Mjue Peter Mollel Gumbo aka Pierre Konki Mzee wa Liquid ambaye wengi hawafahamu vizuri

Nchi imekuwa ya watu wapumbavu watupu, huyu naye atapandikiza mawazo ya kipumbavu kwa watoto wetu na watamuona wa maana. Alianza Shika, sasa tunaye huyu.
 
Eti huyo naye 'celebrity'. Tanzania tunapenda kutoa coverage kwa vitu vya kupuuzi kweli.
Hapana nadhani wewe ni mshamba, hakuna watu wanaongoza kutoa coverage kwa vitu vya kipuuzi kama wazungu, nadhani haufuatilii media za nje huko ndiyo maana umendika pumba ukidhani ni kitu cha maana, pia acha wivu kwa konki liquid..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leta upumbavu wako tukupe coverage na wewe.
 
Lofa anaamuka saa nne wakati bilionea Dangote analala masaa 4 tu,halafu baadae ataomba tumchangie kwani kafanye mengi kuitangaza Tanzania.
 
Peter Mollel maarufu kama pierre gumbo au liquid alishawai kusema yeye sio mlevi ni mnywaji na huwa ana biashara zake anazifanya na jioni huwa anaenda kunywa pombe.

Kwenye clip zinazosambaa sijawai kuona akifanya mambo ya ajabu wanayofanya walevi kama kutukana ama kuleta vurugu au kugombana na mtu

Baada ya kupata umaarufu clip video zinazomuonesha akinywa pombe zimekuwa hazipo na huwa anahojiwa au akifanya matangazo yake bila kunywa pombe

Kutoka kwenye video za kunywa pombe mpaka kwenye video za matangazo interview na media kubwa kukutana na watu maarufu ni hatua kubwa
 
Ni Kweli kabisa.
Mimi namfahamu vizuri Piere, hajawahi kuwa Mlevi.
Ni mtu amayejiheshimu na kuheshimu watu.
Ndio maana nayeye anaheshimiwa na watu.
Madikteta hawataki watu wengine waheshimiwe.
WAKUHESHIMIWA NI WAO TU NA NI LAZIMA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…