Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁Acha uvivu tongoza
Haja gani unayoizungumzia mkuu 😁Bro ni pisi kali mkuu zenye kazi zao za maana na mvuto wa haja
Aaaaah huo ni uongoo BWANABro ni pisi kali mkuu zenye kazi zao za maana na mvuto wa haja
Me sipendi wa hivoBabu Mungu fundi watu wamejaaliwa
Mshamba huyu.Nunua Tax mkuu, code hapo ni usafiri.
Watu wanazeeka na Uzuri na Quality zao mzeeKwahiyo 45+yrs nao ni pisi kali, hayo ni matumizi mabaya ya neno pisi kali.
Ukishakuwa davoo automatically unakuwa umesubscribe kitufe cha kupita nao wengi.
Me sipendi wanhivoBabu Mungu fundi watu wamejaaliwa
Mweeeh 😔 😔 😔 😔 😔 Anza kazi ya udereva taxi mkuuHeri ya mwaka wanajf
Kwa wakazi wa Arusha tunajua vilivyo huu mji ulivyobarikiwa na pisi kali za kila aina hadi sio poa
Sasa tuingie kwenye mada Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu nina mjomba wangu mmoja yuko kwenye 50's+ lakini kwenye maisha yake wanawake hawajawahi kumpa shida yeyote kabisa yaani huyu jamaa ni kwa vile tu ni mtu wa Mungu na maombi kwa sana ila kama sio hivyo ungekuta amezini na wanawake wengi sana
Mjomba wangu huyu kaanza hii kazi kitambo sana kama miaka 15 nyuma huko ya tax driver lakini idadi ya wanawake wanaomtongoza ni hatari inaweza fika 200+ hadi wanafunzi 🤣 kwa miaka yote hiyo ya kazi na ushahidi ninao maana nimewahi kuonyeshwa kwenye simu yake na yeye mwenyewe kabisa ni hatari wakuu
Juzi kati kuna mmama mtu mzima tu wa 45+ kafunguka kwake tena ni pisi kali balaa mmama wa moto matako yako ya haja, sura ipo, yaani kaumbika wakuu
Sasa mimi nikionaga vile mi huwa inaniuma kichizi huyu jamaa hatumii nguvu yeyote ile hata hela hana za kutisha lakini wanawake wanampapatikia sana
Mimi huku hadi nipate mwanamke ni msala hapo nimesota balaa hata kwa hawa wabovu huwa inakuwaga ni kazi kwelikweli lakini yeye walaa simpo tu
Wakuu nipeni mbinu ya kuondoa huu wivu maana unanitesa balaa sijawahi kupata pisi kali hata wa kusingiziwa maisha yangu yote na uzee unaanza kubisha hodi
Kabla sijasahau ana muonekano wa kawaida tu kama wangu kwaiyo msije kusema ni handsome hamna haipo hivyo kabisa
Inauma 😔😔😔😔