MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Chiiiiiiiii ...ileee inapaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila hapo kwamba kila akialikwa analiowa Mil 3 arudie hesabu yake vizuri.
Hizi code unazotupa mkuu sijui kama tutazifungua week hii kunani huko Dallas anaenda kama nani?Juzi aliitwa kwenye radio moja huko kenya,Kesho kutwa anaenda Dallas dah kila na mtu na bahati
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kichwa chake eeeh 100%Mbona kama ana element za Bakteria wanaosababisha ZIKA
Hata mimi hainiingi kichwani labda 300k sio M usawa huu wa anko hamna [emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo jamaa muongo muongo sana.Konki Liquid. Pierre. Mama nakufa. Chii. Ni utambulisho wa mwanamume aliyeishika mitandao ya kijamii wakati huu.
Huyu ni Peter Mollel aliyejizolea umaarufu baada ya video iliyomuonyesha akisema “mama nakufa” kuzagaa mitandaoni mwishoni mwa mwaka jana.
Leo Machi 13, 2019 ametembelea ofisi za kampuni ya Mwananchi na kufunguka mengi kuhusu maisha, umaarufu na mipango yake ya baadaye.
Pamoja na wengi kumfahamu kwa video hizo zinazomuonyesha akiwa kwenye vilabu vya usiku na baa, Pierre anasema yeye si mlevi kama wengi wanavyomtambua.
“Kuna mtu aliandika katika mitandao ya kijamii akisema mimi ni mlevi wa taifa, hilo halina ukweli wowote kwa kuwa nina shughuli zangu na huwa nakunywa baada ya mambo mengine, angeniita mnywaji angepatia,” amesema Pierre huku akitabasamu.
“Mimi kama hamjui nina ofisi ya kuuza samani pale Keko na sofa moja nauza kuanzia Sh3 milioni, meza Sh1.2 milioni . Umaarufu pia umeniongezea chanzo kingine cha mapato. Katika shoo moja nalipwa hadi Sh3 milioni kwa usiku mmoja,” amesema Pierre.
Alipoulizwa kuhusu familia, Pierre mwenye umri wa miaka 42 amesema hajaoa na hana mtoto na kueleza kwamba katika suala la ndoa hataki kukurupuka na kuja kujutia baadaye.
Wakati kwa upande wa ratiba yake ya kila siku, amesema huwa mara nyingi analala saa tisa usiku na kuamka saa nne asubuhi na jambo la kwanza analofanya ni kusali kwani anaamini Mungu ndio kila kitu pamoja na kwamba kwake starehe ni kila siku.View attachment 1044853
Sent using Jamii Forums mobile app
Ana mchango kwani anakukumbusha sio lazima uajiriwe ulipwe laki tatu wakati unaweza kujiajiri ukapata zaidi ya hizo Kwa kutumia kipaji chako , fire waist fire waist fire waist , it's Okey OkeyYani Kama kuna watu wapepata umaarufu wa kipumbavu na kwa njia ya Shetani basi Konk Liquid anachukua nafasi # 1
Hivi sisi tukiwa kama Taifa la vijana huyo jamaa anamchango gani kwetu zaidi ya kuharibu tu mentality za vijana wenzetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli, Nilimshuhudia kwa macho yangu mawili, akidondoka na lile gholofa. Pia namjua.Halafu huyo piere ana bahati sna muacheni atusue tu alishaanguka na ghorofa keko kutoka ghorofa ya 5 kashuka nalo mpaka chini na hakuchunika hotel ilikuwa inaitwa chang'ombe village wala hajaruka alikuwa floor ya juu kabisa.
Huyo ni fundi seremala mzuri tu...anachonga fenicha vizuri sana maeneo ya Keko maghorofani hapo.
Utaskia yuko Ubelgiji kwa babaake Tundu Lissu👀Yaani tunapenda kusikia habari za kipuuzi sana.
Dah...eti halafu akaja kuruka kutoka juu ya meza tu akavunjika mguu....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Halafu huyo piere ana bahati sna muacheni atusue tu alishaanguka na ghorofa keko kutoka ghorofa ya 5 kashuka nalo mpaka chini na hakuchunika hotel ilikuwa inaitwa chang'ombe village wala hajaruka alikuwa floor ya juu kabisa.
Unamkumbuka Dr. Shika? Huyu naye atapotea muda si mrefuEti huyo naye 'celebrity'. Tanzania tunapenda kutoa coverage kwa vitu vya kupuuzi kweli.
mkuu hiyo ni traditional marketing strategy..yaani akisema mil3 inakufanya ukitaka kumfuata ujifkirie Mara mbili..kama ulipanga ukampe 100000 ..unajiongeza mwenyew uko ulipo ..zle anyway ntampa 300000 hawez kataa.Ila hapo kwamba kila akialikwa analiowa Mil 3 arudie hesabu yake vizuri.