Mjue the world president under freemasonry and illuminati to supress the third eye of human being

Mjue the world president under freemasonry and illuminati to supress the third eye of human being

Mkuu,your logic makes sense lakini nikuambie tu ni kuwa,mipango hii haikuanza jana kutawala ulimwengu. Kwahio usikurupuke.

Hebu angalia kuhusu magonjwa,vyakula,nk. Sasa hvi hata Tanzania inataka kugeuka jangwa unadhani ni bahati mbaya?
Wanataka kuhakikisha kuwa watu wanapungua kwa kutumia chakula na magonjwa kawanza then vita. Oh yeah,vitu vingi vinaonekana ni normal sana aise

Amini usiamini..
 
ha ha...
kama ndo hivyo basi huyo mungu hana chake..!!

kama roma ndo wanafanya hayo yote basi hata biblia nazani ni mpango wao,ila sasa wanataka kututoa stage fulani kwenda stage nyengine.
Vipi sasa kwa mungu anaehubiriwa kila siku na hili analifumbia macho..?
Ama anapenda kuona matukio haya wakati anauwezo wa kusaidia..?
hii ni wake up call....kama hata sisi tumeweza kuzijua hizi siri zao ujue hawana nguvu tena, iliyobaki waafrica tuamke tuwe na mbinu zetu wenyewe...hata kwenye biblia ina kwambia katika UFUNUO WA YOHANA 21;1 then I saw a new heaven and a new earth, for the old heaven and the old earth had disappeared!....
hakuna wa kushindana na MWENYE ENZI MUNGU!
 
Naungana na mleta Mada, na kama kuna mtu anabishaa aende Google, andika " the black pope" afu utaona nn kitatoke.
Akili yako yote unashikiwa na google, taifa la wasomi lilishakuisha.

Umeshindwa hata kufikiri kwamba mleta maada naye katoa huko huko Google ambako mtu mmoja mwenye itikadi za kisabato ndo kaipost huko.

Idle mind
 
Jamaa wanaoparate mambo yao kwa siri mnoo kiasi kwamba mpaka mje mfahamu tayari mlishaathirika wengi. "SECRET SOCIETY" Si jamii ya kawaida kama mtu anavyodhani.... na si kama siri ya wewe na rafiki yako mnaweza kuagana kuingia pasi na mtu yeyote kuijua.... ni zaidi ya jamii ya siri. We elewa hivyo.
Mnaiitaje siri wakati tayar nyie mnaijua?

This is nonsense!
 
Safi sana mkuu..yan watu wawaelewi kinachoendelea juu ya mafanikio hayo makubwa ya taasis hizo kama JESUIT ...ukitaka kuelewa juu ya hayo mambo jaribu kuanzisha taasisi kubwa bila kutumia nguvu yao uone kama utafika mbalibau laaa....
Kwa hiyo taasisi zote kubwa zinaendeshwa kwa misingi ya JESUIT?

Unataka kutuambia hata taasisi zingine kubwa za kiislam zipo chini ya JESUIT?

Huu ni ujinga uliotukuka!
 
Wew ndo panya..make hujui dunia inavokwenda..kwa taarifa yako mim ni mkatoriki tena haswaaaah....niulize nikupe ukweli wa mambo yaliyomo ndio utajua vizur..usidhan kila mtoa maada ni msabato...watu wanatoa vitu kulingana na imani zao na jinsi walivoyajua mambo mazito yaliyomo..

Mbimguni hutaenda kwa ajili ya dini ila iman uliyonayo juu ya mambo aliyokuamuru mungu ufanye n ufuate dhidi ya ysle uliyokemewa kutoyatii na kuyafuata..
Tatizo bado mna imani potofu juu ya kwenda mbinguni na dini zenu..

Dini is nothind at all if you know what your faith believe...
Be carefull zijue nyakat na sio kwenda kwenda tu..
Utakuja kujua ukweli wa haya mambo too laite ila wenyew kujua kutumia upeo wa jicho lao la tatu tayar wanaona mbali na wanamwomba mungu awaepushe na kikombe cha adhabu ya badae we umekalia kusali na ibilisi ubavuni..

Au unahuruma sana na kanisa katorik kisa linakulea kwa misingi ya kinafiki we unaona linatenda haki et eeee...
Lait ungejua lipo kiuchumi tu na sio kiimani kama unavojua wew...
Ni ngumu kuamini kwa ndezi kama nyie mpaka mpgwe chapa ya mnyama laivu ndo utaamini..
Sidhan kama kuna haja ya kutumia mwamvuli wa kujiita M-rc katika kuyasemea haya. Rc's do not write this shit on wall, just mention who sent you brat.
 
Kuna Audio ninayo ya Mchungaji mmoja wa Nigeria alipata neema alikufa na kwenda mbinguni pamoja na kuzimu na kuona hali ilivyokule. (audio iko in swahili language). Kule anakutana na Bwana Yesu, Maria mama wa Yesu, Ibrahim, Malaika n.k Pia anakutana na watumishi wa Mungu aliekua anawajua duniani wengine alishiriki mazishi yao anashangaa kuwakuta kuzimu. Ukiisikiliza itakubadilisha sana na kukupa taswira kubwa zaidi kuhusu maisha baada ya kifo. Kwa yoyote ambae atapenda nimtumie kwa njia ya Whatsapp anicheki 0714883861 nitatuma.
Una maanisha alifufuka?
 
g

Kwenye BIBLIA nakukatalia kabisa.
Romani Catholic wamepambana kuficha ukweli wa BIBLIA.
Wamediliki hata kuchoma wahubiri moto na kuwakata vichwa ili neno la Mungu lisosambae duniani!!
Lakini kwa nguvu za Mungu aliye hai hata siri zao sasa zinafichuka!!
Hilo ni somo zuri uzijue siri za kishetani!!
Naomba source ya taarifa yako kama sio hadithi za Shaaban Robeet
 
"Petro wewe ni mwamba na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu na halitotikisika milele daima" Mnapambana na kanisa ambalo hamtaweza kulishinda,MOJA,TAKATIFU,KATOLIKI LA MITUME,hakuna mtu amewahi lishinda kanisa katoliki,SIO MARTIN LUTHER, KING HENRY AU HELLEN WHITE, so ni kupoteza muda tu hapa kujadili kabisa la Yesu
 
Nabii fake wa wasabato helen white aliona eti waadventista wakienda mbinguni kwa akili zake anafikiri wasabato ndio wataenda mbinguni tu
 
Kweli waenga wetu walikua na akili sana na kumbuka ule msemo wa "usilo lijua ni sawa na usiku wa giza" cjui hawa wenga akili walzichukua zote hata hawajatuachia kidogo na sisi tufikirie.
 
Hao Fesuit Fathers wanao ongelewa ndo hawa tunaowajua au kuna wengine? mleta mada kuchanganya chumvi na binzari unataka upate nini? au kuongeza post/
 
Back
Top Bottom