Mjue mmiliki halali wa Wasafi Tv

Kuhusu brand sijafatilia labda ulete link ya PROOF.

Hii yangu ni kutoka maktaba za TCRA.

Leta proof nifatilie tafadhali.

Maana majority shareholder ndio humiliki most of the company rights in big term.

#YNWA
 
Shabiki wa WCB wewe?

#YNWA

 
Duh! Hebu kazana angalau uwe na simu yenye option nyingi,we unakazania hisa nyingi za kina kusaga, mmjjiinnggaa sana we jamaa
Uwe unauliza man, usiwe unapayuka, sasa umeandika nini?

Hizi social media apps unaweza kulog in kupitia apps na web browser.

Na JF natumia web browser kwasababu ya notifications (app haitoi notifications).

Na social media nazotumia mimi ni whatsapp na JF tuuu.

Kwa simu na miliki Tecno Cammon 16 Pro.

Umenisikitisha kijana, usiwe unapayuka hivi, unaaibisha.

#YNWA
 
Inawezekana ukatumia app,na pia browser ili kwenye mapungufu ya huku ,unapata kule..

Unatumia tecno halafu unakazania shere za watu kwenye kampuni.

Upgrade your status first bro!!.tecno sio simu[emoji3][emoji3]
 
Inawezekana ukatumia app,na pia browser ili kwenye mapungufu ya huku ,unapata kule..

Unatumia tecno halafu unakazania shere za watu kwenye kampuni.

Upgrade your status first bro!!.tecno sio simu[emoji3][emoji3]
Because am Financialist then am minimalist.

Techno kwangu inatosha.

#YNWA
 
Maneno yote baada ya kusikia Tigo wamedhamini Wasafi festival,ila wafanyabiashara siku zote wanaangalia faida,so 45 si haba mzigo wa maana dogo anapata.

Haya maisha ni kushare kuna watu wanahela na hawana pakuziweka na kuikuza brand mpya ni kazi kubwa.Kuna redio zimekuja mpya zimefutika hazipo sababu brand yao sio maarufu.

So Diamond ana Brand ya Wasafi,Mke wa Kusaga anahela Kawekeza kupitia brand ya Wasafi ambayo inajulikana EA now kampuni imekuwa wanapiga hela ndio maisha hata Mark Zuckerburg hisa zake hazidi 25%,sioni cha ajabu Mondi kuwa na 45%.

David Mosha yule pale na hela zake kaanzisha radio mwisho wa siku ikamshinda kaachana nayo,husifanye masihala kutengeneza brand.
 
Kuhusu brand sijafatilia labda ulete link ya PROOF.

Hii yangu ni kutoka maktaba za TCRA.

Leta proof nifatilie tafadhali.

Maana majority shareholder ndio humiliki most of the company rights in big term.

#YNWA
"Leta proof nifatilie tafadhali."

Hapo utasubiria sana hio proof.
 
Usichokijua ni 'Mark Zuckerberg owns a minority of the fully diluted total shares outstanding, but a majority of the voting shares.'

Hopefully unaelewa kilichoandikwa hapo.
 
Mark ana miliki 25% na ndio high share percent
Ila mond sio majority shareholder then hana major rights.

Kuhusu brand inahitaji kuthibitishwa maana the major shareholder holds major rights of the company.

#YNWA
 
Kuhusu brand sijafatilia labda ulete link ya PROOF.

Hii yangu ni kutoka maktaba za TCRA.

Leta proof nifatilie tafadhali.

Maana majority shareholder ndio humiliki most of the company rights in big term.

#YNWA
 
Usichokijua ni 'Mark Zuckerberg owns a minority of the fully diluted total shares outstanding, but a majority of the voting shares.'

Hopefully unaelewa kilichoandikwa hapo.
Umeongea kikubwaa sanaa bro.
Wasipoelewa hapa Basi tena.

#YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…