Mjue Peter Mollel Gumbo aka Pierre Konki Mzee wa Liquid ambaye wengi hawafahamu vizuri

Peter Mollel, anaweza kuwa Mwarusha hakuna Mmeru mwenye jina Mollel
 
Congo matatizo yao yanasababishwa na Taifa la marekani lina migodi yake kule wanachimba madini ya kutengenezea simu na nyukria na madini mengine mengi marekani ana i destablelize congo ili aendelee kuiba na kwa taarifa yako PIERE alipata division 3 form four TOKOMEZA ZERO
 
Mr. Zero alifikiri wanamtokomeza yeye.

Mr. Zero alifikiri wanamtokomeza yeye.
Asante kwa kunikumbusha ,kumbe ndo maana Bashite alikuwa anafoka vile, Jokate hakumaanishe kumtokomeza yeye aliposema ana kampeni ya kutokomeza zero na alieleza vizuri tu kwa wale tuliokuwepo. Duuh asante kwa kunifunua mawazo. sasa bifu lake na liquid limeisha kwa liquid kupanda ndege kwenda kuishangilia Taifa stars. Liquid juu juu juu juu zaidi, wale tunaokabidhiwa daladala tuziongoze bila leseni wala vyeti chini chini chini zaidi
 
Cv ya nini
Ushaambiwa yeye ni mzee wa gambe na siku hizi hapatikani kirahisi pale liquid kutokana na ratiba kumbana na mialiko kedekede.
 
Main slogans; Chiiii ......,everybody say yeeaah....,hatabaki kuwa juuu .......,ramba lolo and more

Official ambassador;viatel company(halotel)..

|ChatBot[emoji880]✓|[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…