Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,611
- 67,094
it went viral sanaMkuu hiyo video clip aliyotabiri hivyo unayo?
ebu kaichek you tube
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
it went viral sanaMkuu hiyo video clip aliyotabiri hivyo unayo?
Ujuaji............it went viral sana
ebu kaichek you tube
eehUjuaji............
taratibu mkuuuu hiyo ya lowasa umewahi kuisikia au umesimuliwa?Aliwatabiria ushindi katika chaguzi Clinton na Lowassa ikawa tofauti. Bila aibu akaja ktk sherehe za kuapishwa kwa mh.
My opinion, kula kona!Clue less. Period!
Wanampa wenyewe!mi mwenyewe naonaga kama mambo yake ana otea otea tu hivi, ila mwache apige hela
nataka kuwa Prophet piaWanampa wenyewe!
Mkuu unabii sio lazima utumie. Tatizo la manabii wa siku hizi wanatabiri vitu amabvyo havijengi mwili wa kristo. Mfano anatabiri mshindi wa mechi ya mpira wa miguu ss hapo unajiuliza what adds in the Christianity.
Kama sikosei utabiri wa Clinton kushinda haukuwa utabiri mbaya Kwani kilichotokea ni kweli alishinda kwa kura za wananchi lakini Wenye nchi wakaangalia vingine na kura za wachache zikaamua mshindi.Ni matakwa ya kibinadamu wachache kuamua mshindi.Ukija ya lowasa huwezi kusema alikosea utabiri wakati hakuna tume huru ya uchaguzi anaetawala ndie anaehesabu kura sasa unategemea nini hapo.Mwenyekiti wa chama kinachotetea urais ndie humteua mwenyekiti wa tume sasa hapa unatabiri kitu gani.Nadhani T.B Joshua hizi hakuzijua hizi situation mbili za nchi hizi mbili alizokosea kutabiri kwamba moja wachache wanauwezo wa kuchagua rais na nchi nyingine hata ukishinda kura zinaibwa.Aliwatabiria ushindi katika chaguzi Clinton na Lowassa ikawa tofauti. Bila aibu akaja ktk sherehe za kuapishwa kwa mh.
acha ujinga ndugu wewe,hakuna cha ukombozi kutoka kwa mtu ambaye hajawahi kuwepo,wametengeneza wazungu wakawadanganya,tatizo hawakuwa smart,ukiisoma biblia haikuchukui mistari mingi kujua kuwa ni uzushi waliotengeneza wazungu.Mkombozi na Mwokozi ni Yesu Kristo.
Kaaa kimya humjui huyu jamaa sio lazima uchagie kama humjui vzr TB Joshua tunaomjua tumekaa kimyaaaMtumishi wa mungu hauwezi ukamiliki ukwasi namna hiyo, auze mali zake awagaie wasiojieeza au atumie utajiri wake wote ajenge apartment kwa homeless kama alivyofanya Manny parciao.
Ni vigumu Tajiri kuingia ufalme wa mungu.
No alishinda kwa idadi ya kura Clinton akipat nying kulik trumpAlitabiri Clinton ata shinda ikawa hola
mpaka leo namuonaga ana tuibia tu.