Mjue Jini Mahaba: Fahamu mengi kuhusu jini mahaba

Mjue Jini Mahaba: Fahamu mengi kuhusu jini mahaba

Si uWeka wewe hizo habari za kweli unazozijua wewe kuliko kuja kubwabwaja hapa? Punguone wahead ww


Wenzako kwanza hutoa challenge na mtu anaposhindwa ndipo hutoa hayo matusi yako unayayatoa kutoka kwenye domo lako kubwa kama tundu la choo cha stendi ya mabasi, kila abiria akisikia haja huja kujisaidia humo. Swine mkubwa weee.

Nimekuambia nimeshindwa kupinga huo uongo wenu kwa hoja??, Hata bila hoja yoyote tayari zilisha jipinga zenyewe, eti jini linafanana na mtu???, umeona wapi??, unajua maana ya neno jinn??, (اجن).
 
Jins wapo dimension ya ngapi? Na wotewapo hapo au wengine ya juu zaid?
Je jins wana ustarabu mkubwa kuliko binadamu and thinking capacity?
Je spiritual wako complete au bado wanakasoro kubwa kama binadam?
Je kujificha kwao wanatuogopa ss bin adam au ss ndo hatuwaoni?
Sisi tunapazia tumefungiwa na mwenyzi Mungu ila kwa baadhi yetu aliyetupa elimu tunaweza kufungua na kuwaona sasa kuhusu dimension ile uliyopo wewe ndio na wao wapo hiyo hiyo pia wao na binaadamu ni hali moja wapo great thinker na wapo losers pia, different between us and them are only shapes and other small things but not that much
 
Nasema tena na tena, jinsi ulivyoelezea hiyo habari juu ya majinni, umetia chumvi kibao kiasi kwamba habari yote inakuwa ni uongo.

Na hizo picha ulizoweka ndiyo kabisaa zinashadidia uongo wako.
Asante kwa kuchangia na karibu kwenye thread zingine mkuu,
 
Wenzako kwanza hutoa challenge na mtu anaposhindwa ndipo hutoa hayo matusi yako unayayatoa kutoka kwenye domo lako kubwa kama tundu la choo cha stendi ya mabasi, kila abiria akisikia haja huja kujisaidia humo. Swine mkubwa weee.

Nimekuambia nimeshindwa kupinga huo uongo wenu kwa hoja??, Hata bila hoja yoyote tayari zilisha jipinga zenyewe, eti jini linafanana na mtu???, umeona wapi??, unajua maana ya neno jinn??, (اجن).
الجن مخلوقات غير مرئية لا يمكن رؤيتها بأعين طبيعية ، لكي تراها يجب أن يكون لديك المعرفة
you don't need to panic so that we can see your point mkuu, be cool son mbona humu utaeleweka tu cha mno wewe ni kuuliza pale ambapo huelewi kwani picha ndio zimekukera sana au kuna kingine! kama hujaelewa uliza na kama unahoja toa acha fujo
 
الجن مخلوقات غير مرئية لا يمكن رؤيتها بأعين طبيعية ، لكي تراها يجب أن يكون لديك المعرفة
you don't need to panic so that we can see your point mkuu, be cool son mbona humu utaeleweka tu cha mno wewe ni kuuliza pale ambapo huelewi kwani picha ndio zimekukera sana au kuna kingine! kama hujaelewa uliza na kama unahoja toa acha fujo


Mkuu, huyo mwenzako aliyenitusi kabla ya mimi kumjibu hukuona matusi yake au yeye hakustahili kupewa hizo nasaha unazonipa??--- yeye kaanza kunitusi na mimi nilikuwa najibu mapigo, juu ya yote mimi niko peace tu.

Tuje katika mada, umeandika maneno katika lugha ya kiarabu nadhani ni watu wachache sana humu ndani wanaojua lugha ya kiarabu na hata kama wapo sio fasaha sana katika lugha hiyo kama waiivyokuwa fasaha katika Kiswahili na kiingereza, hivyo ni vyema unapoona "raha" kuandika kwa kiarabu basi pembeni weka tafsiri yake kwa kiswahili ili wengi wetu tusiojua vyema kiarabu tupate kufahamu.

Tarjama ya maneno yako ya kiarabu ni kama ifuatavyo (nakubali kurekebishwa nitakapo kosea);-

" Majini ni viumbe, mbali na kujibadili, haiwezekani kuonekana kwa macho ya kawaida ili kuwaona lazima uwe na maarifa".


Katika hadithi fulani za mtukufu mtume Muhammad (saw, aliwakataza masahaba zake kutumia mifupa na vinyesi vikavu vya ngamia kuchambia na akasema mifupa na vinyesi hivyo ni vyakula vya majini, na pia akatufundisha tuingiapo vyooni tusome dua ili kujikinga na majini waliomo vyooni.

Elimu ya kisayansi inatuambia kwamba katika mifupa na vinyesi vya wanyama kuna bakteria kibao ambao kama utatumia hivyo vinyesi na mifupa kuchambia utakuwa na nafasi kubwa sana ya kupata maambukizi katika njia ya haja kubwa halikadhalika chooni kulingana na mazingira yake kuna aina mbalimbali za bakteria wa maradhi mfano, Chorela, dysentery, hepatitis, kisonono nk, (hasa vyoo vya umma).

Hivyo mtukufu mtume (saw), aliposema neno "jinn" alikuwa na maana ya wadudu wadogo wasioweza kuonekana kwa macho ya kawaida na hapa nakubaliana na maneno yako ya kiarabu, na ili uweze kuwaona ni lazima utumie nyenzo maalumu kama darubini (microscope) au kwa maneno mengine uwe na maarifa (معرفة) kama ulivyosema.

Sifa kuu ya jinn ni kutokuonekana kirahisi kwa macho ya kawaida na mzizi wa neno "jinn" ni neno "janna" ambalo maana yake ni kutokuonekana, hivyo basi katika lugha ya kiarabu, kitu chochote au tukio lolote lenye sifa ya kutokuonekana kirahisi linawezwa kwa ki-SIFA likaitwa kwa jina la "jinn", na hii ipo karibu katika lugha zote hata katika kiswahili mtu shujaa anaweza kuitwa "Simba" kwa sababu tu ya ushujaa wake.

Kwa muktadha huo ki-sifa , jinn anaweza kuwa mtu mkubwa, kiongozi, tajiri, mtu mashuhuri nk--- ambao kwa hizo sifa zao kuonekana kwao mbele za watu huwa ni kwa nadra sana na inapotokea akaonekana basi lazima kuwae na jambo muhimu, na hapa ndipo Allah katika Qur'an aliposema; "Sikuwaumba majini na watu isipokuwa watuabudu"-- Majini waliotajwa hapa ni viongozi, watu mashuhuri, matajiri nk, ambao kwa umashuhuri na utajiri na uongozi wao wanaweza kujawa na kiburi kujiona kwamba wao hawastahili kufanya ibada, Watu katika aya hiyo ni watu wa kawaida wasiokuwa na utajiri, umashuhuri, uongozi nk ambao nao kulingana na hali zao za kimaisha wanaweza kusema ibada haiwahusu ila inawahusu hao waheshimiwa wakubwa (majini), ndipo Allah akakata mzuzi wa fitna akasema wote lazima tumuabudu hakuna adhuru.

Allah katika Qur'an anasema "Na majinni tumewaumba mwanzo kwa mwale wa moto," (sikumbuki aya). sayansi ambayo ni elimu kutoka kwa huyohuyo Allah inasema kwamba viumbe wa mwanzo kabisa kuumbwa walikuwa ni bakteria ainavya (Eukaryotes na prykaryotes. Check spelling) ambao waliumbwa kutokana na nuru ya radi (lightining sparks).

Qur'an katika Surah jinn, Majinn waliposikia Qur'an ikisomwa walisema, "hakika tumesikia Qur'an ya ajabu inayoongoza kwenye uongofu"(sikumbuki aya) na tena wakasema; "hakika tumesikia kitabu kilichoteremshwa baada ya Musa"(sikumbuki aya), na baadaye mtume (saw) alikuwa akifanya maombi na hao majinn "wakamzonga/ wakamzingira" (sikumbuki aya). Majinn waliotajwa katika hiyo sura ni watu wageni wasiokuwa waarabu, katika lugha ya kiarabu neno "jinn" linaruhusiwa kutumika kwa mgeni/wageni kwa sababu mgeni anaonekana kipindi tu anapokuwa na wenyeji lakini yeye sio mtu wa hapo na hivyo kuonekana kwake ni kama kuonekana kwa "jinn" na hii ni katika matumizi yale yale ya Ki- sifa ya neno jinn--, na hao wageni walikuwa ni mayahudi kutoka Nasibin, ndiyo maana wakasema; "innaa sami'i'naa kitaaba unzila min baa'd Musa" (Hakika tumesikia kitabu kilichoteremshwa baada ya Musa).


Ugonjwa unaowashika kina mama na akina dada, (Hysteria), kama nilivyosema hapo awali kuwa neno "jinn" linaweza kutumika hata kwa jambo lenye sababu isiyoonekana bali athari inayoonekana (unseen cause but seen effects). Akina mama maranyingi husumbuliwa na ugonjwa wa akili ambao watu wengi huuita mapepo, majinni na hata Maruhani, mtu anayeshikwa na ugonjwa huo kutokana na sababu mbalimbali za ndani ya mwili na nje ya mwili anashindwa kabisa kujidhibiti (uncontroll) kiakili na hivyo wakati huo akili inajiendesha yenyewe (run amok), na mgonjwa anaweza kutamka maneno au hisia alizokuwa nazo kichwani kabla ya kushikwa na huo ugonjwa (ravings) au anaweza kutamka maneno katika lugha ngeni kabisa (labda aliisikia zamani alipokuwa mdogo kwani akili ni kama memory card), na watu wakashangaa na wakaanza kuhisi kwamba; "LAZIMA KUNA KIUMBE KISICHOONEKANA KWA MACHO KUTOKA NJE KIMEMUINGIA KICHWANI NDICHO KINACHOZUNGUMZA HIYO LUGHA"😁😁---- na hapo ndipo dhana na fikra za upotishaji juu ya majinn zinapoanzia hapo, kwamba majinni ni viumbe mithili ya watu na wanaweza kumuingia mtu kichwani na wanapenda kuishi chooni, kwenye milima mirefu, magogu, baharini, katika misitu minene nk, ilmradi kila mtu anatoa fikra zake anazojenga juu ya majinni, mbaya zaidi Waalimu na Masheikh Ubwabwa biashara ya kupunga majinn kwa akina mama imekuwa ni dili kubwa na Wachungaji pia hawako nyuma katika kukemea majini mapepo. Kifupi, hayo yanayoitwa mapepo, Maruhani, jinn, Mahaba nk, yanaweza kuitwa kwa jina la "jinn" kwa sifa tu kwasababu kitu kinachosababisha mama au dada ashikwe na hali ya kuweweseka haionekani kwa macho lakini madhara yake yanaonekana kwa mgonjwa, hakuna jinn mahaba, Subiani, Affrit nk, mwenye umbo la mtu kutoka nje anayemuingia mtu, hakuna, never ever there is none.

Kutupiwa "jinn"--- unaweza kusikia watu wakisema, mfano; " Jamaa katupiwa "jinn" ndiyo maana kapata ajali, naam-- zipo elimu za "spirits", mfano, Telepathy, Hynotism (mesmerism) nk, ni elimu ambazo baadhi ya watu wanazaliwa nazo naturally au kwa kujifunza, ni elimu ambayo mtu anaweza kumuathiri mtu mwingine kwa kufanya baadhi ya mambo fulani na mtu akaathirika hata akiwa maelfu ya kilometres na mtu akaathirika huko alipo, nalo jambo hili waweza kuliita "jinn" kwasababu tu nguvu inayotenda kazi haionekani kwa macho, lakini si kwamba kuna kiumbe mfano wa mtu au watu kinaruka hewani baada ya kutumwa na "fundi" kwenda kufanya madhara kwa mlengwa.

Majini kuumbwa kwa moto, naomba nimalizie kwa kutoa ufafanuzi wa maana nyingine ya jinn kuumbwa kwa moto, mtu au kitu kuumbwa kwa moto maana yake pia yaweza kuwa ni mtu mwenye kiburi, majivuno, mwenye asili ya ukali nk, kama alivyokuwa Firauni na Ibilisi katika Qur'an.
 
Wenzako kwanza hutoa challenge na mtu anaposhindwa ndipo hutoa hayo matusi yako unayayatoa kutoka kwenye domo lako kubwa kama tundu la choo cha stendi ya mabasi, kila abiria akisikia haja huja kujisaidia humo. Swine mkubwa weee.

Nimekuambia nimeshindwa kupinga huo uongo wenu kwa hoja??, Hata bila hoja yoyote tayari zilisha jipinga zenyewe, eti jini linafanana na mtu???, umeona wapi??, unajua maana ya neno jinn??, (اجن).
Nisamehe mkuu. Nilikukosea
 
Mkuu, huyo mwenzako aliyenitusi kabla ya mimi kumjibu hukuona matusi yake au yeye hakustahili kupewa hizo nasaha unazonipa??--- yeye kaanza kunitusi na mimi nilikuwa najibu mapigo, juu ya yote mimi niko peace tu.

Tuje katika mada, umeandika maneno katika lugha ya kiarabu nadhani ni watu wachache sana humu ndani wanaojua lugha ya kiarabu na hata kama wapo sio fasaha sana katika lugha hiyo kama waiivyokuwa fasaha katika Kiswahili na kiingereza, hivyo ni vyema unapoona "raha" kuandika kwa kiarabu basi pembeni weka tafsiri yake kwa kiswahili ili wengi wetu tusiojua vyema kiarabu tupate kufahamu.

Tarjama ya maneno yako ya kiarabu ni kama ifuatavyo (nakubali kurekebishwa nitakapo kosea);-

" Majini ni viumbe, mbali na kujibadili, haiwezekani kuonekana kwa macho ya kawaida ili kuwaona lazima uwe na maarifa".


Katika hadithi fulani za mtukufu mtume Muhammad (saw, aliwakataza masahaba zake kutumia mifupa na vinyesi vikavu vya ngamia kuchambia na akasema mifupa na vinyesi hivyo ni vyakula vya majini, na pia akatufundisha tuingiapo vyooni tusome dua ili kujikinga na majini waliomo vyooni.

Elimu ya kisayansi inatuambia kwamba katika mifupa na vinyesi vya wanyama kuna bakteria kibao ambao kama utatumia hivyo vinyesi na mifupa kuchambia utakuwa na nafasi kubwa sana ya kupata maambukizi katika njia ya haja kubwa halikadhalika chooni kulingana na mazingira yake kuna aina mbalimbali za bakteria wa maradhi mfano, Chorela, dysentery, hepatitis, kisonono nk, (hasa vyoo vya umma).

Hivyo mtukufu mtume (saw), aliposema neno "jinn" alikuwa na maana ya wadudu wadogo wasioweza kuonekana kwa macho ya kawaida na hapa nakubaliana na maneno yako ya kiarabu, na ili uweze kuwaona ni lazima utumie nyenzo maalumu kama darubini (microscope) au kwa maneno mengine uwe na maarifa (معرفة) kama ulivyosema.

Sifa kuu ya jinn ni kutokuonekana kirahisi kwa macho ya kawaida na mzizi wa neno "jinn" ni neno "janna" ambalo maana yake ni kutokuonekana, hivyo basi katika lugha ya kiarabu, kitu chochote au tukio lolote lenye sifa ya kutokuonekana kirahisi linawezwa kwa ki-SIFA likaitwa kwa jina la "jinn", na hii ipo karibu katika lugha zote hata katika kiswahili mtu shujaa anaweza kuitwa "Simba" kwa sababu tu ya ushujaa wake.

Kwa muktadha huo ki-sifa , jinn anaweza kuwa mtu mkubwa, kiongozi, tajiri, mtu mashuhuri nk--- ambao kwa hizo sifa zao kuonekana kwao mbele za watu huwa ni kwa nadra sana na inapotokea akaonekana basi lazima kuwae na jambo muhimu, na hapa ndipo Allah katika Qur'an aliposema; "Sikuwaumba majini na watu isipokuwa watuabudu"-- Majini waliotajwa hapa ni viongozi, watu mashuhuri, matajiri nk, ambao kwa umashuhuri na utajiri na uongozi wao wanaweza kujawa na kiburi kujiona kwamba wao hawastahili kufanya ibada, Watu katika aya hiyo ni watu wa kawaida wasiokuwa na utajiri, umashuhuri, uongozi nk ambao nao kulingana na hali zao za kimaisha wanaweza kusema ibada haiwahusu ila inawahusu hao waheshimiwa wakubwa (majini), ndipo Allah akakata mzuzi wa fitna akasema wote lazima tumuabudu hakuna adhuru.

Allah katika Qur'an anasema "Na majinni tumewaumba mwanzo kwa mwale wa moto," (sikumbuki aya). sayansi ambayo ni elimu kutoka kwa huyohuyo Allah inasema kwamba viumbe wa mwanzo kabisa kuumbwa walikuwa ni bakteria ainavya (Eukaryotes na prykaryotes. Check spelling) ambao waliumbwa kutokana na nuru ya radi (lightining sparks).

Qur'an katika Surah jinn, Majinn waliposikia Qur'an ikisomwa walisema, "hakika tumesikia Qur'an ya ajabu inayoongoza kwenye uongofu"(sikumbuki aya) na tena wakasema; "hakika tumesikia kitabu kilichoteremshwa baada ya Musa"(sikumbuki aya), na baadaye mtume (saw) alikuwa akifanya maombi na hao majinn "wakamzonga/ wakamzingira" (sikumbuki aya). Majinn waliotajwa katika hiyo sura ni watu wageni wasiokuwa waarabu, katika lugha ya kiarabu neno "jinn" linaruhusiwa kutumika kwa mgeni/wageni kwa sababu mgeni anaonekana kipindi tu anapokuwa na wenyeji lakini yeye sio mtu wa hapo na hivyo kuonekana kwake ni kama kuonekana kwa "jinn" na hii ni katika matumizi yale yale ya Ki- sifa ya neno jinn--, na hao wageni walikuwa ni mayahudi kutoka Nasibin, ndiyo maana wakasema; "innaa sami'i'naa kitaaba unzila min baa'd Musa" (Hakika tumesikia kitabu kilichoteremshwa baada ya Musa).


Ugonjwa unaowashika kina mama na akina dada, (Hysteria), kama nilivyosema hapo awali kuwa neno "jinn" linaweza kutumika hata kwa jambo lenye sababu isiyoonekana bali athari inayoonekana (unseen cause but seen effects). Akina mama maranyingi husumbuliwa na ugonjwa wa akili ambao watu wengi huuita mapepo, majinni na hata Maruhani, mtu anayeshikwa na ugonjwa huo kutokana na sababu mbalimbali za ndani ya mwili na nje ya mwili anashindwa kabisa kujidhibiti (uncontroll) kiakili na hivyo wakati huo akili inajiendesha yenyewe (run amok), na mgonjwa anaweza kutamka maneno au hisia alizokuwa nazo kichwani kabla ya kushikwa na huo ugonjwa (ravings) au anaweza kutamka maneno katika lugha ngeni kabisa (labda aliisikia zamani alipokuwa mdogo kwani akili ni kama memory card), na watu wakashangaa na wakaanza kuhisi kwamba; "LAZIMA KUNA KIUMBE KISICHOONEKANA KWA MACHO KUTOKA NJE KIMEMUINGIA KICHWANI NDICHO KINACHOZUNGUMZA HIYO LUGHA"😁😁---- na hapo ndipo dhana na fikra za upotishaji juu ya majinn zinapoanzia hapo, kwamba majinni ni viumbe mithili ya watu na wanaweza kumuingia mtu kichwani na wanapenda kuishi chooni, kwenye milima mirefu, magogu, baharini, katika misitu minene nk, ilmradi kila mtu anatoa fikra zake anazojenga juu ya majinni, mbaya zaidi Waalimu na Masheikh Ubwabwa biashara ya kupunga majinn kwa akina mama imekuwa ni dili kubwa na Wachungaji pia hawako nyuma katika kukemea majini mapepo. Kifupi, hayo yanayoitwa mapepo, Maruhani, jinn, Mahaba nk, yanaweza kuitwa kwa jina la "jinn" kwa sifa tu kwasababu kitu kinachosababisha mama au dada ashikwe na hali ya kuweweseka haionekani kwa macho lakini madhara yake yanaonekana kwa mgonjwa, hakuna jinn mahaba, Subiani, Affrit nk, mwenye umbo la mtu kutoka nje anayemuingia mtu, hakuna, never ever there is none.

Kutupiwa "jinn"--- unaweza kusikia watu wakisema, mfano; " Jamaa katupiwa "jinn" ndiyo maana kapata ajali, naam-- zipo elimu za "spirits", mfano, Telepathy, Hynotism (mesmerism) nk, ni elimu ambazo baadhi ya watu wanazaliwa nazo naturally au kwa kujifunza, ni elimu ambayo mtu anaweza kumuathiri mtu mwingine kwa kufanya baadhi ya mambo fulani na mtu akaathirika hata akiwa maelfu ya kilometres na mtu akaathirika huko alipo, nalo jambo hili waweza kuliita "jinn" kwasababu tu nguvu inayotenda kazi haionekani kwa macho, lakini si kwamba kuna kiumbe mfano wa mtu au watu kinaruka hewani baada ya kutumwa na "fundi" kwenda kufanya madhara kwa mlengwa.

Majini kuumbwa kwa moto, naomba nimalizie kwa kutoa ufafanuzi wa maana nyingine ya jinn kuumbwa kwa moto, mtu au kitu kuumbwa kwa moto maana yake pia yaweza kuwa ni mtu mwenye kiburi, majivuno, mwenye asili ya ukali nk, kama alivyokuwa Firauni na Ibilisi katika Qur'an.
Haya! Tutajie kitabu cha mwana wa zuoni gani wa Kiislam ambaye ametafsiri Qur'ani kama wewe ulivyotafsiri na utuwekee namba ya kurasa ya hiyo Tafsiri.
 
Yupi kati bin adam na jin anakiwa powerfull zaid ya mwenzake endapo individual akifika kwenye maximum spiritual and quantum mind set?

Pia naomba maelezo kuhusu pazia linalotufanya tusiwaonee? Ila nadhan wao wanatuona sio
Sisi tunapazia tumefungiwa na mwenyzi Mungu ila kwa baadhi yetu aliyetupa elimu tunaweza kufungua na kuwaona sasa kuhusu dimension ile uliyopo wewe ndio na wao wapo hiyo hiyo pia wao na binaadamu ni hali moja wapo great thinker na wapo losers pia, different between us and them are only shapes and other small things but not that much
 
Mkuu, huyo mwenzako aliyenitusi kabla ya mimi kumjibu hukuona matusi yake au yeye hakustahili kupewa hizo nasaha unazonipa??--- yeye kaanza kunitusi na mimi nilikuwa najibu mapigo, juu ya yote mimi niko peace tu.

Tuje katika mada, umeandika maneno katika lugha ya kiarabu nadhani ni watu wachache sana humu ndani wanaojua lugha ya kiarabu na hata kama wapo sio fasaha sana katika lugha hiyo kama waiivyokuwa fasaha katika Kiswahili na kiingereza, hivyo ni vyema unapoona "raha" kuandika kwa kiarabu basi pembeni weka tafsiri yake kwa kiswahili ili wengi wetu tusiojua vyema kiarabu tupate kufahamu.

Tarjama ya maneno yako ya kiarabu ni kama ifuatavyo (nakubali kurekebishwa nitakapo kosea);-

" Majini ni viumbe, mbali na kujibadili, haiwezekani kuonekana kwa macho ya kawaida ili kuwaona lazima uwe na maarifa".


Katika hadithi fulani za mtukufu mtume Muhammad (saw, aliwakataza masahaba zake kutumia mifupa na vinyesi vikavu vya ngamia kuchambia na akasema mifupa na vinyesi hivyo ni vyakula vya majini, na pia akatufundisha tuingiapo vyooni tusome dua ili kujikinga na majini waliomo vyooni.

Elimu ya kisayansi inatuambia kwamba katika mifupa na vinyesi vya wanyama kuna bakteria kibao ambao kama utatumia hivyo vinyesi na mifupa kuchambia utakuwa na nafasi kubwa sana ya kupata maambukizi katika njia ya haja kubwa halikadhalika chooni kulingana na mazingira yake kuna aina mbalimbali za bakteria wa maradhi mfano, Chorela, dysentery, hepatitis, kisonono nk, (hasa vyoo vya umma).

Hivyo mtukufu mtume (saw), aliposema neno "jinn" alikuwa na maana ya wadudu wadogo wasioweza kuonekana kwa macho ya kawaida na hapa nakubaliana na maneno yako ya kiarabu, na ili uweze kuwaona ni lazima utumie nyenzo maalumu kama darubini (microscope) au kwa maneno mengine uwe na maarifa (معرفة) kama ulivyosema.

Sifa kuu ya jinn ni kutokuonekana kirahisi kwa macho ya kawaida na mzizi wa neno "jinn" ni neno "janna" ambalo maana yake ni kutokuonekana, hivyo basi katika lugha ya kiarabu, kitu chochote au tukio lolote lenye sifa ya kutokuonekana kirahisi linawezwa kwa ki-SIFA likaitwa kwa jina la "jinn", na hii ipo karibu katika lugha zote hata katika kiswahili mtu shujaa anaweza kuitwa "Simba" kwa sababu tu ya ushujaa wake.

Kwa muktadha huo ki-sifa , jinn anaweza kuwa mtu mkubwa, kiongozi, tajiri, mtu mashuhuri nk--- ambao kwa hizo sifa zao kuonekana kwao mbele za watu huwa ni kwa nadra sana na inapotokea akaonekana basi lazima kuwae na jambo muhimu, na hapa ndipo Allah katika Qur'an aliposema; "Sikuwaumba majini na watu isipokuwa watuabudu"-- Majini waliotajwa hapa ni viongozi, watu mashuhuri, matajiri nk, ambao kwa umashuhuri na utajiri na uongozi wao wanaweza kujawa na kiburi kujiona kwamba wao hawastahili kufanya ibada, Watu katika aya hiyo ni watu wa kawaida wasiokuwa na utajiri, umashuhuri, uongozi nk ambao nao kulingana na hali zao za kimaisha wanaweza kusema ibada haiwahusu ila inawahusu hao waheshimiwa wakubwa (majini), ndipo Allah akakata mzuzi wa fitna akasema wote lazima tumuabudu hakuna adhuru.

Allah katika Qur'an anasema "Na majinni tumewaumba mwanzo kwa mwale wa moto," (sikumbuki aya). sayansi ambayo ni elimu kutoka kwa huyohuyo Allah inasema kwamba viumbe wa mwanzo kabisa kuumbwa walikuwa ni bakteria ainavya (Eukaryotes na prykaryotes. Check spelling) ambao waliumbwa kutokana na nuru ya radi (lightining sparks).

Qur'an katika Surah jinn, Majinn waliposikia Qur'an ikisomwa walisema, "hakika tumesikia Qur'an ya ajabu inayoongoza kwenye uongofu"(sikumbuki aya) na tena wakasema; "hakika tumesikia kitabu kilichoteremshwa baada ya Musa"(sikumbuki aya), na baadaye mtume (saw) alikuwa akifanya maombi na hao majinn "wakamzonga/ wakamzingira" (sikumbuki aya). Majinn waliotajwa katika hiyo sura ni watu wageni wasiokuwa waarabu, katika lugha ya kiarabu neno "jinn" linaruhusiwa kutumika kwa mgeni/wageni kwa sababu mgeni anaonekana kipindi tu anapokuwa na wenyeji lakini yeye sio mtu wa hapo na hivyo kuonekana kwake ni kama kuonekana kwa "jinn" na hii ni katika matumizi yale yale ya Ki- sifa ya neno jinn--, na hao wageni walikuwa ni mayahudi kutoka Nasibin, ndiyo maana wakasema; "innaa sami'i'naa kitaaba unzila min baa'd Musa" (Hakika tumesikia kitabu kilichoteremshwa baada ya Musa).


Ugonjwa unaowashika kina mama na akina dada, (Hysteria), kama nilivyosema hapo awali kuwa neno "jinn" linaweza kutumika hata kwa jambo lenye sababu isiyoonekana bali athari inayoonekana (unseen cause but seen effects). Akina mama maranyingi husumbuliwa na ugonjwa wa akili ambao watu wengi huuita mapepo, majinni na hata Maruhani, mtu anayeshikwa na ugonjwa huo kutokana na sababu mbalimbali za ndani ya mwili na nje ya mwili anashindwa kabisa kujidhibiti (uncontroll) kiakili na hivyo wakati huo akili inajiendesha yenyewe (run amok), na mgonjwa anaweza kutamka maneno au hisia alizokuwa nazo kichwani kabla ya kushikwa na huo ugonjwa (ravings) au anaweza kutamka maneno katika lugha ngeni kabisa (labda aliisikia zamani alipokuwa mdogo kwani akili ni kama memory card), na watu wakashangaa na wakaanza kuhisi kwamba; "LAZIMA KUNA KIUMBE KISICHOONEKANA KWA MACHO KUTOKA NJE KIMEMUINGIA KICHWANI NDICHO KINACHOZUNGUMZA HIYO LUGHA"😁😁---- na hapo ndipo dhana na fikra za upotishaji juu ya majinn zinapoanzia hapo, kwamba majinni ni viumbe mithili ya watu na wanaweza kumuingia mtu kichwani na wanapenda kuishi chooni, kwenye milima mirefu, magogu, baharini, katika misitu minene nk, ilmradi kila mtu anatoa fikra zake anazojenga juu ya majinni, mbaya zaidi Waalimu na Masheikh Ubwabwa biashara ya kupunga majinn kwa akina mama imekuwa ni dili kubwa na Wachungaji pia hawako nyuma katika kukemea majini mapepo. Kifupi, hayo yanayoitwa mapepo, Maruhani, jinn, Mahaba nk, yanaweza kuitwa kwa jina la "jinn" kwa sifa tu kwasababu kitu kinachosababisha mama au dada ashikwe na hali ya kuweweseka haionekani kwa macho lakini madhara yake yanaonekana kwa mgonjwa, hakuna jinn mahaba, Subiani, Affrit nk, mwenye umbo la mtu kutoka nje anayemuingia mtu, hakuna, never ever there is none.

Kutupiwa "jinn"--- unaweza kusikia watu wakisema, mfano; " Jamaa katupiwa "jinn" ndiyo maana kapata ajali, naam-- zipo elimu za "spirits", mfano, Telepathy, Hynotism (mesmerism) nk, ni elimu ambazo baadhi ya watu wanazaliwa nazo naturally au kwa kujifunza, ni elimu ambayo mtu anaweza kumuathiri mtu mwingine kwa kufanya baadhi ya mambo fulani na mtu akaathirika hata akiwa maelfu ya kilometres na mtu akaathirika huko alipo, nalo jambo hili waweza kuliita "jinn" kwasababu tu nguvu inayotenda kazi haionekani kwa macho, lakini si kwamba kuna kiumbe mfano wa mtu au watu kinaruka hewani baada ya kutumwa na "fundi" kwenda kufanya madhara kwa mlengwa.

Majini kuumbwa kwa moto, naomba nimalizie kwa kutoa ufafanuzi wa maana nyingine ya jinn kuumbwa kwa moto, mtu au kitu kuumbwa kwa moto maana yake pia yaweza kuwa ni mtu mwenye kiburi, majivuno, mwenye asili ya ukali nk, kama alivyokuwa Firauni na Ibilisi katika Qur'an.
Kwa tafsiri yako ya neno Jinni, tuambie hizi baadhi za aya ina maana gani?

(وَإِذۡ قُلۡنَا لِلۡمَلَـٰۤىِٕكَةِ ٱسۡجُدُوا۟ لِـَٔادَمَ فَسَجَدُوۤا۟ إِلَّاۤ إِبۡلِیسَ كَانَ مِنَ ٱلۡجِنِّ فَفَسَقَ عَنۡ أَمۡرِ رَبِّهِۦۤۗ أَفَتَتَّخِذُونَهُۥ وَذُرِّیَّتَهُۥۤ أَوۡلِیَاۤءَ مِن دُونِی وَهُمۡ لَكُمۡ عَدُوُّۢۚ بِئۡسَ لِلظَّـٰلِمِینَ بَدَلࣰا)
[Surat Al-Kahf 50]


(بِسۡمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحۡمَـٰنِ ٱلرَّحِیمِ

قُلۡ أُوحِیَ إِلَیَّ أَنَّهُ ٱسۡتَمَعَ نَفَرࣱ مِّنَ ٱلۡجِنِّ فَقَالُوۤا۟ إِنَّا سَمِعۡنَا قُرۡءَانًا عَجَبࣰا ۝ یَهۡدِیۤ إِلَى ٱلرُّشۡدِ فَـَٔامَنَّا بِهِۦۖ وَلَن نُّشۡرِكَ بِرَبِّنَاۤ أَحَدࣰا ۝ وَأَنَّهُۥ تَعَـٰلَىٰ جَدُّ رَبِّنَا مَا ٱتَّخَذَ صَـٰحِبَةࣰ وَلَا وَلَدࣰا ۝ وَأَنَّهُۥ كَانَ یَقُولُ سَفِیهُنَا عَلَى ٱللَّهِ شَطَطࣰا ۝ وَأَنَّا ظَنَنَّاۤ أَن لَّن تَقُولَ ٱلۡإِنسُ وَٱلۡجِنُّ عَلَى ٱللَّهِ كَذِبࣰا ۝ وَأَنَّهُۥ كَانَ رِجَالࣱ مِّنَ ٱلۡإِنسِ یَعُوذُونَ بِرِجَالࣲ مِّنَ ٱلۡجِنِّ فَزَادُوهُمۡ رَهَقࣰا ۝ وَأَنَّهُمۡ ظَنُّوا۟ كَمَا ظَنَنتُمۡ أَن لَّن یَبۡعَثَ ٱللَّهُ أَحَدࣰا ۝ وَأَنَّا لَمَسۡنَا ٱلسَّمَاۤءَ فَوَجَدۡنَـٰهَا مُلِئَتۡ حَرَسࣰا شَدِیدࣰا وَشُهُبࣰا ۝ وَأَنَّا كُنَّا نَقۡعُدُ مِنۡهَا مَقَـٰعِدَ لِلسَّمۡعِۖ فَمَن یَسۡتَمِعِ ٱلۡـَٔانَ یَجِدۡ لَهُۥ شِهَابࣰا رَّصَدࣰا ۝ وَأَنَّا لَا نَدۡرِیۤ أَشَرٌّ أُرِیدَ بِمَن فِی ٱلۡأَرۡضِ أَمۡ أَرَادَ بِهِمۡ رَبُّهُمۡ رَشَدࣰا ۝ وَأَنَّا مِنَّا ٱلصَّـٰلِحُونَ وَمِنَّا دُونَ ذَ ٰ⁠لِكَۖ كُنَّا طَرَاۤىِٕقَ قِدَدࣰا ۝ وَأَنَّا ظَنَنَّاۤ أَن لَّن نُّعۡجِزَ ٱللَّهَ فِی ٱلۡأَرۡضِ وَلَن نُّعۡجِزَهُۥ هَرَبࣰا ۝ وَأَنَّا لَمَّا سَمِعۡنَا ٱلۡهُدَىٰۤ ءَامَنَّا بِهِۦۖ فَمَن یُؤۡمِنۢ بِرَبِّهِۦ فَلَا یَخَافُ بَخۡسࣰا وَلَا رَهَقࣰا ۝ وَأَنَّا مِنَّا ٱلۡمُسۡلِمُونَ وَمِنَّا ٱلۡقَـٰسِطُونَۖ فَمَنۡ أَسۡلَمَ فَأُو۟لَـٰۤىِٕكَ تَحَرَّوۡا۟ رَشَدࣰا)
[Surat Al-Jinn 1 - 14]


(یَـٰمَعۡشَرَ ٱلۡجِنِّ وَٱلۡإِنسِ إِنِ ٱسۡتَطَعۡتُمۡ أَن تَنفُذُوا۟ مِنۡ أَقۡطَارِ ٱلسَّمَـٰوَ ٰ⁠تِ وَٱلۡأَرۡضِ فَٱنفُذُوا۟ۚ لَا تَنفُذُونَ إِلَّا بِسُلۡطَـٰنࣲ)
[Surat Ar-Rahman 33]
 
Kwa tafsiri yako ya neno Jinni, tuambie hizi baadhi za aya ina maana gani?

(وَإِذۡ قُلۡنَا لِلۡمَلَـٰۤىِٕكَةِ ٱسۡجُدُوا۟ لِـَٔادَمَ فَسَجَدُوۤا۟ إِلَّاۤ إِبۡلِیسَ كَانَ مِنَ ٱلۡجِنِّ فَفَسَقَ عَنۡ أَمۡرِ رَبِّهِۦۤۗ أَفَتَتَّخِذُونَهُۥ وَذُرِّیَّتَهُۥۤ أَوۡلِیَاۤءَ مِن دُونِی وَهُمۡ لَكُمۡ عَدُوُّۢۚ بِئۡسَ لِلظَّـٰلِمِینَ بَدَلࣰا)
[Surat Al-Kahf 50]


(بِسۡمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحۡمَـٰنِ ٱلرَّحِیمِ

قُلۡ أُوحِیَ إِلَیَّ أَنَّهُ ٱسۡتَمَعَ نَفَرࣱ مِّنَ ٱلۡجِنِّ فَقَالُوۤا۟ إِنَّا سَمِعۡنَا قُرۡءَانًا عَجَبࣰا ۝ یَهۡدِیۤ إِلَى ٱلرُّشۡدِ فَـَٔامَنَّا بِهِۦۖ وَلَن نُّشۡرِكَ بِرَبِّنَاۤ أَحَدࣰا ۝ وَأَنَّهُۥ تَعَـٰلَىٰ جَدُّ رَبِّنَا مَا ٱتَّخَذَ صَـٰحِبَةࣰ وَلَا وَلَدࣰا ۝ وَأَنَّهُۥ كَانَ یَقُولُ سَفِیهُنَا عَلَى ٱللَّهِ شَطَطࣰا ۝ وَأَنَّا ظَنَنَّاۤ أَن لَّن تَقُولَ ٱلۡإِنسُ وَٱلۡجِنُّ عَلَى ٱللَّهِ كَذِبࣰا ۝ وَأَنَّهُۥ كَانَ رِجَالࣱ مِّنَ ٱلۡإِنسِ یَعُوذُونَ بِرِجَالࣲ مِّنَ ٱلۡجِنِّ فَزَادُوهُمۡ رَهَقࣰا ۝ وَأَنَّهُمۡ ظَنُّوا۟ كَمَا ظَنَنتُمۡ أَن لَّن یَبۡعَثَ ٱللَّهُ أَحَدࣰا ۝ وَأَنَّا لَمَسۡنَا ٱلسَّمَاۤءَ فَوَجَدۡنَـٰهَا مُلِئَتۡ حَرَسࣰا شَدِیدࣰا وَشُهُبࣰا ۝ وَأَنَّا كُنَّا نَقۡعُدُ مِنۡهَا مَقَـٰعِدَ لِلسَّمۡعِۖ فَمَن یَسۡتَمِعِ ٱلۡـَٔانَ یَجِدۡ لَهُۥ شِهَابࣰا رَّصَدࣰا ۝ وَأَنَّا لَا نَدۡرِیۤ أَشَرٌّ أُرِیدَ بِمَن فِی ٱلۡأَرۡضِ أَمۡ أَرَادَ بِهِمۡ رَبُّهُمۡ رَشَدࣰا ۝ وَأَنَّا مِنَّا ٱلصَّـٰلِحُونَ وَمِنَّا دُونَ ذَ ٰ⁠لِكَۖ كُنَّا طَرَاۤىِٕقَ قِدَدࣰا ۝ وَأَنَّا ظَنَنَّاۤ أَن لَّن نُّعۡجِزَ ٱللَّهَ فِی ٱلۡأَرۡضِ وَلَن نُّعۡجِزَهُۥ هَرَبࣰا ۝ وَأَنَّا لَمَّا سَمِعۡنَا ٱلۡهُدَىٰۤ ءَامَنَّا بِهِۦۖ فَمَن یُؤۡمِنۢ بِرَبِّهِۦ فَلَا یَخَافُ بَخۡسࣰا وَلَا رَهَقࣰا ۝ وَأَنَّا مِنَّا ٱلۡمُسۡلِمُونَ وَمِنَّا ٱلۡقَـٰسِطُونَۖ فَمَنۡ أَسۡلَمَ فَأُو۟لَـٰۤىِٕكَ تَحَرَّوۡا۟ رَشَدࣰا)
[Surat Al-Jinn 1 - 14]


(یَـٰمَعۡشَرَ ٱلۡجِنِّ وَٱلۡإِنسِ إِنِ ٱسۡتَطَعۡتُمۡ أَن تَنفُذُوا۟ مِنۡ أَقۡطَارِ ٱلسَّمَـٰوَ ٰ⁠تِ وَٱلۡأَرۡضِ فَٱنفُذُوا۟ۚ لَا تَنفُذُونَ إِلَّا بِسُلۡطَـٰنࣲ)
[Surat Ar-Rahman 33]
Hakufukuzae hakwambii toka
 
Mkuu, huyo mwenzako aliyenitusi kabla ya mimi kumjibu hukuona matusi yake au yeye hakustahili kupewa hizo nasaha unazonipa??--- yeye kaanza kunitusi na mimi nilikuwa najibu mapigo, juu ya yote mimi niko peace tu.

Tuje katika mada, umeandika maneno katika lugha ya kiarabu nadhani ni watu wachache sana humu ndani wanaojua lugha ya kiarabu na hata kama wapo sio fasaha sana katika lugha hiyo kama waiivyokuwa fasaha katika Kiswahili na kiingereza, hivyo ni vyema unapoona "raha" kuandika kwa kiarabu basi pembeni weka tafsiri yake kwa kiswahili ili wengi wetu tusiojua vyema kiarabu tupate kufahamu.

Tarjama ya maneno yako ya kiarabu ni kama ifuatavyo (nakubali kurekebishwa nitakapo kosea);-

" Majini ni viumbe, mbali na kujibadili, haiwezekani kuonekana kwa macho ya kawaida ili kuwaona lazima uwe na maarifa".


Katika hadithi fulani za mtukufu mtume Muhammad (saw, aliwakataza masahaba zake kutumia mifupa na vinyesi vikavu vya ngamia kuchambia na akasema mifupa na vinyesi hivyo ni vyakula vya majini, na pia akatufundisha tuingiapo vyooni tusome dua ili kujikinga na majini waliomo vyooni.

Elimu ya kisayansi inatuambia kwamba katika mifupa na vinyesi vya wanyama kuna bakteria kibao ambao kama utatumia hivyo vinyesi na mifupa kuchambia utakuwa na nafasi kubwa sana ya kupata maambukizi katika njia ya haja kubwa halikadhalika chooni kulingana na mazingira yake kuna aina mbalimbali za bakteria wa maradhi mfano, Chorela, dysentery, hepatitis, kisonono nk, (hasa vyoo vya umma).

Hivyo mtukufu mtume (saw), aliposema neno "jinn" alikuwa na maana ya wadudu wadogo wasioweza kuonekana kwa macho ya kawaida na hapa nakubaliana na maneno yako ya kiarabu, na ili uweze kuwaona ni lazima utumie nyenzo maalumu kama darubini (microscope) au kwa maneno mengine uwe na maarifa (معرفة) kama ulivyosema.

Sifa kuu ya jinn ni kutokuonekana kirahisi kwa macho ya kawaida na mzizi wa neno "jinn" ni neno "janna" ambalo maana yake ni kutokuonekana, hivyo basi katika lugha ya kiarabu, kitu chochote au tukio lolote lenye sifa ya kutokuonekana kirahisi linawezwa kwa ki-SIFA likaitwa kwa jina la "jinn", na hii ipo karibu katika lugha zote hata katika kiswahili mtu shujaa anaweza kuitwa "Simba" kwa sababu tu ya ushujaa wake.

Kwa muktadha huo ki-sifa , jinn anaweza kuwa mtu mkubwa, kiongozi, tajiri, mtu mashuhuri nk--- ambao kwa hizo sifa zao kuonekana kwao mbele za watu huwa ni kwa nadra sana na inapotokea akaonekana basi lazima kuwae na jambo muhimu, na hapa ndipo Allah katika Qur'an aliposema; "Sikuwaumba majini na watu isipokuwa watuabudu"-- Majini waliotajwa hapa ni viongozi, watu mashuhuri, matajiri nk, ambao kwa umashuhuri na utajiri na uongozi wao wanaweza kujawa na kiburi kujiona kwamba wao hawastahili kufanya ibada, Watu katika aya hiyo ni watu wa kawaida wasiokuwa na utajiri, umashuhuri, uongozi nk ambao nao kulingana na hali zao za kimaisha wanaweza kusema ibada haiwahusu ila inawahusu hao waheshimiwa wakubwa (majini), ndipo Allah akakata mzuzi wa fitna akasema wote lazima tumuabudu hakuna adhuru.

Allah katika Qur'an anasema "Na majinni tumewaumba mwanzo kwa mwale wa moto," (sikumbuki aya). sayansi ambayo ni elimu kutoka kwa huyohuyo Allah inasema kwamba viumbe wa mwanzo kabisa kuumbwa walikuwa ni bakteria ainavya (Eukaryotes na prykaryotes. Check spelling) ambao waliumbwa kutokana na nuru ya radi (lightining sparks).

Qur'an katika Surah jinn, Majinn waliposikia Qur'an ikisomwa walisema, "hakika tumesikia Qur'an ya ajabu inayoongoza kwenye uongofu"(sikumbuki aya) na tena wakasema; "hakika tumesikia kitabu kilichoteremshwa baada ya Musa"(sikumbuki aya), na baadaye mtume (saw) alikuwa akifanya maombi na hao majinn "wakamzonga/ wakamzingira" (sikumbuki aya). Majinn waliotajwa katika hiyo sura ni watu wageni wasiokuwa waarabu, katika lugha ya kiarabu neno "jinn" linaruhusiwa kutumika kwa mgeni/wageni kwa sababu mgeni anaonekana kipindi tu anapokuwa na wenyeji lakini yeye sio mtu wa hapo na hivyo kuonekana kwake ni kama kuonekana kwa "jinn" na hii ni katika matumizi yale yale ya Ki- sifa ya neno jinn--, na hao wageni walikuwa ni mayahudi kutoka Nasibin, ndiyo maana wakasema; "innaa sami'i'naa kitaaba unzila min baa'd Musa" (Hakika tumesikia kitabu kilichoteremshwa baada ya Musa).


Ugonjwa unaowashika kina mama na akina dada, (Hysteria), kama nilivyosema hapo awali kuwa neno "jinn" linaweza kutumika hata kwa jambo lenye sababu isiyoonekana bali athari inayoonekana (unseen cause but seen effects). Akina mama maranyingi husumbuliwa na ugonjwa wa akili ambao watu wengi huuita mapepo, majinni na hata Maruhani, mtu anayeshikwa na ugonjwa huo kutokana na sababu mbalimbali za ndani ya mwili na nje ya mwili anashindwa kabisa kujidhibiti (uncontroll) kiakili na hivyo wakati huo akili inajiendesha yenyewe (run amok), na mgonjwa anaweza kutamka maneno au hisia alizokuwa nazo kichwani kabla ya kushikwa na huo ugonjwa (ravings) au anaweza kutamka maneno katika lugha ngeni kabisa (labda aliisikia zamani alipokuwa mdogo kwani akili ni kama memory card), na watu wakashangaa na wakaanza kuhisi kwamba; "LAZIMA KUNA KIUMBE KISICHOONEKANA KWA MACHO KUTOKA NJE KIMEMUINGIA KICHWANI NDICHO KINACHOZUNGUMZA HIYO LUGHA"[emoji16][emoji16]---- na hapo ndipo dhana na fikra za upotishaji juu ya majinn zinapoanzia hapo, kwamba majinni ni viumbe mithili ya watu na wanaweza kumuingia mtu kichwani na wanapenda kuishi chooni, kwenye milima mirefu, magogu, baharini, katika misitu minene nk, ilmradi kila mtu anatoa fikra zake anazojenga juu ya majinni, mbaya zaidi Waalimu na Masheikh Ubwabwa biashara ya kupunga majinn kwa akina mama imekuwa ni dili kubwa na Wachungaji pia hawako nyuma katika kukemea majini mapepo. Kifupi, hayo yanayoitwa mapepo, Maruhani, jinn, Mahaba nk, yanaweza kuitwa kwa jina la "jinn" kwa sifa tu kwasababu kitu kinachosababisha mama au dada ashikwe na hali ya kuweweseka haionekani kwa macho lakini madhara yake yanaonekana kwa mgonjwa, hakuna jinn mahaba, Subiani, Affrit nk, mwenye umbo la mtu kutoka nje anayemuingia mtu, hakuna, never ever there is none.

Kutupiwa "jinn"--- unaweza kusikia watu wakisema, mfano; " Jamaa katupiwa "jinn" ndiyo maana kapata ajali, naam-- zipo elimu za "spirits", mfano, Telepathy, Hynotism (mesmerism) nk, ni elimu ambazo baadhi ya watu wanazaliwa nazo naturally au kwa kujifunza, ni elimu ambayo mtu anaweza kumuathiri mtu mwingine kwa kufanya baadhi ya mambo fulani na mtu akaathirika hata akiwa maelfu ya kilometres na mtu akaathirika huko alipo, nalo jambo hili waweza kuliita "jinn" kwasababu tu nguvu inayotenda kazi haionekani kwa macho, lakini si kwamba kuna kiumbe mfano wa mtu au watu kinaruka hewani baada ya kutumwa na "fundi" kwenda kufanya madhara kwa mlengwa.

Majini kuumbwa kwa moto, naomba nimalizie kwa kutoa ufafanuzi wa maana nyingine ya jinn kuumbwa kwa moto, mtu au kitu kuumbwa kwa moto maana yake pia yaweza kuwa ni mtu mwenye kiburi, majivuno, mwenye asili ya ukali nk, kama alivyokuwa Firauni na Ibilisi katika Qur'an.
Kwahyo jinni ni kiumbe kisichoonekana kwa macho Bali kwa wenye uwezo wa kuona kwa vifaa maalumu.
Kwahyo huyu jini anaesemekana ni mahaba kwa maelezo yako hayupo je ni kitu gani kinapelekea mtu kuota umefunga ndoa na mwanamke/mume, kuota unafanya mapenzi ilihali kuwa haukuwa na mawazo hayo wala haukuuandaa ubongo kureverse kitu ulichofanya (kufikiria kufanya mapenzi)
Mana nilikuwa na kademu fulani yeye kila siku alikuwa anaota hzo ndoto za kugegedwa ilihali tulikuwa tunakutana (sex) hadi ilifika kipindi alikuwa hata akilala mchana hali ile inatokea.
Sasa je hao ndio backeria uliokuwa unasema wanaitwa majinn??
Nawasilisha....
 
Hakufukuzae hakwambii toka
Kama suala huelewi ni vyema kuuliza, hupungukiwi na kitu. Huyo jamaa kachukua ukweli kwa kuuhalalisha uongo.

Rafiki yako Mokaze amezua uongo ameandika usuli wa neno Jinni ni neno Jannah. Kisha akapandikiza uongo wake kwenye definition iliyo sahihi kwa kupandikizia uongo. Yafaa tumsahihishe.

Kila kisichoonekana kwa macho lugha ya Kiarabu hutohoa herufi mbili kwenye lugha yake na huzaliwa neno. Herufi hizi ni Jiim na Nuun. Pepo(peponi) hatujawahi kuiona kwa macho zaidi ya simulizi zake, kwa Kiarabu inaitwa Jannah. Jannah ina herufi 3. Kuna Jiim, kuna Nuun na Tee. Ukiangalia unaona Jiim na Nun ipo.

Aliyerukwa na akili kwa kiarabu anaitwa Majinuun. Neno Majinuun limeundwa kwa herufi 3. Kuna herufi Miim, herufi Jiim na herufi Nuun. Jiim na Nuun hutoholewa kwa kitu kisichoonekana, akili ama kurukwa na akili hakuonekaniki bali ni ishara ya vitendo vitakavyofanywa. Herufi Jiim na Nuun ipo hapo.

Elimu ya uzazi kwa lugha ya Kiarabu inaitwa Ilmul Ajinna. Ukiliangalia neno ajinna utaona limeundwa na Alif, kuna Jiim na Nuun. Kwa nini Jiim na Nuun ipo? Tunarudi kwenye mising asili ya lugha ya Kiarabu inayosema: Itakapotoholewa Jiim na Nuun kwenye neno ufahamu ya kwamba asili ya hicho kitu hakionekani kwa macho ya mwanadamu.

Halikadhalika na Al ilmul Ajinna(elimu ya uzazi) kwa sababu kilichopo tumboni mwa mwanamke(mimba/kiumbe) hakionekani kwa macho bali kwa vipimo. Na Jinni kwa Kiarabu ameitwa hivyo kwa sababu haonekani kwa macho ya binadamu. Neno Jinni lina herufi ya Jiim na Nuun.

Hiyo ya juu ni baadhi ya mifano.

Kanuni inayokuja hapa ni kwamba: Jicho la mwanadamu kisichokiona kwa dhati yake kwa Lugha ya Kiarabu ni lazima hizo herufi 2 zitakuwepo, nazo ni Jiim na Nuun. Na wala si kwa sifa yake, kwa maana: Si kile kilichokuwa nadra mwachoni mwa binadamu kinakuwa na sifa ya Jini. Na ni nini maana ya nadra? Nadra ni kisichoonekana au kutopatikana mara kwa mara au kwa urahisi. Na hali ya kutoonekana mara kwa mara ama kutokupatikana kwa urahisi kwa lugha ya Kiarabu kunaitwa NUQSU au IHTIYAAJU.

Mokaze anasema tukio lolote au jambo lisiloonekana kirahisi linaweza kwa ki-sifa kwa kuitwa Jinni. Kwa vile neno Jinni amelifafanua kwa kutoa maana kwenye lugha ya Kiarabu yafaa atupatie uthibitisho kwenye lugha ya Kiarabu kwamba mtu asipoonekana machoni mwa watu kwa maana kuonekana kwake si rahisi( na muktadha uliyotumika hapa si kwamba mtu haonekani. Bali imetumika balagha kwamba ni nadra kuonekana machoni mwa watu ijapokuwa ni mwenye kuonekana machoni mwa watu) kisifa naye neno Jinni linamfaa. Atuthibitishie hicho alichokiandika kwa kutumia kutumia misingi ya lugha ya Kiarabu.

Mashaallah akanukuu hadithi ya Mtume akiwaambia maswahaba wake wasitumie mifupa kujiondolea najisi kwani ni vyakula vya Majinni. Kisha akafafanua kwa tanbihi kuwa Mtume aliposema neno Jinni alikuwa na maana ya wadudu. Akanukuu na aya inayosema "Sikuumba majinni na watu isipokuwa waniabudu." Kisha akanukuu na aya inayosema na "Majinni tumewaumba mwanzo kwa mwale wa moto."

Kwa vile Mokaze anasema aya (ya kwanza niliyomkoti) neno Jinni Mungu anamaanisha ni watu wasiyoonekana sana machoni mwa jamii. Aya ya pili akasema neno Jinni ni
bakteria aina ya Eukaryotes na prykaryotes.
Tusiandikie mate wakati wino ungalipo! Wanawazuoni wa Kiislam wanafahamika na vitabu vinafahamika na mabeberu wa tafsiri ya Quran wanafahamika.

Sasa atupatie ushahidi wa hicho alichoandika yeye kwamba majinni kwenye Quran ina maana kama aliyotoa yeye. Asiweke link ya mitandao ya kijamii. Atupatie jina la kitabu cha tafsiri ya hiyo Quran na imeandikwa na nani na mujallad wangapi. Tunasubiri maarifa yako Bw. Mokaze
 
Nakumbuka mahala ulipo jamaa,ikitokea ukaja Mwanza hapa maana upo karibu najua,ukija hapa mjini ktk mizunguko yako nichek tuonane mkuu
Habari wakuu!
Wengi miongoni mwenu huona kila ninapotoa thread huona kama vile hufundisha uchawi lakini kwa mwenye akili timamu hupata mafundisho kwa asilimia kubwa sana!
kumekuwa na tungo nyingi sana kuhusu jini mahaba na maelezo mengi sana kuhusu jini huyu lakini pia watu wengi sana wanaropoka tu bila kumjua lau kama wangemfahamu basi wangezidi kumuomba Mwenyezi Mungu awaepushe na mtihani wa kiumbe hiki

MJUE JINI MAHABA:
View attachment 1183758
Jini mahaba ni moja kati ya majini waliokuwa na nguvu sana na waliopo karibu sana na ufalme wa Dajjal/Shetani/Ibilisi/Lucifer/ ambaye pia wengine humuita mpinga christo.

Elewa ya kuwa ndugu yangu unaesoma makala hii kwamba kuna daraja tano tu za majini katika ulimwengu huu tunaoishi miongoni mwa ukubwa wa tabaka la majini ambayo yanasadikika kuwa milioni 72 elfu hii ni idadi iliyopigwa na baadhi tu ya mashetani wenyewe lakini tukizungumzia kiasiri ya majini hawa wapo katika makundi matano peke yake,
watu wamekuwa wakidanganywa sana kwa hadithi na baadhi ya tungo za viumbe hawa lakini unachotakiwa kuelewa ni kwamba idadi ya viumbe hawa kwa wingi wao anayejua ni mwenyezi Mungu peke yake na hakuna mwingine,
elewa pia ya kwamba majini hawa mtu akikwambia masubiani,masharifu,mashetani,mizimu,vibushuti,vinyamkela,mapepo,makudam,muwakili,ruhani,jini mahaba,makata,shetani,subisubi na yote yalew majina mengine unayoyajua hayo yote yapo kwenye kundi moja tu MAJINI hayana tofauti isipokuwa tu kwa mageuzi ya maumbile yao au uhasama wao yanayofanya au misaada yanayotoa ndio hupewa majina tofauti tofauti kulingana na kile yalichomfanyia au yanavyoonekana,
Sasa nikija kujaaliwa basi nitawaelezea majini ili kila atakaye kuwa anatamka jini aelewe anachosema na sio kutamka tu.

Turejee kwenye kumjua huyu tuliyemkusudia,

Maana ya Jini mahaba:
View attachment 1183766
asili ya jina hili ni jina lililotungwa tu na sisi wenyewe watanzania ili kuweza kutambulisha ni kiumbe cha namna gani tunachokuwa tumekusudia lakini kwa maelezo unatakiwa ufahamu kuwa jini huyu kazi yake na katika mambo ambayo anayafanya zaidi ni kuhakikisha zinaa inatawala na kazi zote zinazohusiana na ngono,

Baadhi ya kazi zake:
View attachment 1183767
Jini huyu hutumika kutumia watu ndoto za ngono,hutumika kuwalawiti wanaume kwa wanawake kama popo bawa hutumika pia kuwafanya au kuwashawishi wale alionao kuingilia au kuingiliwa kinyume na maumbile, kuwaingilia watu na kuwafanyia michezo ya kinyume na maumbile hutumika pia kuuwa kwa kubaka pia shetani huyu,hutumika vile vile katika kuleta ufukara, hutumika pia katika kuwafanya wazee na watu wazima kuzini na watoto wadogo na huwafanya watu wawe na ashiki kupindukia lakini pia kubwa katika mambo anayoyafanya ni kuwaondolea wahanga hisia za kimapenzi na kumfanya mwanaume asiweze kusimamia uume barabara unakuwa umelegea na pia kuwaondoshea wanawake radha ya mapenzi na wengine huwafanya kukosa kabisa hamu ya mapenzi na kuwapa mvuto kwenye jinsia inayofanana nao,

Baadhi ya watu humuita popobawa kulingana na yale aliyoyafanya na wengine humuita jini mahaba kulingana na alichofanya wengine humuita majina wanayoyajua wao lakini wazungu hawa huwaita Succubi au Succubus yaani hiyo mmoja anakuwa ni dume na mwingine ni jike.

Yote kwa yote elewa ewe ndugu yangu kuwa viumbe hawa hawana wema kwa mtu zaidi ya kuweka nae mikataba ya uhakika kwamba atashindwa na kuweza kukosea masharti kisha lile analohitaji yeye kuanza kulifanya kwa muhusika,

WALIOATHIRIWA:
View attachment 1183764
Mara nyingi walioathiriwa na kiumbe huyu huwa wanakuwa wasiri sana kwa kuhofia fedheha kwenye jamii na pia wengi kati ya wao fedheha ikizidi huanza kutumbukia katika ulevi uliopindukia au kuvuta bangi na vinginevyo ili tu kuweza kuficha aibu aliyo nayo.


UTAJIJUA VIPI KAMA KAKUKUMBA:
watu wengi mara ya kwanza anapowakumba huwafanya au kuwaingilia au kushiriki nao kinyume na maumbile na pia huwafanya wahanga kuwa ni wenye kujificha sana na aibu hii hata kutafuta msaada kwa maana humtia aibu katika sura yake kuzungumzia jambo hili na kumjaza upepo wa mawazo kuwa yeye akisema au akitaka msaada ataonekana vipi hivyo anakuwa anacheza na akili ya muhusika,

Wengi huota wakifanya mapenzi na Mama zao au baba zao hata kaka au dada au mtu yeyote unaemuheshimu kama shangazi na wengineo.

Muhanga mwingine hujikuta akipitiwa tu na usingizi basi huota mwanamke anakuja na kuanza kumlazimisha au mwanaume wafanye nae mapenzi kinyume baada ya hapo muhusika huishiwa nguvu na kukubali kufanya au kufanyiwa, wengine huona kabisa kama kivuli live kikilazimisha kumuingilia sasa pale ambapo hata sema na kuhangaika kutafuta msaada wa hili basi kiumbe yule huanza kumfanyia hayo na kumshurutisha mambo mengine yaliyokuwa machafu na kumuadhiri mbele za watu na kumfanya ajihisi kuzalaulika na kuchukiwa bila sababu na humfanya kuwa ni mtu mwenye hasira za hovyo au mtu wa kulipuka hovyo, jazba zinakuwa karibu nae kwa muda mwingi.

Muhanga mwingine huyu humkumba na kumuotesha ndoto kuwa anawekewa vidole na watu sehemu hizo za siri na kumkusanyia kundi la watu ndotoni wakionyesha kumcheka na kumdhalau,

Muhanga mwingine huyu humkumba na kumfanya live hata watu wakawa wanaona kinachoendelea bila kumuona anayefanya na kuanza kuingiwa na hofu kubwa hapa wengine hufungiwa ndani kwa kuficha fedheha nje kwa watu na asijulikane kinachofanyika ndani.

zipo aina nyingi sana za huyu shetani zilizo mbaya na za aibu kabisa wengine pia huzijua waliokwisha kukutana na wahanga au wahanga wenyewe. hizi nimeweka chache tu, zingine ni kama kutekenywa sehemu za siri na kuzikwa sehemu za maziwa bila kumuona anaefanya hivyo na wengine kuingiziwa vidole bila kuona anayefanya hivyo live.

Haya ikiwa hayajakukuta au hujaona basi usidhalau na kupuuza kwa maana siku kinakutokea usione kitu kipya au usikutwe ukiwa hujui,

TIBA YAKE:
Katika maradhi ambayo huwashinda matabibu wengi ni haya ya mashetani hawa wa mahaba kwa maana hutakiwa tabia yule kufanya mawili kati ya haya:
1: Kufunga yule jini na kwenda kumtupa mbali(au kama kafanya mtu kumpa mwenyewe mzigo wake)
2: Kumuua yule shetani kwa maana si rahisi kumtoa kwa makubaliano aondoke/ukitaka kukubaliana nae ili aondoke utakiwa kufanya atakayo amuru anaweza kukwambia ushiriki jambo lolote la kishetani ili amuondokee(hadi kuweza kuzungumza nae imeshapita kazi kubwa.

Kundi la pili la kumsadia muhanga huyu:
Utatakiwa kumpeleka katika Misikiti au Makanisani na upate mtu ambaye anahofu ya mwenyezi Mungu au mwenye imani thabiti ya kiroho ndio anaweza kumsaidia huyo mtu kwa maombi, vinginevyo sehemu zingine basi huwa ni anatoka na kurudi au kumvaa yule anayemtibu na kuanza kumshughulikia yeye na inatakiwa busara kubwa sana katika kumuuguza mtu wa hivi vinginevyo yanatoka kwake yanakukuta wewe.

SABABU ZA KUMKUMBA MTU:
Zipo sababu nyingi za haya madudu kumkumba mtu hapa nitataja chache tu kwanza:
1: Kukaa na Shahawa muda mrefu
2: Kuchezea baharini nyakati za magharibi
3: Kuingia mkataba kwa ajili ya kupata mali
4: Kujichua au kujisaga maeneo ya chooni au maliwato Maarufu kama PUNYETO, (sio BAFUNI)
5: Kulala Uchi Huku mwili ukiwa na mafuta peke yako.
6: Kulala peke yako ukiwa nusu uchi huku umeweka marashi au air freshener bila kusali
7: Kulala huku kioo kikikuangalia upo uchi
8: Kufanya ngono kinyume
9: Kuchungulia watu wakifanya mapenzi
10: Kukojoa au kumwaga shahawa Baharini/kisimani/mtoni/ndani ya mbuyu
11: Kutupiwa jini huyu anakuwa katika mfumo wa popo bawa
View attachment 1183770

MAELEZO:

Hapo katika sababu nilizoainisha za kutolea maelezo ni mbili tu zingine zinaeleweka na makala za watu wengine zilishazieleza

1: Kukaa na Shahawa muda mrefu
Elewa ya kuwa viumbe hawa hupenda sana harufu ya shahawa na wanapoiskia wao huona raha ni kana kwamba ni kilevi hivi chenye kuwapa tulizo la akili zao.
Vile vile kwa watu ambao hukutwa na ndoto nyevu kisha aiamke basi wao hukimbilia kufyonza hizo mbegu mapema pindi zinapokuwa zimetoka kuwahi uhai ule wa mbegu ndio maana baadhi ya watu wengi huota wameshusha mbegu nyingi lakini akitizama kwenye shuka vinakuwa kama matone tu,

2: Kuingia mkataba kwa ajili ya kupata mali
Hapa mara nyingi mtu huyu huenda kutafuta jini ambaye atakuwa nae kimapenzi na ampe mali:
Sasa huko anakuwa kapewa masharti matatu: asinywe pombe, asivute sigara na asiwe na mwanamke tofauti na yeye huyo jini, au mwanaume tofauti na yeye, kwa muda atakuo kuwa kautaka yeye:
Hapo utaaambiwa usubiri usiku wa jumamosi saa sita usiku ikifika hiyo saa utatakiwa mazingira ya ndani kwako yawe safi na pia uchome udi saba kikiwa chumba kipo tupu kisha zikiisha udi hizo aingize kitanda ambacho atakuwa kakiandaa kiwe cha chuma kipakaliwe rangi nyeupe na nyeusi na kwa siri sana anachora picha ya nyoka aliyetoa ulimi nje, kisha baada ya hapo aweke shuka godoro atandike shuka nyeupe na pazia ziwe nyeupe na awe anagamba la nyoka kisha alichome moto abaki alivyozaliwa na mwili wake aupake mafuta yang'ae kisha ashikilie udi baada ya kuchoma gamba la nyoka kisha aseme maneno haya mara 7 (*******************************************)baada ya hapo utasema jinsia kwa sauti ya hisssssssssssss kama vile nyoka anasema akiwa kainama atakapoinua tu kichwa chake kuangalia kwenye mlango wa chumba hicho anachofanyia ujinga wake huu. atakutanisha macho yake na binti mrembo ambaye urembo wake kwa yeye muhanga ataona duniani hajawahi kutokea na vigezo vyote anavyotaka kuviona kwa binti mrembo au kijana mrembo ataviona kwa kiumbe huyo, atazungumza nae kisha atamwambia kila anachotaka na hata chelewa kwa muda anaotaka atakuwa kampatia, baada ya makubaliano atafanya nae ngono na kisha atamuachia kama ni pete au cheni ambayo atakaa nayo na atakuwa kakubali kuolewa na kiumbe huyo basi akimtaka popote saa yoyote atatakiwa asugue pete hiyo kwenye meno au kubusu na shetani huyo atatokea hapo hapo hata kama yeye atakuwa magharibi na jini huyo awe mashariki.
Na ukimuona mtu anafanya haya muonyeshe thread hii ajue anathubutu kudiriki na kitu gani.
baada ya hapo watu wengi hawaoni starehe zaidi ya hizi 3 sasa mwanzo wengi hujaribu na kuona ni rahisi vile kiumbe hicho hata ukiambie kikae umbile la nani kitajibadili na hata ukiambie kiigize sauti yake hakita kosea na kitakupenda sana ila sasa ukosee kikutie adabu. (Utamaliza waganga na waganguzi/maadamu ni maagano ulifanya mwenyewe hiyo ni zima yako) na ukitaka kukiondoa kinaondoka na vyote kilichokupa. wengine vikiwazoea huanza kuwaambia toka tu nje ya mapenzi hamna shida sasa mtu anavurugika taratibu anahisi anaishi na binadamu akiona anafoka hakajibu kanalia akifanya visa kana vumilia siku umefanya jambo nje ya makubaliano utaona cha mtema kuni

View attachment 1183769
Nikijaaliwa taongezea nyama kwenye thread hii kwa maana kuna mengi ya kufahamu.

KUMBUKA:
kila unapokaa muombe Mwenyezi Mungu akukinge na viumbe hivi maana vikikukumba kutoka huwa ni vigumu sana hadi upate mwenye maarifa navyo

kwa haya na mengineyo zaidi kwa undani tembelea!


Ikiwa una swali na upo nje ya forums:

tumia email hii rakimsspiritual@gmail.com
au namba ya mtu aliye karibu nami:

0626085437
Rakims
 
ndio mkuu hana tofauti na kuzini na mwanamke mwenye nuksi au mwanaume malaya! ni laana

Sasa na mie ambae nimekula sana malaya.. inakuwaje ? Maana toka nimeanza kula malaya wanafika 500.... sio nimeisha kabisa 🙈🙈🙈
 
Swadakta,
kawaida ya masharti ni kitu chochote chepesi kwa kufukirika lakini baadae huwa kigumu, anaweza kukuruhusu yote hayo lakini usitumie marashi!
RAHISI EEH!!!
hakuna sharti rahisi mkuu ukipewa sharti hili itakulazimu kuoga kwa siku mara 3 hadi 4

Rakims

La marashi jepesi kwa tusio na harufu. Sharti gumu akiniambia, niue, au nisisaidie jamii, nisile bata, au nisitee mademu hayo siyawezi kuyatimiza tutashinďwana dakika hiyo hiyo
 
Back
Top Bottom