Mjue kwa undani nabii TB Joshua

Mjue kwa undani nabii TB Joshua

Hata kanyari

angekuwa smart angemfikia huyu jamaa, ukiona kitabu kinatumika kirahisi kutapeli kitilie shaka, as a whole hakiwezi kutoka kwa Mungu.
 
Mtumishi wa mungu hauwezi ukamiliki ukwasi namna hiyo, auze mali zake awagaie wasiojieeza au atumie utajiri wake wote ajenge apartment kwa homeless kama alivyofanya Manny parciao.

Ni vigumu Tajiri kuingia ufalme wa mungu.
Haujawahi kuona misaada anayotoa?



Nabii TB Joshua.
Kutoka kwenye Moja ya account za mitandao ya kijamii zinazoendeshwa na huduma ya T.B Joshua zimewekwa Picha zinazomuonesha nabii Temitope Balogun Joshua au maarufu kama T.B. Joshua ambaye alizaliwa June 12, 1963 nchini Nigeria na amekua kiongozi wa kanisa kubwa nchini Nigeria lijulikanalo kama The Synagogue, Church of All Nations (SCOAN) ambapo kanisa hilo pia linaendesha kituo cha televisheni chan Emmannuel TV.
Mtumishi huyu wa MUNGU amehusika katika miujiza mingi na maelfu ya watu wamefunguliwa na kupokea uponyaji kutokana na huduma ya Nabii TB Joshua.

Moja ya Shule alikosomea TB Joshua.
Nabii T.B Joshua ametokea kujitwalia umaarufu sana katika nchi nyingi za Afrika na barani Ulaya na Asia kwa kutabiri mambo mbalimbali ambayo baadae yalikua yakitokea kweli na kuripotiwa na vyombo mbalimbali vikubwa na vinavyoheshimika Duniani.

Nyumbani kwako Tb Joshua, mahali alipozaliwa na kukulia.
Nabii T.B.Joshua amewahi kutunukiwa Nishani kama Officer of the Order of the Federal Republic (OFR) kutoka kwa serikali ya Nigeria mwaka 2008 na pia aliwahi kuchaguliwa kua mtu wa Karne toka kabila la Yoruba nchini Nigeria ambapo alipewa wadhifa huo toka taasisi ijulikanayo kama Pan-Yoruba media outlet Irohin-Odua

Nabii T.B Joshua alipokua na umri wa miaka 25
Nabii T.B. Joshua pia amewahi kutambulika kama moja ya watu 50 toka Afrika wenye nguvu ya Ushawishi kwa jamii wadhifa aliopewa na taasis ya Pan-African magazines na pia kumtaja kama moja ya watu maarufu sana Duniani

Nabii T.B Joshua alipokua na umri wa miaka 20
Amejulikana sana duniani kupitia mitandao ya kijamiii ambapo T.B. Joshua anatajwa kua na mashabiki wapatao Milion 1,na laki 5 kupitia akaunt ya Facebook na mamia ya video zake zilizopo kwenye mtandao wa Youtube baadhi ziliwahi kuleta utata sana duniani kutokana na utata wa mambo aliyowahi kutabiri na hatimaye kusababisha mamilion ya watu duniani kuzitafuta hizo video ili wazitazame kwenye mtandao.

Nabii T.B Joshua alipokua na umri wa miaka 17
Jarida maarufu la FORBES mwaka 2011 lilimtaja nabii T.B. Joshua kua anashikilia nafasi ya tatu katika wachungaji matajiri zaidi nchini Nigeria akiwa na utajiri unakadiriwa kufikia Dola za kimarekani Milion 10 mpaka 15 (US$ 10-15 million )

Moja ya mikutano ya injili ya TB Joshua huko Mexico
 
Hivi huyu ci ndo aliwatabiria magufur na lowasa kuwa wote watashinda kisha akamtabiria clinton ushindi au sio huyu alieshindwa kutabir waliko wale madem wa chibouk na si ndo huyu alishindwa kutabir kanisa lake likadondoka likaua watu yy akiwa bonden au
 
Huwa namkubali sana huyu mchungaji japo sijaokoka
Yaani comment yako inaonesha ni jinsi gani ulivyo na akili nzuri. Hongera sana, utamwona Mungu akikupigania na utashuhudia ukuu wake kwenye maisha yako.

Kuokoka ni neema, huwezi kulazimisha ila kwa kuwa Mungu anaangalia moyo wa mtu, ipo siku utamtumikia Mungu na utazidi kuona maajabu yake katika maisha yako.

Sikatai kuwa wapo watumishi wa Mungu waliojituma wenyewe kwa maslahi yao...ila kama kweli mtu ameamua moyoni mwake kumtumikia Mungu wa kweli...Mungu hawezi kumridhia kuabudu mahali ambapo huyo Mungu wa kweli hayupo.
 
Tunajifunza mengi toka kwa TB.Joshua
Ni mfano wa kuigwa kwa watumishi wa Mungu.
Yeye pia ni mwanadamu hajakamilika katika ubinadamu wake.
Ndio maana anaendelea kumwomba Mungu azidi kumwongoza katika haki.

Man of God Pray for me.
 
waafrika ni wajinga sana kuamini eti alikuwepo mtu anaitwa yesu halafu eti ni mkombozi wao!!!!!!!!
 
Mkinitajia baba yake wa kiroho yaani kama aliokoka je ? ilitokana na injili ya nani.
 
waafrika ni wajinga sana kuamini eti alikuwepo mtu anaitwa yesu halafu eti ni mkombozi wao!!!!!!!!
Kama kuna Mwafrika anayesema mkombozi wake ni yesu inawezekana asiwe makini
Anayeaminiwa kuwa ni mkombozi wa watu anaitwa Yesu Kristo na sio yesu kama ulivyoeleza.
 
WAle mnaomfahamu sana kuliko mwandishi, leteni vielelezo sahihi badala ya ubishi tu kama ule wa "Unabisha nini wakait Mange ametuambia". ambao ni plain upumbavue.

Wale mnaosema ni msanii, mtakuwa mnaijua sanaa vizuri. Kwa umaskini wenu wote huo, kila siku mnalalamika kukosekana kwa ajira, maisha magumu, huduma kwa destitutes hakuna, watoto na ninyi wengine hamna fedha za kwenda shule, hakuna kuingiza picha mara kupiga sanaa za kigeni, kwa nini msifanye sanaa kama ya TB Joshua ambayo inalipa sana? Bila shaka mnaweza Kwa nini msifanye sanaa ile ili mjipatie nayi fedha na wafuasi wengi namna ile? . FAnyeni sasa mjipatie mafwedha!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Kwa sanaa hiyo, anzishenii sanaa ya uponyaji ili muwe mnawapanga watu wenye kansa na matatizo ya kiroho muonyeshe wanafunguliwa na watu mailllion kwa mamilioni wawe wanaambizana kufake kwa sababu wanapenda kuhubiri sanaa zenu. Tena na sasa TB anahamia Israel, fanyni hiyo sanaa ili watu wawe wanasafiri kutoka duniani kote kuja kwenu kuwaungisha hayo maonyesho.

Wewe unayesema alitabiri unabii wa Clinton haukutumia, unajua Trump alpata kura ngapi za jumla juu ya Clinton? Anzisha na wewe unabii wako wenye tafsiri za ki philosophia za kibinsamau kama hadith ili uongee lugha ya binadamu moja kwa moja. Lakini huyu msanii wenu, anafutata kiongozi wake aliyempfa usannii ambaye pia hakueleweka na binadamu aliposema "ATALIVUNJA HEKALU ILILOJENGWA KWA MUDA MREFU SANA HAPO AWALI, HALAFU YEYE LIJENGE KWA MUDAWA SIKU TATU". Ikiwe yeye na bwana wake hawakuleweka na binadamu watumiao akili za kibinadamu, bila shaka wewe utaeleweka zaidi.

Muda mnaotumia kunena haya, bila shaka ungelikuwa na faida kwenu kama mngeutumia kuratibu hii sanaa yenu ambayo nmewaambia hapa. Vinginevyo ninaona rangi ya wivu na upumbavue.
Mkuu unabii sio lazima utumie. Tatizo la manabii wa siku hizi wanatabiri vitu amabvyo havijengi mwili wa kristo. Mfano anatabiri mshindi wa mechi ya mpira wa miguu ss hapo unajiuliza what adds in the Christianity.
 
Hakika ni Mtumishi wa Mungu huyu jamaa ...

He's Annointed
Kwa neno gani. Nyinyi mnampima mtumishi kwa vigezo gani ? Kwangu mm ni muhubiri mwenye hila tuu. Mtu anayeuza bangili za baraka, sijui making Mara matunda kwangu mm ni another form of witch craft. Huwa nampima sio nabii tu bali yeyote anayesimama kuhuburi ni jinsi gani anahubiri watu waache dhambi. Sio kusema Isee a woman sijui kafanyaje...Pray.....
Huko scoan wanaenda wanasiasa na watu mashuhuri wanaingia na kutoka na dhambi zao ibada haigusi dhambi zao ni utabiri tuu.
 
Tunajifunza mengi toka kwa TB.Joshua
Ni mfano wa kuigwa kwa watumishi wa Mungu.
Yeye pia ni mwanadamu hajakamilika katika ubinadamu wake.
Ndio maana anaendelea kumwomba Mungu azidi kumwongoza katika haki.

Man of God Pray for me.
Nadhani hawa watu wansidia sana kutuliza dunia na kuleta Amani uimwengui kwa mahubiri yao. Jengo lilibomoka kabla ya kulitabiria. What a great anomaly, Wenye imanituendelee kuaimini na msioamini tutawaombea waamini. Lakini mbinguni utaingia ukiwa na imani bila kuhoji , mfano Mtoto mdogo akiambiwa haquestion kwa mini.? Wakati huohuo tunaambiwa tuzijaribu sana roho hizo kama kweli ni zinatoka kwa Mungu
.BWANA WETU ALISEMA TAJIRI KUINGIA KWENYE UFALME WA MBINGU NI RAHISI NGAMIA KUINGIA TUNDU LA SINDANO. LAKINI VIONGOZI WETU WANAJIFANANISHA NA MFALME SULEIMAN WA AGANO LA KALE. Naomba mfano Wa kiongozi katika mitume wake au baada take aliyetajirika kupitia Dino ,hayupo. MAANA TUNAAMBIWA MUMEPEWA HIZO KARAMA NANYI MTOE BURE. Sasa huu utajiri kwani gunaishi agano LA kale? Tuelimishane maana ELIMU tunsazidiana .Ingawa kwenda MBINGUNI sidhani ni kwa hekima na busra tulizolblikiza Bali ni kwa neema yake MUNGU.

Mtumishi wa mungu hauwezi ukamiliki ukwasi namna hiyo, auze mali zake awagaie wasiojieeza au atumie utajiri wake wote ajenge apartment kwa homeless kama alivyofanya Manny parciao.

Ni vigumu Tajiri kuingia ufalme wa mungu.

Yaani comment yako inaonesha ni jinsi gani ulivyo na akili nzuri. Hongera sana, utamwona Mungu akikupigania na utashuhudia ukuu wake kwenye maisha yako.

Kuokoka ni neema, huwezi kulazimisha ila kwa kuwa Mungu anaangalia moyo wa mtu, ipo siku utamtumikia Mungu na utazidi kuona maajabu yake katika maisha yako.

Sikatai kuwa wapo watumishi wa Mungu waliojituma wenyewe kwa maslahi yao...ila kama kweli mtu ameamua moyoni mwake kumtumikia Mungu wa kweli...Mungu hawezi kumridhia kuabudu mahali ambapo huyo Mungu wa kweli hayupo.

waafrika ni wajinga sana kuamini eti alikuwepo mtu anaitwa yesu halafu eti ni mkombozi wao!!!!!!!!
 
Mimi sijui na siamini kama unabii wake nikutoka kwa Mungu MKUU ila ninacho amini unabii wake 99% unaukweli,na ukifuatilia kwa makini alipotabiri ikawa sivyo basi panakuwa na ukakasi wakupindisha mambo .Mfano kwa Trump na hapo Bongo kwa EL
 
Mtumishi wa mungu hauwezi ukamiliki ukwasi namna hiyo, auze mali zake awagaie wasiojieeza au atumie utajiri wake wote ajenge apartment kwa homeless kama alivyofanya Manny parciao.

Ni vigumu Tajiri kuingia ufalme wa mungu.
Unataka awe masikini? Kwa hiyo watu wa Mungu ni masikini? Una uhakika hana mchango wowote kwa masikini? Na unajua utajiri wake kaupataje?
By the way anawatibu masikini na tajiri wote. Huo ni mchango mkubwa na unatosha sana.
 
Nilikuwa na aleji kali sana kichwani, hospital nilipima nikatumia dawa. Zaidi ya miaka mitatu bila mafanikio.

Mwaka Jana nikiwa Moshi nikafuatilia maombi yake Kwa TV. Nikashika penye tatizo. Kweli tokea hapo nimepona.

Huwezi amini. But it's true.
 
Back
Top Bottom