Mjue Peter Mollel Gumbo aka Pierre Konki Mzee wa Liquid ambaye wengi hawafahamu vizuri

uzi tayari!!???? yaani uandishi kama huu ni shida..
 
Aisee [emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uswahilini anauza sofa 1 milion 3 au nmesoma vibaya
 
Nimesoma humu nimeona namna gani baadhi ya watz wanajidai wajuaji kumbe ni hopeless kabisa. Dunia ya sasa kutengeneza pesa ni first priority na how hapa ndio waafrika bado tumelala. Somo la marketing ni muhimu kwa wengi humu.
 
Jamaa ni fundi Selemara huyo na sio mzululaji.
Jioni ndio unaweza kumkuta pale Sigara au Giraffe au Liquid akipumzika baada ya kazi za mchana kutwa.
Mimi namfaham kabla hajadondoka na gholofa la Chang'ombe Village.
Alipata tenda ya kufunga milango kwenye hilo gholofa.
Msidhanie hana fani na kuwa ni Mlevi tu.
Huyo ni Star
Msimchukulie Poa.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha...ha...ha
Ni kweli, ukikaa na huyu mjamaa ni tabasamu tu. Ukimwangalia unaflahi, hiyo ni fani pia.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ndiyo hivyo mkuu, kuna kitu pia ukikaa naye au ulimwangalia unaweza kujifunza.

He is very positive, anayafurahia maisha yake tu, hana taarifa na mtu.

Na nzuri zaidi anafanya watu wanaomwangalia wapate furaha, na haigizi, inatokea moyoni kabisa.
 
Kila mtu ana talanta yake! Haiwezekani wote wakawa wasanii, ma professor, doctor nk. Hata Yule aliyeokoa mtoto ufaransa ghafla alikuwa maarufu na akapata uraia wa ufaransa. Kila mtu ana namna yake ya kutokea!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…