Ha ha ha ha safi snaa bro huyu jama hajielew sna..ni zaidi ya zuzu kweli...Ha Ha! Sasa dhehebu(dini) lako linadanganya alafu na ww bado upo umoumo? Una ubongo kweli?(maana nikiuliza akili ntakuwa nakuonea).Anyway hiyo ni juu yako ila cha muhimu tumkumbuke mungu wetu, tuepuke dhambi ili isje kutugharimu hapo baadae!
Idanganya kitu gani.?? Kuwa biblia si mali ya Kanisa..??Ha Ha! Sasa dhehebu(dini) lako linadanganya alafu na ww bado upo umoumo? Una ubongo kweli?(maana nikiuliza akili ntakuwa nakuonea).Anyway hiyo ni juu yako ila cha muhimu tumkumbuke mungu wetu, tuepuke dhambi ili isje kutugharimu hapo baadae!
Good! Kwa hiyo catholic mafundisho yake ni ya kubuni?
Ina maana kama ni ya kubuni ina maana uongo mwing?
Whr did ya gat yo biblical awareness abot dic things happening or predicted to come happening...??Mkuu Historia ya SDA church inasikitisha sana...Hawa watu waludanganywa kipindi cha Kina William Miller, Joseph Bates' Hiram Edson na huyu mama aliyesemekana ana maradhi ya kichaa Ellen G White....
Ticktock dork
Umekuja...Nilikuambia nipo sambamba na wewe..Ha ha ha ha safi snaa bro huyu jama hajielew sna..ni zaidi ya zuzu kweli...
Sasa kama biblia unayoiamini umesema ilitungwa kujazikiza cjui kusuit mafundisho ya dini /kanisa katoriki ,sasa huoni kuwa bado upo katika mafundisho ya uongo..daaaah..tatizo cjui mnasomaje maandiko..au wew tupe source ya uelewa wako juu ya hayo mambo...we we unayejiita cjui nan otong'orondo...[emoji4] [emoji4]
Idanganya kitu gani.?? Kuwa biblia si mali ya Kanisa..??
Hivi unaijua historia ya SDA Church mkuu..??
(weka akilini hii....Wasabato siyo Wakristo ila hupenda kijiita ati na Wao ni Wakristo..)
Ha Ha! Sasa dhehebu(dini) lako linadanganya alafu na ww bado upo umoumo? Una ubongo kweli?(maana nikiuliza akili ntakuwa nakuonea).Anyway hiyo ni juu yako ila cha muhimu tumkumbuke mungu wetu, tuepuke dhambi ili isje kutugharimu hapo baadae!
Biblia haikuandikwa kutabiri yanayotokea sasa...Whr did ya gat yo biblical awareness abot dic things happening or predicted to come happening...??
Nijibu ...fasta..kuwa weww umepata wap you secret facts about yo biblical education..!!
Mkuu umeuliza kiajabu na hiyo avatar sijapata pichammmh! wanamiliki benki zote! hata meru community bank na njombe community bank?
Mafundisho siyo ya kubuni ni mafunuo ya Roho Mtakatifu....Sasa ili kupigilia msumari wa mwisho kwenye mafunuo hayo ikahitajika biblia ku-suit..
Mheshimiwa ainisha uongo wa Catholics hapa tuuweke wazi ili wakome kutudanganya
Achana na kwenda mbali kwa Sda churches..hebu nipe ukweli juu ya vitabu vya ufunuo na daniel...kama kweli umesema biblia ilitungwa na wakatorik sasa hebu tupe maana halisi ya yanayoUngumzwa kwenye vitabu vile...usipanik bro mi naamini wasomi hawajibishani kwa shit facts ila katka real facts..Biblia haikuandikwa kutabiri yanayotokea sasa...
Nakuliza Tena unaijua historia ya SDA church au tuiweke hapa..
Maana haya mambo ya kutabiri na kutumia vitabu vya Danieli na ufunuo wa Yohana alianza navyo muasisi wenu William Miller...
Ni vizuri tuijue historia
Unakimbia kivuli chako..?? Unalikimbia dhehebu lako..?[emoji3] [emoji3] binafs siyo msabato ila ukweli unajulikana...nayajua sana mafundisho ya kisabato na kikatoriki nayajua sana zaidi ya wew unavoweza nifikilia...
Umesema kuna mafundisho ya uongo....Amekuomba uainishe hata fundisho moja ili ajadili....Mbona rahisiUlikuwa unafuatilia vizuri comment zetu? Kama hujafuatlia angalia vzuri ilo la uongo limetokea wap!
Upo tayari...???Achana na kwenda mbali kwa Sda churches..hebu nipe ukweli juu ya vitabu vya ufunuo na daniel...kama kweli umesema biblia ilitungwa na wakatorik sasa hebu tupe maana halisi ya yanayoUngumzwa kwenye vitabu vile...usipanik bro mi naamini wasomi hawajibishani kwa shit facts ila katka real facts..