Mjue the world president under freemasonry and illuminati to supress the third eye of human being


Amini usiamini..
 
hii ni wake up call....kama hata sisi tumeweza kuzijua hizi siri zao ujue hawana nguvu tena, iliyobaki waafrica tuamke tuwe na mbinu zetu wenyewe...hata kwenye biblia ina kwambia katika UFUNUO WA YOHANA 21;1 then I saw a new heaven and a new earth, for the old heaven and the old earth had disappeared!....
hakuna wa kushindana na MWENYE ENZI MUNGU!
 
Naungana na mleta Mada, na kama kuna mtu anabishaa aende Google, andika " the black pope" afu utaona nn kitatoke.
Akili yako yote unashikiwa na google, taifa la wasomi lilishakuisha.

Umeshindwa hata kufikiri kwamba mleta maada naye katoa huko huko Google ambako mtu mmoja mwenye itikadi za kisabato ndo kaipost huko.

Idle mind
 
Mnaiitaje siri wakati tayar nyie mnaijua?

This is nonsense!
 
Safi sana mkuu..yan watu wawaelewi kinachoendelea juu ya mafanikio hayo makubwa ya taasis hizo kama JESUIT ...ukitaka kuelewa juu ya hayo mambo jaribu kuanzisha taasisi kubwa bila kutumia nguvu yao uone kama utafika mbalibau laaa....
Kwa hiyo taasisi zote kubwa zinaendeshwa kwa misingi ya JESUIT?

Unataka kutuambia hata taasisi zingine kubwa za kiislam zipo chini ya JESUIT?

Huu ni ujinga uliotukuka!
 
Sidhan kama kuna haja ya kutumia mwamvuli wa kujiita M-rc katika kuyasemea haya. Rc's do not write this shit on wall, just mention who sent you brat.
 
Una maanisha alifufuka?
 
Naomba source ya taarifa yako kama sio hadithi za Shaaban Robeet
 
"Petro wewe ni mwamba na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu na halitotikisika milele daima" Mnapambana na kanisa ambalo hamtaweza kulishinda,MOJA,TAKATIFU,KATOLIKI LA MITUME,hakuna mtu amewahi lishinda kanisa katoliki,SIO MARTIN LUTHER, KING HENRY AU HELLEN WHITE, so ni kupoteza muda tu hapa kujadili kabisa la Yesu
 
Nabii fake wa wasabato helen white aliona eti waadventista wakienda mbinguni kwa akili zake anafikiri wasabato ndio wataenda mbinguni tu
 
Kweli waenga wetu walikua na akili sana na kumbuka ule msemo wa "usilo lijua ni sawa na usiku wa giza" cjui hawa wenga akili walzichukua zote hata hawajatuachia kidogo na sisi tufikirie.
 
Hao Fesuit Fathers wanao ongelewa ndo hawa tunaowajua au kuna wengine? mleta mada kuchanganya chumvi na binzari unataka upate nini? au kuongeza post/
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…