Mjue the world president under freemasonry and illuminati to supress the third eye of human being


Hivi Tz kubeli sizilipigwa marufuku??
 
Mkuu niambie ni dhehebu gani linalotakiwa tujiunge ili tuuone ufalme wa milele? nje ya haya madhebu ya wapinga ukatoliki/ Protesant
Mungu haangalii dhehebu anaangalia kama unamuabudu kwa haki! Unaweza usiwe na dhehebu lakini ukawa na haki ya Kuwa mwana wa mungu kwa kutenda atakayo yeye!
 
Mungu haangalii dhehebu anaangalia kama unamuabudu kwa haki! Unaweza usiwe na dhehebu lakini ukawa na haki ya Kuwa mwana wa mungu kwa kutenda atakayo yeye!
Exactly....asanteee....achana na hao wanaokimbilia kujisifia kisa wakatoriki....
 
Watu mkilishwa habari za uongo mnazipokea kama zilivyo bila kuzichuja.!
 
Asee kwanza una umri wa miaka mingapi??

yaani wewe na hao waliokupa likes kwenye hii comment yako akilini zenu ni nyeusi sana.. bongo zenu zinahitaji kusuguliwa hata na steel wire
 

Nipo sambamba na wewe..
 
Mnyama akitoka baharini na mnyama akitoka nchi kavu...[emoji115]
Nipe utofauti hapo kama kweli una uchungu na kanisa katorik..hapa hatuundi bifu wala nini bali tunazungumza ukweli wa mambo...
Hivi unajua dhima ya kitabu na maudhui ya kitabu cha Ufunuo. ??? Unataka nikujibu kwa mujibu wa manuscripr za Kibibi Ellena..???

Nipo na wewe Sambamba...
 
Network za mabenk na hesabu zake za kimtandao sinashikiliwaje?
 
Hapana jamaa ypo sahihi sana maana hta kabla ya uchaguz nilisikia hvyohvyo mm kwmba yy hawez shnda kwsabab cyo roman Catholic na ndyo sabab alinyimwa nafac ple ccm
Birds of the same feathers flock together..!!

hata aina yako ya uhandishi tu inatosha kuonyesha kwamba wewe na huyo unaye mtetea kuwa yupo sahihi akili zenu ni mapacha. You two seriously need deliverance to get rid of that demonic mental retardation you are tholing now.

Kwanza una uthibitisho gani kuwa Lowasa alikatwa kwa sababu ya kuwa Mlutheri?? Kumbe kuna haja ya kupiga maarafuku hata matumizi ya viroba.
 
Mkuu nimejitolea kuwanyoosha hawa vichaa.
 
Nikuulize swali dogo..?? Unajua dhima ya hivi vitabu vyenye masimulizi ya kiapokalipto.....yaani vya Danieli na Ufunuo wa Yohana..

Maana nisikute najadiliana na zuzu...

Nipo sambamba na wewe .
 
dah sikufanikiwa kuamaliza story yako ila leo nimeimaliza ukisoma kwa umakini ni kama umeandika kitu ambacho ww mwenyewe hukijui bali umesoma sehemu na kujaribu kufafanua kutokana na hadithi ulivyoisikia huku ukilinganisha na ulichokisoma.
Pia umenishangaza kwa umeunganisha nisha vitu ili u justify unachokikusudia.na umeniacha hoi zaidi ni hapa ""Fuatilia wanafunzi wote walioko vyuo vyote vya saut kabla ya kuanza kipind wanasali sali zipi"" Jamani mulio soma saut mnisaidie hapa ila ninaamini Hamna kitu kama hiki-labda ungesema ikitokea Padri ndio anaenda kwenye kipindi ana sali kabla ya kuingia darasani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…