Mine eyes
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 6,496
- 7,162
Mkuu,your logic makes sense lakini nikuambie tu ni kuwa,mipango hii haikuanza jana kutawala ulimwengu. Kwahio usikurupuke.
Hebu angalia kuhusu magonjwa,vyakula,nk. Sasa hvi hata Tanzania inataka kugeuka jangwa unadhani ni bahati mbaya?
Wanataka kuhakikisha kuwa watu wanapungua kwa kutumia chakula na magonjwa kawanza then vita. Oh yeah,vitu vingi vinaonekana ni normal sana aise
Amini usiamini..