Mjue Peter Mollel Gumbo aka Pierre Konki Mzee wa Liquid ambaye wengi hawafahamu vizuri

Mjue Peter Mollel Gumbo aka Pierre Konki Mzee wa Liquid ambaye wengi hawafahamu vizuri

Unamwonea wivu mwanaume mwenzio best punguza povu mbona wewe unatumia carolyte watu wamekausha tu mwacheni konki atusue maisha Ni kuachiana gap, mastaa wengi wametangulia huoni gap lipo wazi? Wabongo noma
Ujue sifa za wanaume usidhani kila mwenye uume ni mwanaume. Huyo mvulana jifananishe naye siyo kunifananisha na wavulana.

Unanikosea mimi kama MWANAUME.
 
Angalia sana huyo kiumbe unayemtukuza atawarubuni kingono familia nzima.

Naona mwili wako umewaka tamaa ya mapenzi kwa huyo mlevi.
Mimi nakuona choko mjomba mjomba tu sina njaa Wala shobo mi nakuona wewe wa kuunga unga Fulani ndo maana una wivu wa kingese Kila mtu na mbinu zake za kutoboa njoo nikupe digger uchimbe jiwe hapa block 3 melerani upunguze stress maana naona povu jingi
 
Mimi nakuona choko mjomba mjomba tu sina njaa Wala shobo mi nakuona wewe wa kuunga unga Fulani ndo maana una wivu wa kingese Kila mtu na mbinu zake za kutoboa njoo nikupe digger uchimbe jiwe hapa block 3 melerani upunguze stress maana naona povu jingi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Fisi maji unadhani kila mmoja anaishi kwa njia uliyochagua?

Usiishi kishamba wewe nguruwe wa kipalestina.
 
Halafu huyo piere ana bahati sna muacheni atusue tu alishaanguka na ghorofa keko kutoka ghorofa ya 5 kashuka nalo mpaka chini na hakuchunika hotel ilikuwa inaitwa chang'ombe village wala hajaruka alikuwa floor ya juu kabisa.

Hahahahahaha. Duuu!
 
Mimi Sina njaa nimekwambia njoo block 3 merelani nikupe kibarua sitegemei Mei mosi mukulu sijui aongeze elfu 10 Nina yangu we endelea na carolyte dada zako hawakushangai kugombea dressing table?
Nenda ufie huko matopeni tukupe 'coverage' na wewe.
 
Huyu ndio wa kwenye lile tangazo la Halotel tomato au?, nkiwaza 42 NO mke NO mtoto na lile tangazo la kishoga shoga siulizi napigia tu mstari chwaaaa _______


VIIXCCCL GrandLodge,ARUSHA
 
Hivi kwenye visa pale US EMBASSY akihojiwa atasemaje kuhusu nia ya trip yake to USA!! Lakini nadhani ni easy, kaenda Hamisa kwenda kudanga USA kwa nini wamnyime Pierre.

Mhudumu ongeza tatu hapa, pengine naweza fika hata Lubumbashi huko!!
Pierre ni rahisi kupata , ni comedian na MC , Kwa hiyo atasema anashow US , unajua Pierre ni comedian mzuri kuliko comedians wengi WA bongo
 
Back
Top Bottom