Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba ukiwa na pesa wanajileta na hauwatongozi mkuu🤷🏿♂️Tafuta hela aisee, utawakimbia mwenyewe maana watakuja kwa mafungu na sio mmoja mmoja
Englishi ya kiwaki madafwaker mwenyewe 😂😂🥱Hio kawaida kijana ukifika umr flan mwnaume gia huchange wew ndio utakuwa waletewa kila kitu mezan wew jjenge vzur kiafya wanaume n wachache asee wew watongoza wasichana ndio mana ukifika umr ukawa mbaba bas wanawake huwa wanpapalikia san so jiweke fresh utatongozwa usjal au hutatumia nguvu san mana maish yao n kama maziwa yetu n kama whine the more we stay the more we become Sweet (attractive) wao n kama maziwa hu decrease mje mnikosea English sasa madafakaz nyie
Du embu simulia baba ilikuwaje hiyoMmmh! Tajiri wa mabasi ya kilimanjaro aliwahi kukimbiwa na demu bar pesa sio 100% suluhisho
Mwanaume ukitongozwa na mwanamke jua ni mtego aidha wa Magonjwa, roho chafu au kufilisiwa. Dhambi iliingia duniani kupitia mwanamke so watch out. Kutongozwa na mwanamke sio sifa nzuri you are the target to be killed physical or spiritual.Heri ya mwaka wanajf
Kwa wakazi wa Arusha tunajua vilivyo huu mji ulivyobarikiwa na pisi kali za kila aina hadi sio poa
Sasa tuingie kwenye mada Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu nina mjomba wangu mmoja yuko kwenye 50's+ lakini kwenye maisha yake wanawake hawajawahi kumpa shida yeyote kabisa yaani huyu jamaa ni kwa vile tu ni mtu wa Mungu na maombi kwa sana ila kama sio hivyo ungekuta amezini na wanawake wengi sana
Mjomba wangu huyu kaanza hii kazi kitambo sana kama miaka 15 nyuma huko ya tax driver lakini idadi ya wanawake wanaomtongoza ni hatari inaweza fika 200+ hadi wanafunzi 🤣 kwa miaka yote hiyo ya kazi na ushahidi ninao maana nimewahi kuonyeshwa kwenye simu yake na yeye mwenyewe kabisa ni hatari wakuu
Juzi kati kuna mmama mtu mzima tu wa 45+ kafunguka kwake tena ni pisi kali balaa mmama wa moto matako yako ya haja, sura ipo, yaani kaumbika wakuu
Sasa mimi nikionaga vile mi huwa inaniuma kichizi huyu jamaa hatumii nguvu yeyote ile hata hela hana za kutisha lakini wanawake wanampapatikia sana
Mimi huku hadi nipate mwanamke ni msala hapo nimesota balaa hata kwa hawa wabovu huwa inakuwaga ni kazi kwelikweli lakini yeye walaa simpo tu
Wakuu nipeni mbinu ya kuondoa huu wivu maana unanitesa balaa sijawahi kupata pisi kali hata wa kusingiziwa maisha yangu yote na uzee unaanza kubisha hodi
Kabla sijasahau ana muonekano wa kawaida tu kama wangu kwaiyo msije kusema ni handsome hamna haipo hivyo kabisa
Inauma 😔😔😔😔
Huyo tajiri ronald kutoka moshi alikuwa bar na washkaji zake jijini dar sasa ile kuchombeza chombeza wale ma bar maid kuna mmoja alimuambia "we mbaba vipi mbona sikuelewi" demu akasepa kumbuka jamaa ni well known na famous hata ndinga aliyokuja nayo ni kali ila demu alichomoaDu embu simulia baba ilikuwaje hiyo
Mkuu ukiwa dereva wanajitongozesha wenyeweDuuh hatari
We malaya hao wanaangaliaga attraction kweliHuyo tajiri ronald kutoka moshi alikuwa bar na washkaji zake jijini dar sasa ile kuchombeza chombeza wale ma bar maid kuna mmoja alimuambia "we mbaba vipi mbona sikuelewi" demu akasepa kumbuka jamaa ni well known na famous hata ndinga aliyokuja nayo ni kali ila demu alichomoa
Kuna kitu zaidi ya pesa kwenye attraction mkuu amini
Naam wanakuja kama woteKwamba ukiwa na pesa wanajileta na hauwatongozi mkuu🤷🏿♂️
Wewe una define Uzuri kivipi mzee?Ila sio pisi kali