luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
ukimwi ulimpukutishaHaswa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukimwi ulimpukutishaHaswa.
Wamba dia wambaHuyo wamba dia sijawahi msikia lakini unaeza dondosha nondo kumuhusu
Afu vipi jamaa anasemaje kuhusu watoto wa kongolu wako wapi ?
Bado yuko dar ,maeneo ya mikocheni bWamba alikua ni Prof UDSM ila alikua mpinzani wa Mobutu, yeye na Kabila walipewa hifadhi hapa
Alihusika kuandaa katiba ya nchiOoh. Kabila hakumpa cheo chochote ?
Kundi lake lilijiunga na Jeshi la serikaliAliendelea kuwa mpinzani aliongoza kundi la waasi la RCD kipindi cha Kabila
yupo hai,?Kweli kabisa ila cha kusikitisha ndoa ile ilikufa alafu bwana harusi akaandika kitabu cha kutoa siri za baba mkwe wake
Bwana harusi anaitwa pierre jansen
yupo wapi ? na je hizo Mali bado zipo?Mkuu ya kweli hayo ? Mbona hujamdai mke wake mpaka sasa yupo
Wanaeza jua.sababu wengine walisomea canadatatizo lugha sidhani Kama watajuA English
Dah.hivo hivo tu mkuu ntakuvumilia[emoji23]Haaahaaa...basi namjibia sijatulia hata[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwa sasa sijui.ila mara ya mwisho nilimuona kwenye documentary ya mobutuyupo hai,?
Yupo ufaransa.kuhusu mali sijajua. Ila anafanya shughuli za kijamii kama kutoa elimu juu ya ukimwiyupo wapi ? na je hizo Mali bado zipo?
Mali nyingi zilizokua Congo zilitaifishwamkuu lucas mobutu je kwasasA hizo Mali zA kongulu zipo?
duh kumbe walipiga kitabuWanaeza jua.sababu wengine walisomea canada
nAam kongulu kutoka koromijeLeo hii nasi tunae Kongolu
nAam kongulu kutoka koromijeLeo hii nasi tunae Kongolu
duh yy aliponajeYupo ufaransa.kuhusu mali sijajua. Ila anafanya shughuli za kijamii kama kutoa elimu juu ya ukimwi
Niliona video youtube anadai ukimwi uliua watu aliowapenda
HahahahaLeo hii nasi tunae Kongolu
Ndio.wengi walikua na degree za nje ya nchiduh kumbe walipiga kitabu
Ni mwafrika,ana watoto zaidi ya 3 .saivi watakua hata wameoaduh yy aliponaje
ni mwAfrica au
je ana watoto?
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]Ahsante Papaa...!
Hata mimi pia nilijaribu kumzungumzia mtu mmoja maarufu sana na muhimu sana kwa JB mwansiasa anaitwa Adam Bombole...!!
Kama una information zake pia tuongezee kutujuzaa....