Mjue kwa undani nabii TB Joshua

Mjue kwa undani nabii TB Joshua

Nilikuwa na aleji kali sana kichwani, hospital nilipima nikatumia dawa. Zaidi ya miaka mitatu bila mafanikio.

Mwaka Jana nikiwa Moshi nikafuatilia maombi yake Kwa TV. Nikashika penye tatizo. Kweli tokea hapo nimepona.

Huwezi amini. But it's true.
AMEN, AMEN, AMEN

Mimi naamini hilo as long as una Imani pia.

Mimi pia mwaka 2013 mwezi wa 7 pia nilipata muujiza mkubwa sana kupitia usomaji wa kitabu chake kidogo.

Pia nilipona kifua kilichonisumbua tangu utotoni katika semina ya Mwl. Mwakasege.
 
Nilikuwa na aleji kali sana kichwani, hospital nilipima nikatumia dawa. Zaidi ya miaka mitatu bila mafanikio.

Mwaka Jana nikiwa Moshi nikafuatilia maombi yake Kwa TV. Nikashika penye tatizo. Kweli tokea hapo nimepona.

Huwezi amini. But it's true.
aleji ndio nin?
 
AMEN, AMEN, AMEN

Mimi naamini hilo as long as una Imani pia.

Mimi pia mwaka 2013 mwezi wa 7 pia nilipata muujiza mkubwa sana kupitia usomaji wa kitabu chake kidogo.

Pia nilipona kifua kilichonisumbua tangu utotoni katika semina ya Mwl. Mwakasege.
acha uongo
 
Mtumishi wa mungu hauwezi ukamiliki ukwasi namna hiyo, auze mali zake awagaie wasiojieeza au atumie utajiri wake wote ajenge apartment kwa homeless kama alivyofanya Manny parciao.

Ni vigumu Tajiri kuingia ufalme wa mungu.
Ingekuwa hivyo basi ROMAN CATHOLIC (which is the richest organization in the world) au KKKT wasingekuwa na miradi ya kuingiza Pesa.
 
Mimi sijui na siamini kama unabii wake nikutoka kwa Mungu MKUU ila ninacho amini unabii wake 99% unaukweli,na ukifuatilia kwa makini alipotabiri ikawa sivyo basi panakuwa na ukakasi wakupindisha mambo .Mfano kwa Trump na hapo Bongo kwa EL

Mkuu unayo clip ambayo alimtabiria EL ushindi? Nitashukuru kama utaiweka hapa
 
Mkinitajia baba yake wa kiroho yaani kama aliokoka je ? ilitokana na injili ya nani.
Kuokoka kivipi?

Wokovu unatoka kwa Yesu Kristu au kwa baba wa kiroho?

Huo wokovu wa baba wa kiroho unauaminije kuliko wa Kristo?
 
History's ilikuwa inaanza vizuri ila imehaeibiwa na ubishi ulioingilia Kati Jamani tusipende kuwa wannabe wa kushana ,kama kitu au Mtu fulani humpendi kwanini uchangie mada zinazomhusu usiempenda huo si uungwana ,na ukemewe na watumiaji wa mitandao kwa nia njema ya kuhitaji kufahamu usiyofahamu
 
Alitabiri Clinton ata shinda ikawa hola
mpaka leo namuonaga ana tuibia tu.

Mzushi huyu mie roho ilikuwa nzito nilipoona anamiliki private jet sijui helicopter, mpiga hela tu huyu sijawahi kushawishika na mambo yake as ""nabii"""
 
Mtumishi wa mungu hauwezi ukamiliki ukwasi namna hiyo, auze mali zake awagaie wasiojieeza au atumie utajiri wake wote ajenge apartment kwa homeless kama alivyofanya Manny parciao.

Ni vigumu Tajiri kuingia ufalme wa mungu.
Mkuu umasikini,ufukara na unyonge sio sifa njema kwetu sisi wanadamu labda kama wewe u mfuasi wa Ccm hapo sawa...
 
He is really a Man of God, I assure you the world has not yet seen the wonders and miracles "the best is yet to come " the question is can we (you and I) overcome this perilous days??
 
Mkinitajia baba yake wa kiroho yaani kama aliokoka je ? ilitokana na injili ya nani.
alianza uinjilisti tangu yuko primary na secondary ya kanisa..
tb joshua ana historia ndefu katika uhudumu wa kanisa na hata kuzaliwa kwake kuna matukio si ya kawaida yalitokea.
ni mwalimu mzuri sana wa neno la mungu.sema tu watz wengi ngeli haipandi na pia ujinga ndomana wanaishia kuponda tu hawaeleweki...sababu hawamuelew.
how many prophesies he give every sunday to individuals kwenye misa wakati wa kuombea na wahusika wenyew wanakiri ni kweli?
nyie mmesoma tu utabir wa clinton na lowassa ambao chaguz zote zilichezewa rafu halafu mnakuja kuconclude ni muongo thn tapeli?
ni wagonjwa wangapi wameombewa live wakapona..bado tu hamlioni!
kama ndo akili zenu zipo hivi wakina mzee wa upako na gwajima acha wawafanye misukule yao na kufaid sadaka
 
Mzushi huyu mie roho ilikuwa nzito nilipoona anamiliki private jet sijui helicopter, mpiga hela tu huyu sijawahi kushawishika na mambo yake as ""nabii"""
mi mwenyewe naonaga kama mambo yake ana otea otea tu hivi, ila mwache apige hela
 
Back
Top Bottom