadi mjomba naye awepo!

Usijefanya makosa ukahama wewe bila watoto na mke!
Mkuu itakua yupo kwa shemeji yake ndiyo ila vijana tukioa mambo yakiwa magumu ukitaka kurudisha majeshi tunatakiwa turudishe majeshi kambini kwetu kwa Baba na Mama wao hawata Wachukia mke na wajukuu wao.
 
Ilikuwaje hadi ukawa mpumbavu kuhamia upande wa mama yako? HAPO SIO KWENU HAMA HARAKA SANA.
Mkuu Tamaduni zinatofautiana jamii na jamii kwa jamii za watu wa pwani wao kwa mfano wewe unaweza kwenda kuishi kwao mke wako yani ukweni mkaishi pamoja kama kwenu au kwako.
 
Huko sio kwenu man!!?

Hakuna urithi wako huko ndio Maana jamaa kakunja ndita!!!

Nenda kwa baba mwambie nimekuletea wajukuu halafu Ganda hapo hapo Hanna kuondoka!!

Pole sana man!
Kweli Mkuu uko siyo kwao mara mia pangekua kwa Kaka yake au mdo wake .
 
Nimeipenda hii
 
Watu msio mwamini mungu huwa mnadhani mambo yanafanikiwa kwa jitihada zenu tu basi

ila naamini kauli ya mwamba mmoja aliwahi sema wasio mwamini mungu iko shida pahala
 
Huyo mjamba wako anafuata nini kwenu,
Kati yako na yeye nani yupo kwao?
Kweli uandishi nao ni kipaji! Jamaa hata halijaeleza vizuri kama hapo linapoishi ni kwa wazazi wa lenyewe au linaishi kwa mjomba wake!
 
Kweli uandishi nao ni kilaji! Jamaa hata halijaeleza vizuri kama hapo linapoishi ni kwa wazazi wa lenyewe au linaisha kawa mjomba wake!
Ni kipaji kweli angalia na wewe ulivyoandika mwandiko wako
 
Ni upande wa ujombani mkuu kwao na mama
Na wewe huko umeenda kufanya nini? Huna upande wa baba yenu? Wasukuma na sisi tumezidi yaani mtu una mke na watoto unataka uendelee kuishi kwa bibi yako mpaka sasa hivi? Halafu na huyo uncle wako naye takataka tu, yaani na uzee wote huo bado anafugwa kwa mamake? Au dish limeyumba nini?
 
huyo mkeo hana kwao? aende kwao wewe endelea kujitafuta kawe muwazi kwao kwamba hali yako ya kuchum sio nzur akae hapo kwa usalama wake na watoto ukianza kujipata unachukua familia yako,hivi na mama ako mzaz anaishi hapohapo?
Kwamba?!?

Na bado mnapiga kelele hakuna family imara siku hizi!?

Huyo mwanamke hawezi kuwa na mumewe bega Kwa bega kuhakikisha jamaa anarejea katika shughuli za kiuchumi na kushirikiana nae kutengeneza Kwa ajili ya Watoto wao?

Hao Watoto Ndio wakupelekwa Kwa bibi yao/zao then baba na mama wapambane kuhakikisha wanarejesha family yao chini ya paa moja.

Family
Family
Family
 
Mungu akusaidie. Siku moja mjomba atamani kucheza na wanao
 
Unaishi kwa mjomba wako ama na mjomba nae anaeishi kwa mama yake, umerudisha mpira kwenye nyumba ya urithi ya mama yako.
 
Wew unamlaumu na kumchukia wakati wewe ndio umeyasababisha chanzo ni wewe huwezi laumu choo kinanuka wakati wewe ndie umekunya huko
 
Watu msio mwamini mungu huwa mnadhani mambo yanafanikiwa kwa jitihada zenu tu basi
Hata wewe umefanikiwa kwa juhudi zako wala si Mungu.

Kama Mungu ndio anakusaidia kufanikiwa, Acha kazi yako au biashara yako uone kama huyo Mungu atakuwa na uwezo wa kukusaidia yeye kama yeye.
ila naamini kauli ya mwamba mmoja aliwahi sema wasio mwamini mungu iko shida pahala
Kuamini unaweza kuamini hata uongo na wala hukatazwi kuamini hivyo.

Ila sihitaji kuamini uwepo wa huyo Mungu, Nahitaji kujua kwa uthibitisho na uhakika.
 
ina make sense
 
Mkuu Tamaduni zinatofautiana jamii na jamii kwa jamii za watu wa pwani wao kwa mfano wewe unaweza kwenda kuishi kwao mke wako yani ukweni mkaishi pamoja kama kwenu au kwako.
Huo ni utamaduni wa kishenzi sana.
 
Usukumani mama hana urithi kwao. Kwa ufupi huyo mwamba hapo alipo anafugwa kwa bibi yake maana hapo siyo kwao! Hapo ni kwenye makazi ya mjomba wake maana ndiye mrithi wa hapo!
Unaishi kwa mjomba wako ama na mjomba nae anaeishi kwa mama yake, umerudisha mpira kwenye nyumba ya urithi ya mama yako
 
Inategemea na mazingira mkuu! Huenda jamaa huko atakoenda itamlazimu kuishi mazingira yenye utata hasa kwa mwanamke! Mfano kwenye madini au kwenye zege ambapo anaweza kujikuta analala site kwenye mahema ambapo wanaume wamejaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…