Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hataki kukurupuka!Hataki kuoa kwa kukurupuka asije akajuta badae..
Hyo badae ni ipi? yan @42 still kuna badae
Sent using iPhone XS Max
Osha makalio ulale. Huna lolote unalojua.
Haha kufanya nini huko !?watu na elimu zetu hata Kenya hatupati visa... pieree anaelekea Dallas , Texas next week
Tatizo lako unaishi kwenye kizazi cha kipuuzi ambacho kinaamini katika ujinga na upuuzi.Fala wewe wewe unajua Nini marioo wewe wivu was kingese unaleta jf utakuwa na genes za kike ngoja tukutafutie kungwi ufundwe mamaae zako
Hilo Nalo linawezekana pia...Maana nchi hii kwa matukio haijamboUtakuta ni mzee wa kaunda suti!
Yupo kwenye mission impossible kuelekea 2020 as shika did!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii imenigusa sana, watu wa maana hawapewi visa aisee eti Piere anaenda USA daaawatu na elimu zetu hata Kenya hatupati visa... pieree anaelekea Dallas , Texas next week
Kweli kabisa mkuu haina tofauti baadhi yetu kumshabikia lissu kwa upuuzi wa kuchafua kwa makusudi taifa lake au vijana wa ufipa kufurahia serikali kufeli mipango yake au kilawakisikia ajali ya ndege wanaombea iwe Air Tanzania.Eti huyo naye 'celebrity'. Tanzania tunapenda kutoa coverage kwa vitu vya kupuuzi kweli.
Yes ni kweli mkuu, watu wana roho m'bayaWabongo chuki zimeshaaanza!
Konki liquid saivi watu wameanza kummaindi wakati yeye hana shida na mtu
Hamna watu wa maana wala NN , tatizo bongo mtu akashakua na degree basi anaona wengine wasionazo hawastahili Kula shavuHii imenigusa sana, watu wa maana hawapewi visa aisee eti Piere anaenda USA daaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Masuala ya kisiasa yanaweza kupata 'coverage kwenye media' maana hugusa masilahi ya taifa au kundi kubwa la watu ila hii ya kuibuka mlevi mmoja mpiga kelele na kupewa attention ni upuuzi tu.Kweli kabisa mkuu haina tofauti baadhi yetu kumshabikia lissu kwa upuuzi wa kuchafua kwa makusudi taifa lake au vijana wa ufipa kufurahia serikali kufeli mipango yake au kilawakisikia ajali ya ndege wanaombea iwe Air Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kwenye visa pale US EMBASSY akihojiwa atasemaje kuhusu nia ya trip yake to USA!! Lakini nadhani ni easy, kaenda Hamisa kwenda kudanga USA kwa nini wamnyime Pierre.Hii imenigusa sana, watu wa maana hawapewi visa aisee eti Piere anaenda USA daaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kwenye visa pale US EMBASSY akihojiwa atasemaje kuhusu nia ya trip yake to USA!! Lakini nadhani ni easy, kaenda Hamisa kwenda kudanga USA kwa nini wamnyime Pierre.
Mhudumu ongeza tatu hapa, pengine naweza fika hata Lubumbashi huko!!
Unamwonea wivu mwanaume mwenzio best punguza povu mbona wewe unatumia carolyte watu wamekausha tu mwacheni konki atusue maisha Ni kuachiana gap, mastaa wengi wametangulia huoni gap lipo wazi? Wabongo nomaAngalia sana huyo kiumbe unayemtukuza atawarubuni kingono familia nzima.
Naona mwili wako umewaka tamaa ya mapenzi kwa huyo mlevi.
usa haendi embassy kuomba visa kama yeye...
yeye anaalikwa tu... anapeleka invitation letter pale embassy... wana i verify kisha wanamgongea visa..
hivi unafikiri kina diamond wanaomba visa.. kama wabeba ma box wanaoenda saka life ?
piere kaalikwa na watanzania walevi wa texas.. washamuombea visa moja moja kwenye barua yao ya mwaliko[/QUOTE
Nasema hivi kwa sababu nimewahi kwenda USA kwa mwaliko wa UN, lakini usumbufu niliopata na maswali ilikuwa balaaa. Na nakumbuka watu kibao ni mialiko yao walinywa visa
Naae
Nasema hivi kwa sababu niliwahi kwenda USA kwa mwaliko wa UN lakini usumbufu niliopata ni balaa. Nakumbuka pia watu kibao na mialiko yao siku ya majibu walinywa nisausa haendi embassy kuomba visa kama yeye...
yeye anaalikwa tu... anapeleka invitation letter pale embassy... wana i verify kisha wanamgongea visa..
hivi unafikiri kina diamond wanaomba visa.. kama wabeba ma box wanaoenda saka life ?
piere kaalikwa na watanzania walevi wa texas.. washamuombea visa moja moja kwenye barua yao ya mwaliko